Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

picha huzioni...
attachment.php
mbona watoto tupu?
 
Huo umati ndio wa wanakigoma? Mbona idadi ni ndogo kulinganisha hata na mkutano wa Kafulila jimboni mwake?

Mwanzo si mlisema asikanyage Kigoma? tehe tehe, aibu yenu waganga njaa, wanaume wazima mnaishi kwa kutegemea wanaume wenzenu wa Magamba
 
Tutaenda kupiga kura. Tutalinda kura., Tutawaadhibu watakao thubutu kuchezea masanduku ya kura na kuchelewesha matokeo ya kura kwa kutaka kuiba kura. Tutakuwa wakali kama nyigu...hatutaki tena upuuzi wa magamba. Dr. Slaa ndiye Rais 2015.

Yeah! Rais wa Mtei's family! Maana hata Tff kuna Rais, hata vyuoni kuna Rais, Lakini hawezi kuwa wa jamhuri ya muungano wa tanzania! Ataishia kuona Magwaride yakikaguliwa tu hatakaa akague hata moja,labda la redbrigedi!
 
tumaini hii ndio nyomi ya watu?? mmefilisika aisee inabidi mzibwe kwa viraka lol babu kwisha kazi kwa chuki zake kwa waislamu ndani ya chadema

Nyomi hiyo sio ya kupewa buku 2 na kupakiwa kwenye malori au kosta
 
Kigoma mjini, Uwanja wa Community Centre, huyo ni Meya wa Kigoma Ujiji akitoa taarifa ya halmashauri inavyowatumikia wananchi kwa utofauti na CCM mbele ya Katibu Mkuu Dkt. Slaa.

DSC_8899.JPG
 
Yeah! Rais wa Mtei's family! Maana hata Tff kuna Rais, hata vyuoni kuna Rais, Lakini hawezi kuwa wa jamhuri ya muungano wa tanzania! Ataishia kuona Magwaride yakikaguliwa tu hatakaa akague hata moja,labda la redbrigedi!

Umeandika pumba
 
Picha inaonyesha wananchi wamejawa na hofu sana! Nadhani Redbrigade imewatishia kuwa chacha wangwe!

Mkuu Raphryder mbona kama umechanganyikiwa? naona kama jasho linakutoka na akili haimini kama dr slaa anaweza kupata nyomi hii kigoma
 
Back
Top Bottom