Kigogo CCM aguswa kashfa ya makontena

Kigogo CCM aguswa kashfa ya makontena

Watu wenye ndimi mbili huwa wanaitwa wanafiki, jaribu kuwa mbali na tabia hiyo!!
Ni kweli sipo huko sababu nilimkataa EL tokea CCM siwezi kumkubali akiwa chadema...ndimi mbili anazo mbowe,genge lake nanyie misukule ambao hamjui kinachoendelea dogo!
 
Mbona sijaona jina la kigogo,,,mnamuogopa kumtaja...halaf hata kama ni kigogo wa chama hiyo kampun haina uhusiano na ccm,,,
Mkuu ccm ni kichaaa tu,chenyewe kazi yake ni kuficha wahujumu uchumi
 
Hebu acha kutumika Na CCM mkuu, ni bora ukatubu watanzania tutakusamehe na Mungu akusamehe, ili uzee wako umalizie kwa amani, nakupenda ndo maana
Ukiandika wewe kitu unachoona kipo sawa, unakuwa hautumiwi na mtu yoyote. Mawazo yako yapo sawa kabisa, akili yako ni sahihi kabisa. Hivi ndivyo mnavyofundishwa pale Ufipa. Poleni sana (maana mpo wengi).
 
Nchi hiim kweli kuna msafi hapa ?????????????
Mkuu unataka kusema watanzania tunachafuka kukiwa ndani ya matumbo ya mama zetu? Kama c hivyo basi mfumo uliojengwa na ccm for 54 years ndo unachafua watanzania na kwa kuwa ccm ni kichaka cha wezi na wahujumu uchumi they will never agree kubalisha huu mfumo.
 
Ukiandika wewe kitu unachoona kipo sawa, unakuwa hautumiwi na mtu yoyote. Mawazo yako yapo sawa kabisa, akili yako ni sahihi kabisa. Hivi ndivyo mnavyofundishwa pale Ufipa. Poleni sana (maana mpo wengi).
Dunia inajua Na watanzania tunajua, hata weye wajua nini wapaswa kufanya sema pesa imekununua, imekufanya kuwa kiziwi Na kipofu, mkuu litendee haki taifa lako Na watetee wanyonge
 
Natamani sana kuwajua baadhi ya wachangiaji hapa, wapoje kiakili, maumbo yao ya mwili, Wanaudhi wao kila kitu kupinga pasipo utaratibu unaokubalika
 
Dunia inajua Na watanzania tunajua, hata weye wajua nini wapaswa kufanya sema pesa imekununua, imekufanya kuwa kiziwi Na kipofu, mkuu litendee haki taifa lako Na watetee wanyonge
Kwa akili yako kila anayepingana mawazo na wewe amepofushwa na fedha. Kwa sababu mzee wa monduli kawapofusha nyinyi na fedha mnafikiria kila mtu na yeye kaangukia katika mtego huo huo uliowanasa nyinyi. Jifunze kupokea opinions zinazotofautiana na za kwako.
 
Kwa akili yako kila anayepingana mawazo na wewe amepofushwa na fedha. Kwa sababu mzee wa monduli kawapofusha nyinyi na fedha mnafikiria kila mtu na yeye kaangukia katika mtego huo huo uliowanasa nyinyi. Jifunze kupokea opinions zinazotofautiana na za kwako.
Kwani buku saba ni hela halali kwa mtanzanis
 
Ndiyo maana wanaogopa kuachia umeya dar,uvundo wa uda utajulikana
 
Kwa akili yako kila anayepingana mawazo na wewe amepofushwa na fedha. Kwa sababu mzee wa monduli kawapofusha nyinyi na fedha mnafikiria kila mtu na yeye kaangukia katika mtego huo huo uliowanasa nyinyi. Jifunze kupokea opinions zinazotofautiana na za kwako.
Mkuu Karibu nyumbani Leo kwa chakula cha usiku
 
Back
Top Bottom