ukiwa mwanachadema siku zote lazima ufikirie kwa kutumia masaburi. Ni ujinga ulioje kwa mtu aliekuwa akiwatetea wananchi wake halafu hapa watu wanakuja na kejeli za kimasaburi. Pumbafu yenu wote mnaotumia masaburi kufukiria.
Viva kigwangala. go go go, achana na haya machizi ya chadema. Au wengi wao ni mataahira nini? Mbona hamueleweki nyinyi watu? au mnapigania nini? Hii haki mnayoimba kumbe ni changa la macho? wananchi fungueni macho muwaone hawa the so called chademaz kwa uhalisia wao.
Anatetea Kitu Gani Huyu? Anatafuta Huruma ya 2015!! Hana Lolote!! Wanaotetea Watu Unajifanya Huwajui? Acha Hizo Hapa JF Wengi Sio Bendera Kufuata Upepo!! Kajipange Upya. Mwenzenu anayewajua ndio alisema wote Mnatumia Masaburi Pamoja na yeye Mwenyewe!!