Kweli marytina
wabunge na marais wa kizaz cha ict ndo zao,maneno kwenye fb na jf pia kwa michuz,bungeni wanazomeazomea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli marytina
Kutetea Dhurma na udharirishaji? Ungeanza kwa kuasafisha dhurma uliyomfanyia yule uliyechukua nafasi yake na jina lake kwenda shule, na ungepisha nafasi ya Ubunge kwa wale walioshika nafasi za juu kihalali. Hapo ndipo pa kuanzia na siyo huko migodini na ushukuru Polisi wamekustahi.Hamisi Kigwangalla ameandika haya yafuatayo katika ukurasa wake wa facebook.. Hebu pitieni na nyie muone wenyewe..
"Kwa hakika dhulma imetamalaki katika nchi hii!
Ukandamizaji umetamalaki katika nchi
hii! Nimekamatwa na polisi nikitetea
dhulma na ukandamizaji..."
Hamisi Kigwangalla ameandika haya yafuatayo katika ukurasa wake wa facebook.. Hebu pitieni na nyie muone wenyewe..
"Kwa hakika dhulma imetamalaki katika nchi hii!
Ukandamizaji umetamalaki katika nchi
hii! Nimekamatwa na polisi nikitetea
dhulma na ukandamizaji..."
Unajua maviongozi ya CCM ni manafiki kweli...sasa hapo analalamika nini? Lenyewe linaingia kwenye vikao vya juu vya chama halitoi mawazo chanya,halafu likipigwa linalalamika..........liache unafiki hili jamaa!!!
Hamisi Kigwangalla ameandika haya yafuatayo katika ukurasa wake wa facebook.. Hebu pitieni na nyie muone wenyewe..
"Kwa hakika dhulma imetamalaki katika nchi hii!
Ukandamizaji umetamalaki katika nchi
hii! Nimekamatwa na polisi nikitetea
dhulma na ukandamizaji..."
Kama Hamis anaamini kuwa kuna haki inavunjwa ana njia tatu za kawaida:
a. Kwenda mahakamani
b. Kuleta hoja Bungeni
c. Kuleta mabadiliko ya sheria au mswada wa sheria mpya
Sielewi kwanini mbunge wa chama tawala anatumia siasa za migongano wakati angeweza kutumia chama chake ambacho ni tawala vizuri tu? Magamba wanajua wananchi wameshawajua kama niwasaliti wanatumia njia hiyo kujisafisha waonekekane machoni pawatu kama watetezi wakati moyoni wanyonyaji wakubwa