CHADEMA GO=>GO=>GO. Ni mpango wa Mungu hakuna wa kutuzuia.
Ninawashukuru sana wanainchi wa Kigoma kwa muitikio mkubwa nashauku yenu kubwa ya kufuatilia na kukiunga mkono Chama chetu kwa hali na mali katika kutimiza azma yake ya kuleta MABADILIKO ya Kisiasa na ya Kiuchumi hapa Nchini. Licha ya kejeli na vitisho vingi kutoka kwa Masalia na Vibaraka wa CCM,bado wana-Kigoma mumeweza kusimama Imara na kuwapinga Wasaliti akina Zitto Kabwe kwa kutambua ukweli kwamba Chama sio mtu mmoja au kigenge cha watu, bali ni Jumuia ya watu wengi(wanachama na wapenzi) wenye Nia; Kusudio; Mkakati na Dira ya kutupeleka na kutufikisha kwenye MABADILIKO tuliyokusudia kwa kufuata Kanuni,Maadili,Sera na Katiba ya Chama na si vinginevyo.
Na tuzidi KUSHIKAMANA na hatimaye USHINDI ni wetu sote.
Tukumbushane UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU.
KWA MTAJI HUU CHADEMA TUMESHINDA.