imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,676
- 71,034
Jasusi mbobezišMembe naye ni jambazi?
Jasusi mbobezišMembe naye ni jambazi?
Uzuri wa Membe ni Mliberali sio Mkomunisti.Membe naye ni jambazi?
Angesemea wapi ilhali mwenyewe alikuwa mateka? Wataibuka wengi kuweka wazi waliyoyapitia sema njaa zao ndo ziliwafanya watulie chini ya ibilisi joka kuu.Mpuuzi huyu, mbona hakuwahi kusema kama kimetekwa?
Waendelee kuwa kimyaAngesemea wapi ilhali mwenyewe alikuwa mateka? Wataibuka wengi kuweka wazi waliyoyapitia sema njaa zao ndo ziliwafanya watulie chini ya ibilisi joka kuu.
atapatapa tu, wameshauriwa wakaanzishe chama chao wapambane uchaguzi wa 2025, maoga kama makunguru
Usitafute ujiko kwa nguvuhamisi_kigwangalla
SEKRETARIETI ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapindunzi (CCM), ikiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi @daniel_godfrey_chongolo jana imehitimisha ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 na kuimarisha Chama mashinani katika mikoa ya Kagera, Geita, Kigoma, Katavi na Tabora. Pichani wajumbe wa Sekretarieti hiyo wakizungumza katika kikao cha majumuisho mkoani Tabora. Kwa hakika Chama kimerudi kwa wenyewe. CC: Komredi @shaka_hamdu_shaka. #HK #KaziIendelee #SiasaNiVitendo
View attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
Sababu ya kutfuta vyeo kwa nguvuKigwangalla anazeeka kwa unafiki.
Ukimsimamishs Kigwangalla na Prof Kapuya, Hamis ni mzee uso umechoka sana!
Jamaa yako huyoUzuri wa Membe ni Mliberali sio Mkomunisti.