Kigaila: Inakuwaje DPP anaweza kuruka amri ya Mahakama na bado akawa salama

Nchi hii pekee ndiyo tuliyopewa bila malipo na Mungu,tuipiganie itoke kuwa la hovyo Mkuu.
Tudai Katiba itakayoweka upya misingi ya Tanzania tuitakyo sisi Wananchi.
Tumechoka kuishi Tanzania ya kina magufuli,CCM,V-wonder au ya wanyonge.
Uhuru wetu hauwezi kupimwa kwa kipande cha mkate.
Mkuu kweli kabisa KATIBA MPYA ni muhimu sana kwa sasa. Ebu fikria mtu anaamka tu na kuanza kubomoa nyumba za watu bila hata sababu za MSINGI na bila hata FIDIA, ukimuuliza anakwambia kuwa ardhi ni mali ya Serikali na ni ya rais, na ameamua kujenga barabara 8. Mwisho wa siku baada ya kubomoa nyumba za watu anabaki na li-ardhi takribani kati ya mita 80 hadi 100 kila upande hana kazi nazo na hivyo anaanza eti anakodisha!!!! Kweli!! I we serous na maisha ya watu wetu?
 
"Amri ya Mahakama ni sheria lakini inakuwaje DPP anaweza kuruka amri ya mahakama na bado akawa salama. 5/08/2021 hakimu ametoa amri mwenyekiti awe analetwa mahakama ya Kisutu. Jana tarehe 13/08/2021 hakuletwa kwa sababu inayoelezwa na DPP gari la Magereza ilikuwa bovu." - Kigaila
Kwa sasa kila kitu cha ajabu katika nchi hii kinawezekana. Watu wanakanyaga katiba na kuvunja sheria bila wasiwasi.
 
"Amri ya Mahakama ni sheria lakini inakuwaje DPP anaweza kuruka amri ya mahakama na bado akawa salama. 5/08/2021 hakimu ametoa amri mwenyekiti awe analetwa mahakama ya Kisutu. Jana tarehe 13/08/2021 hakuletwa kwa sababu inayoelezwa na DPP gari la Magereza ilikuwa bovu." - Kigaila
Tutahakikisha sheria inafuata mkondo
 
Ingekuwa Nchi ambayoo Mhimili wa Mahakama unajielewa, wangeshaagiza wale wote wanaokaidi na kubeza kwa makusudi agizo/amri halali ya Mahakama wanakamatwa na kutupwa ndani kwa kile wanasheria wanachokiita "contempt of court".

Ila kwetu sasa, DPP yupo juu na anaweza akawaagiza Magereza nini wafanye/wasifanye
mahakama ni chaka la ccm, mahakimu na majaji ni wateule wa rais
 
Back
Top Bottom