Kigoma Region Tanzania: Mambo mbalimbali kuhusu mkoa wa Kigoma na viunga vyake

Kigoma Region Tanzania

JF-Expert Member
May 25, 2021
229
593
Uzi huu ni maalumu kwa wakazi na watu wenye asili ya Mkoa wa Kigoma na watanzania wote kwa ujumla. Utapata kushiriki habari na kuungana na marafiki wa Kigoma kupitia hapa.

Ukishazaliwa Kigoma au ukiwa na asili ya Kigoma basi Ubongo wako umeshakubeba kabla ya elimu yako (wewe ni wa tofauti tayari).

Kuzaliwa Kigoma ni Bahati sana, kama wewe una asili ya Kigoma elewa wewe ndio Mtanganyika mwenyewe. Hakika kila mtanzania anatakiwa kuwa na rafiki mwenye asili ya Kigoma.

Hapa tutakuletea matukio mbalimbali na picha za mandhari ya maeneo ya mkoa wetu wa Kigoma. Pia tutajibu maswali mbalimbali kuhusu mkoa wetu huu.

Karibuni sana.

1706044265805.png

-Kigoma nyakati za usiku
 
Uzi huu ni maalumu kwa wakazi na watu wenye asili ya Mkoa wa Kigoma na watanzania wote kwa ujumla. Utapata kushiriki habari na kuungana na marafiki wa Kigoma kupitia hapa.

Ukishazaliwa Kigoma au ukiwa na asili ya Kigoma basi Ubongo wako umeshakubeba kabla ya elimu yako (wewe ni wa tofauti tayari).

Kuzaliwa Kigoma ni Bahati sana, kama wewe una asili ya Kigoma elewa wewe ndio Mtanganyika mwenyewe. Hakika kila mtanzania anatakiwa kuwa na rafiki mwenye asili ya Kigoma.

Hapa tutakuletea matukio mbalimbali na picha za mandhari ya maeneo ya mkoa wetu wa Kigoma. Pia tutajibu maswali mbalimbali kuhusu mkoa wetu huu.

Karibuni sana.

View attachment 2880993
-Kigoma nyakati za usiku
Hivi kweli Mama Diamond ni mchawi wa kutupwa?
 
Muunganiko wa yakini kati yetu na ardhi yetu.
Historia huzaa muunganiko, na muunganiko huzaa uzalendo. Kigoma ndio Tanganyika: Kuwa mzaliwa wa Kigoma ni Heshima na kuwa mtu mwenye asili ya Kigoma ni Neema, yeyote mwenye kuishi Kigoma yupo katika Baraka za mikono mitukufu ya wazee wetu.

Tusione tu fakhari kuwa watu wa Kigoma,
Bali tuifanye Kigoma ione fakhari sisi kuwa watu wake.

32900712846_ab550ec5b1_c.jpg

Kigoma railway station
 
Waha sio watu smart kwenye kazi za ofisi..yani ukute Muha ni Daktari,Mwanasheria ni bahati ila utawakuta kwenye Manual work kama Duka,Konda,dereva,wauza dafu,Viwandani wamejaa,Kuli wa mzizigo..

Ni wabishi kupindukia No wonder hawataki kuelimika..kila kitu ujikuta wajuaji..Wengi ni washika dini na wanaamini Ushirikina kupita maelezo

Wanawake wa kigoma watulivu na wavilivu kwenye ndoa ni wachalikaji haswaa..Yuko radhi auze nyanya ila sio kuwa goli kipa..Inasemekana ni wachafu ila bado haijathibitishwa.

KGT(Kigoma) inaongoza kwa kambi nyingi za kijeshi TZ nzima ikifatiwa na Arusha..Kuna Kanembwa,Mtabila Jkt,Bulombora Jkt na kambi nyingine za Jwtz..

Hapo zamani Kigoma ilikua na barabara mbovu na Tope na vumbi la kiwango cha SGR sikuhizi angalau kuna Mkeka umetandikwa ila vumbi bado lipo

Asilimia kubwa ya Raia kutoka KGT aio waTanzania halisi ni wakimbizi kutoka nchi jirani kama Burundi,Congo,Rwanda n.k

Wakazi wa kigoma hufanya shughuli mbalimbali ikiwemo Uvuvi,Uchimbaji,Kilimo,Biashara(Hasa vitenge)
 
Back
Top Bottom