Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #61
Mbona wanajulikanaTusaidiane kuweka wazi hawa watu. Ni Mani huyo wa mabango?
Mbona wanajulikanaTusaidiane kuweka wazi hawa watu. Ni Mani huyo wa mabango?
Kesi ya jinai haina mipaka, muda wao upo watashughulikiwa tu.Mlishawapeleka Mahakamani?
Zaidi ya Miaka 8 ili mute mlikua wapiKesi ya jinai haina mipaka, muda wao upo watashughulikiwa tu.
Jinai haina mwisho, wewe fanya kosa la jinai leo lakini kumbuka kuwa unaweza kufungwa hata mwaka 2046, ili mradi ushahidi ukamilike kuweza kukutia hatiani. Kuwa mpambe wa mzee wa monduli lakini kumbuka kuyatazama mambo katika mtazamo unaofikiria kwa undani.Ubongo wako Na kiwiliwili havina mawasiliano, alishwaambia mwenye ushahidi aende mahakamani tofauti Na hapo fungeni midomo,
Kwenye huo ushaidi mtawaeka na wale watatu freeman Mbowe aliowataja?Jinai haina mwisho, wewe fanya kosa la jinai leo lakini kumbuka kuwa unaweza kufungwa hata mwaka 2046, ili mradi ushahidi ukamilike kuweza kukutia hatiani. Kuwa mpambe wa mzee wa monduli lakini kumbuka kuyatazama mambo katika mtazamo unaofikiria kwa undani.
Huyo Freeman Mbowe na yeye ni jipu pia, haya mamlaka ya kimaadili ya kuwaongelea watu wakati hana usafi.Kwenye huo ushaidi mtawaeka na wale watatu freeman Mbowe aliowataja?
Wazee wakufunika kombe ili Mwanaharamu apiteKesi ya jinai haina mipaka, muda wao upo watashughulikiwa tu.
AKA TEMBO MANMr Ndovu anaimaliza nch yetu sana
Mbowe ni wale wale tu, kamuuzia mtu chama, mpaka kachangia Dr. Slaa kuzira na kuamua kuachana na siasa. Dr. Slaa alimuita Mbowe kuwa ni mhuni wa kisiasa. Unapokuwa mpambe wa mtu usishikiwe akili, baki nazo ili uweze kujenga hoja mbele ya watu.Mbowe huwezi kumlinganisha Na hao wanaotumia fisi km usafiri,
Huyo fisi Nyota yake ishakufa tangu 2010 mkuu, mwaka wa jana pamoja na kuzunguka nae lkn mambo yaliwaendea kombo, shekhe Yahaya marehemu alikuwaga akiwasiaida ndo hivyo tena, Kingunge nae kawakimbia, sasa hawana pa kushika km unavyoona Zenji moshi unavyofuka, Yule fisi ndo basi tena labda watafute SimbaYule nasikia ndio nyota ya ushindi anachumba mahalum hapo Lumumba
Nimesikia kuna nafasi 20 Mh kaziandaa bila shaka utakuwa mmoja wao, maana kazi ulotumwa waifanya vemaMbowe ni wale wale tu, kamuuzia mtu chama, mpaka kachangia Dr. Slaa kuzira na kuamua kuachana na siasa. Dr. Slaa alimuita Mbowe kuwa ni mhuni wa kisiasa. Unapokuwa mpambe wa mtu usishikiwe akili, baki nazo ili uweze kujenga hoja mbele ya watu.
Kule dodoma aliweka vikaratasi mfukoni vya niniMbowe ni wale wale tu, kamuuzia mtu chama, mpaka kachangia Dr. Slaa kuzira na kuamua kuachana na siasa. Dr. Slaa alimuita Mbowe kuwa ni mhuni wa kisiasa. Unapokuwa mpambe wa mtu usishikiwe akili, baki nazo ili uweze kujenga hoja mbele ya watu.
Simsikii kabisa yuko wapi Hutu MTU, kaenda mapumziko Somalia auAKA TEMBO MAN
Itabidi tumulize tembo Man ngozi ya yule fisi kauzia wapiHuyo fisi Nyota yake ishakufa tangu 2010 mkuu, mwaka wa jana pamoja na kuzunguka nae lkn mambo yaliwaendea kombo, shekhe Yahaya marehemu alikuwaga akiwasiaida ndo hivyo tena, Kingunge nae kawakimbia, sasa hawana pa kushika km unavyoona Zenji moshi unavyofuka, Yule fisi ndo basi tena labda watafute Simba
Juzi kati alikua kule kwa wahazabe nafikiri alikwenda kuchukua mafunzo ya mawindo kwa kutumia zana za jadiSimsikii kabisa yuko wapi Hutu MTU, kaenda mapumziko Somalia au
Mie ni kati ya wazalendo wanokuja kwa kasi nchi hii, sio mchumia tumbo, Nina kipato changu halali hakitegemei hisani ya MTU, naihubiri haki, natenda haki Na nitaendelea kuitetea Na kusimamaia haki dhidi ya makaburu au ma Hizbu wa LumumbaKwa sababu wewe ni mpambe chizi unafikiri na wenzako wote wanafanya kazi hiyo hiyo ya kichizi.
Basi tumekwisha mkuu, kule lazima atakuja Na zawadi za nyoka, paka, Kenge nk,Juzi kati alikua kule kwa wahazabe nafikiri alikwenda kuchukua mafunzo ya mawindo kwa kutumia zana za jadi
Hakuna mwana siasa yoyote aliyekua msafi, si ccm wala ukawa. Mwafrika ni mwafrika tu.
Kuna wakati tunawasema viongozi lakini sisi wenyewe hatujiulizi kwamba tunatoa rushwa mara ngapi ili mambo yetu yaende harakaharaka. Tunanunua bidhaa marangapi bila kuuliza risiti.
Leo hii mtu wa kawaida anaye sema fulani ni fisadi akipewa nafasi tu serikalini nayeye pia ataiba.