MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,445
Bingwa la kufikiria nje ya box, Mbunge wa Nzega Kigwangallah ameenda live kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram na kujibu maswali kadhaa ya watu wake wa Jimbo.
Kigwangalla amesema amepokea kwa mikono miwili kufutiwa kesi Lema, "Suala la Lema kukimbia nchi halikuwa sababu ya kesi wala kutishiwa maisha, bali ilikuwa ni madeni ya benki.
Kwa kuwa hamna kesi tena inayoendelea basi wajitahidi sana kumalizia madeni yao, maana mama hawezi kufuta madeni pia," alisema Kigwangalla.
Kigwangalla amesema amepokea kwa mikono miwili kufutiwa kesi Lema, "Suala la Lema kukimbia nchi halikuwa sababu ya kesi wala kutishiwa maisha, bali ilikuwa ni madeni ya benki.
Kwa kuwa hamna kesi tena inayoendelea basi wajitahidi sana kumalizia madeni yao, maana mama hawezi kufuta madeni pia," alisema Kigwangalla.