Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

photo(5).JPG
Hawajui hata katiba ya chadema inayotumiaka ni ya mwaka 2006
 
Kigoma mjini hiyo imezizima leo mkutano wa Katibu Mkuu, Dkt. Slaa, ambaye amemaliza mkutano punde, akiwaacha wananchi na hamu ya kuendelea kumsikiliza wakati akishusha nondo za mahesabu ya ruzuku na mapato mengine ya chama.

Sasa anaelekea kwenye kikao cha ndani, Baraza la Mashauriano la Mkoa.


 

Attachments

  • DSC_8872.JPG
    DSC_8872.JPG
    718.1 KB · Views: 1,307
Asante sana kamanda kwa update! Endelea kutujuza picha siyo lazima. ila ikiwepo tupia
ha ha ha kwa haya kubwa unaandika picha sio lazima lakini picha huongea zaidi ya maneno 1000 wekeni picha hapa
 

Tutaenda kupiga kura. Tutalinda kura., Tutawaadhibu watakao thubutu kuchezea masanduku ya kura na kuchelewesha matokeo ya kura kwa kutaka kuiba kura. Tutakuwa wakali kama nyigu...hatutaki tena upuuzi wa magamba. Dr. Slaa ndiye Rais 2015.
 
Kigoma mjini hiyo imezizima leo mkutano wa Katibu Mkuu, Dkt. Slaa, ambaye amemaliza mkutano punde, akiwaacha wananchi na hamu ya kuendelea kumsikiliza wakati akishusha nondo za mahesabu ya ruzuku na mapato mengine ya chama.

Sasa anaelekea kwenye kikao cha ndani, Baraza la Mashauriano la Mkoa.


tumaini hii ndio nyomi ya watu?? mmefilisika aisee inabidi mzibwe kwa viraka lol babu kwisha kazi kwa chuki zake kwa waislamu ndani ya chadema
 
Kaunga Kama ulikuwa mkutanoni tuwe wakweli kuna kitu Slaa ameongea pale mkutanoni? Mkutano wametangaza tangu saa nane Slaa kaja sa kumi na moja anadai eti ana dk 40 tu hlf kafunga mkutano.
 
Kuwatisha raia sio jambo zuri,watu walikuwa na mabango yao,mmewapiga sana na kuwatishia wale chinjachinja wenu sijui red nini!

Najitolea kukununulia G string hoja huna wewe.
 
Back
Top Bottom