Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

CHADEMA, sio CCM yakusomba Watu kwenye Maroli kama MIFUGO. haohao waliopo ujumbe utafika kama unataka watu nenda KARIAKOO.

Yeah! Bora niende Kariakoo nikaone watu,kuliko kunidanganya eti hao watu ni wengi!
 
Huo umati ndio wa wanakigoma? Mbona idadi ni ndogo kulinganisha hata na mkutano wa Kafulila jimboni mwake?
 
Ha ha ha! Mnanikumbushaa enzi za Mrema kusukumwa na gari jangwani!


attachment.php

Hii ndiyo chadema
 
Hivyo ndivyo hali halisi ya picha ilivyo! Slaa yule wa kujaza uwanja wa mpira wote hayupo tena! Unadai kapiga upande haisaidii leta watu wajae kote! Slaa kwishaa!

Mwambie Taswira aweke
 
Last edited by a moderator:
Kila la kheri Dr. wa ukweli.The next MANDELA/NYERERE never seen on the earth's surface.
 
tupiamo kapicha basii mukubwa malemo
Hizi alizotupia Yegella sijui kama ni za lini hajasema
 
Back
Top Bottom