Kigogo CCM aguswa kashfa ya makontena

Kigogo CCM aguswa kashfa ya makontena

Mbona sijaona jina la kigogo,,,mnamuogopa kumtaja...halaf hata kama ni kigogo wa chama hiyo kampun haina uhusiano na ccm,,,
Huu ndio unafki wa waandishi..si wamtaje
..mmiliki wa ICD nyerere road si yuleeee....
 
Fisi makao yake makuu ni jelalani kwahiyo sema jelala linawahusu

hata wewe mleta uzi, uhamiaji inakuhusu, jelala au jelalani ndo nini? wale pale mmoja kasema kazeti, mwingine GEZETI na wewe jelala, hivi nyinyi ni raia kweli, mnakijua kiswahili? mbona mnabananga sana
 
hata wewe mleta uzi, uhamiaji inakuhusu, jelala au jelalani ndo nini? wale pale mmoja kasema kazeti, mwingine GEZETI na wewe jelala, hivi nyinyi ni raia kweli, mnakijua kiswahili? mbona mnabananga sana
Hahaha ujanielewa ukiwa fisi kama wewe unawaza uchafu na uchafu unapatikana jelalani naona unaota ndoto za lumumba
 
Hahaha ujanielewa ukiwa fisi kama wewe unawaza uchafu na uchafu unapatikana jelalani naona unaota ndoto za lumumba
Mkuu hivi yule fisi alokuwa kwenye mkutano wa Kinana wakati wanaimarisha Chama kahifadhiwa wapi, sijamsikia yapata mwaka sasa
 
hata wewe mleta uzi, uhamiaji inakuhusu, jelala au jelalani ndo nini? wale pale mmoja kasema kazeti, mwingine GEZETI na wewe jelala, hivi nyinyi ni raia kweli, mnakijua kiswahili? mbona mnabananga sana
Na wewe pia uhamiaji inakuhusu, kubananga ndio nini?
 
Back
Top Bottom