Kigogo CCM aguswa kashfa ya makontena

Kigogo CCM aguswa kashfa ya makontena

Mbona sasa mtu mwenyewe hawamtaji? Au wanamuogopa?
 
Sasa kwa kifupi sana hakuna Msafi ccm

Hakuna mwana siasa yoyote aliyekua msafi, si ccm wala ukawa. Mwafrika ni mwafrika tu.
Kuna wakati tunawasema viongozi lakini sisi wenyewe hatujiulizi kwamba tunatoa rushwa mara ngapi ili mambo yetu yaende harakaharaka. Tunanunua bidhaa marangapi bila kuuliza risiti.
Leo hii mtu wa kawaida anaye sema fulani ni fisadi akipewa nafasi tu serikalini nayeye pia ataiba.
 
Hakuna mwana siasa yoyote aliyekua msafi, si ccm wala ukawa. Mwafrika ni mwafrika tu.
Kuna wakati tunawasema viongozi lakini sisi wenyewe hatujiulizi kwamba tunatoa rushwa mara ngapi ili mambo yetu yaende harakaharaka. Tunanunua bidhaa marangapi bila kuuliza risiti.
Leo hii mtu wa kawaida anaye sema fulani ni fisadi akipewa nafasi tu serikalini nayeye pia ataiba.
Ccm wao wana mtambo wakuzalisha mafisadi
 
Kampuni yake yahusishwa na ufisadi bandarini kwa upotevu wa makontena zaidi ya 3,000 yaliyotolewa bure bila kulipia ushuru bandarini.

Kigogo huyo mwenye nafasi ya juu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM anamiliki shiping line na bandari kavu (ICD) iliyopo barabara ya Nyerere.
img-20160222-wa0013-jpg.324710



Chanzo: Tanzania Daima
SHIIIT! KUMBE TANZANIA DAIMA?? GEZETI LILILOPOTEZA MWELEKEO KITAMBO SASA AMBALO HALIAMINIKI TENA!
 
Bandarini, Meli, ICD hadi Tembo kamaliza... so CCM itajikaanga yenyewe..? I wanna see this saga where is heading to....!!
 
Back
Top Bottom