Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Verified User Kuandika utumbo kama huu ni aibu sana.
Inaelekea unakula mshahara sawana ndovu k Ila iko sikuutajifungia msalani usikie harufu yakoilivyo mbaya T2015 CDM PAMBANA KIJANA UTAMRITHI NEPI SOON NDO SERA YA CCM UKIJUA MATUSI UNAPANDA CHEO
 
vema,yoote yatapita ila chadema itaingia ikuluni
 
kadanganye wajinga, wasiofuatilia mambo, mkutano hauna watu, ndio mana hata ule wa asubuhi haukufanyika, hata huu ni watoto tu ndio wengi wamefata muziki

Magamba ndio huweka muziki na fuso kusomba watu, watoto wanapendwa sana na CDM lakini hawaruhusiwi mikutanoni wazazi tunawaelekeza namna bora ya kuipenda nchi yao tukiwa majumbani
 
Response yako bado inaonyesha uvivu wa kuelewa, huyu alitaka kukusaidia ili uweza kuongeza maari, waingereza wanasema "cover your a-ss". Kwa akili na busara iliyo ndogo kabisa binadamu bila kujali kiwango kipi cha elimu anaweza kufanya upu.mba.vu wowote ule so long he/she remains unidentified but he/she will cover his/her a-ss once exposed, so you do. i.e. a common mankind would like to acquire recognition as wise and not an i.diot likewise the audience perception.

Unaona nimeandika utumbo kwa sababu akili yako imeoza.... Au unamaanisha nyie ambao sio verified users mnaruhusiwa kuandika utumbo?
 
Unaona nimeandika utumbo kwa sababu akili yako imeoza.... Au unamaanisha nyie ambao sio verified users mnaruhusiwa kuandika utumbo?

Unajichoresha kuandika vitu vya kishamba kama hivi, mambo ya kujadili watu tuwaachie akinadada wa salon, wanaume tunajadili hoja.
 
Response yako bado inaonyesha uvivu wa kuelewa, huyu alitaka kukusaidia ili uweza kuongeza maari, waingereza wanasema "cover your a-ss". Kwa akili na busara iliyo ndogo kabisa binadamu bila kujali kiwango kipi cha elimu anaweza kufanya upu.mba.vu wowote ule so long he/she remains unidentified but he/she will cover his/her a-ss once exposed, so you do. i.e. a common mankind would like to acquire recognition as wise and not an i.diot likewise the audience perception.

Upumbavu hujibiwa kwa upumbavu, jibu la kipumbavu sio lazima limfanye mtu awe mpu.bavuhata kama ataonekana mpu.mbavu. Kumbuka; kuwa mpu.mbavu na kuonekana mpu.mbavu ni vitu viwili tofauti na pia audience perception is not always the right perception.
 
Unajichoresha kuandika vitu vya kishamba kama hivi, mambo ya kujadili watu tuwaachie akinadada wa salon, wanaume tunajadili hoja.

Kwa hiyo na wewe ni mdada wa saloon...?? Mbona unajadili watu.... Unajua maana ya HOJA? Nilichokiandika ni hoja pia, inawezekana unaona sio HOJA kwa sababu haipo katika your area of understanding.
 
Back
Top Bottom