Kifo Ni Udanganyifu? Nishati

Kifo Ni Udanganyifu? Nishati

Sasa kwa nini wako kidogo?

Having better and good brain 🧠 makes you more able to control others. So you take over

Intelligence walo ayo most of it ni instinctual ku support maisha yao tu. Hawana brain capacity kubwa for memory so inakuwa haina effect
Sijajua unazungumzia akili katika nyanja ipi ila generally,wanyama wanaakili sana tu;ndio maana binadamu kwakujua mapungufu yake ya akili akawadomesticate baadhi ya wanyama for his advantage.

wanyama kama,
Paka
Mbwa,
hawa wazee wanaakili ambayo kuna nyingine binadamu mpkaa kesho amefurukuta ameshindwa kutatua hata kwa msaada wa maroboti ila bado.

Akili ya kutengeneza asali binadamu ameangaika ameishia kutoa sukari guru😀😀😀

Wanyama hawana muda wa kupoteza kama sisi tunavyopoteza muda mpaka mwisho kifo kinafika hatujatimiza purpose zetu.

Wanyama wanajua life is a game of chance muda wa kuwekana chini miaka zaidi ya muongo kasoro wanamezeshana historia za mababu na upuuzi mwingine wa kale hawana. Wao wanapeana basics mengine kila mtu atatia akili yake na hapo ndio nawakubali hawa wakulungwa.Wao hawaishi kwa script kama sisi wao wanatamba na biti.
 
😂😂 Jamaa waliwakumbuka wanyama wengine kwenye safina ya Nuhu tu.
Yaani kwa ule uzandiki uliosimuliwa kwenye ile soga wacha kabisa huwa nacheka sana nikikaa na kufikiria viumbe vilivyopo katika hii dunia alafu uniambie uvieke kwenye mtumbwi mmoja🤣🤣🤣.

Hii dunia tumechezewa sana.Yaani wakulungwa walitupiga kamba mbaya mbovu 🙌🙌🙌🙌
 
Sijajua unazungumzia akili katika nyanja ipi ila generally,wanyama wanaakili sana tu;ndio maana binadamu kwakujua mapungufu yake ya akili akawadomesticate baadhi ya wanyama for his advantage.

wanyama kama,
Paka
Mbwa hawa wazee wanaakili ambayo kuna nyingine binadamu mpkaa kesho amefuruta ameshindwq kutatua hata na maroboti ila bado.

Akili ya kutengeneza asali binadamu ameangaika ameishia kutoa sukari guru😀😀😀

Wanyama hawana muda wa kupoteza kama sisi tunavyopoteza muda mpaka mwisho kifo kinafika hatujatimiza purpse zetu.

Wanyama wanajua life is a game of chance muda wa kuwekana chini miaka zaidi ya muongo kasoro wanamezeahana historia za mababu na upuuzi mwingiene wa klae hawana wao, wanapeana basics mengine kila mtu atatia akili yake na hapo ndio nawakubali hawa wakulungwa.Wao hawaishi kwa acript kama sisi wao wanatamba na biti.
Ndo maana mimi kila siku nasema we humans despite having big brains we are the dumbest creatures.

Lakini pia Ukija kuangalia vitu tunavyo fagilia ni ujinga tuu, tunaharibu mazingira na kudhani nature won't balance
 
Yaani kwa ule uzandiki uliosimuliwa kwenye ile soga wacha kabisa huwa nacheka sana nikikaa na kufikiria viumbe vilivyopo katika hii dunia alafu uniambie uvieke kwenye mtumbwi mmoja🤣🤣🤣.

Hii dunia tumechezewa sana.Yaani wakulungwa alitupiga kamba mbaya mbovu 🙌🙌🙌🙌
Walitupiga changala machoko watu kama sisi tuu wakauteka ulimwengu
 
Walitupiga changala machoko watu kama sisi tuu wakauteka ulimwengu
Nawakubali tu kuwa kamba zao wajomba walituliza mafuvu wakatoa uongo mtakatifu🙌😀😀 mpaka kesho bado kuna manyumbu wanaokotwa daily.

Yaani jamaa walifanikiwa kutunga uongo ambao umedumu miaka na miaka, hatari sana.
 
Nawakubali tu kuwa kamba zao wajomba walituliza mafuvu wakatoa uongo mtakatifu🙌😀😀 mpaka kesho bado kuna manyumbu wanaokotwa daily.

Yaani jamaa walifanikiwa kutunga uongo ambao umedumu miaka na miaka, hatari sana.
Noo maybe hawakuwa na intention hizoo, hizi ni ancient texts ambazo zilikuwa translated kwa zaidi ya malaki ya miaka. So huenda kulikuwa na mistranslation
 
Fatilia zile documentaries za wanyama ndo utajua binadamu huenda hiyo brain capacity yake ni ndogo mno kuliko ya wanyama pori.

sometimes nahisi hawa waliotunga hizi stori za kumkuza binadamu wametudanganya pakubwa.

Hao wanyama wako more intelligent and sophisticated wacha kabisa my friend😀😀
Pengine wanyama wanajua mengi so they just enjoy life as long as it lasts. No burdens. Just living.
 
Sasa kwa nini wako kidogo?

Having better and good brain 🧠 makes you more able to control others. So you take over

Intelligence walo ayo most of it ni instinctual ku support maisha yao tu. Hawana brain capacity kubwa for memory so inakuwa haina effect
Memory is what makes humans more important? But again, you have triggered a question here, memory ipo kwenye ubongo au kwenye nafsi 😅
 
And that's the point to enjoy the game as we play it. Tumebeba mizigo isiyo ya lazima. Elimu, dini, cheo, na uchafu mwingi ambao tu natumia kama checkpoints za maisha...
Binadamu kinachotutesa ni kale ka talanta ka 'imagination'. So haka kanatuendesha sana.

Mimi nikiona mambo yanakuwa mengi napenda sana kusikiliza kale ka wimbo kanasema, 'i tried so hard and got so far, but in the end, it doesn't even matter...'
 
Mkuu hizo ni feature binadamu kawazidi wanyama, japo sina uhakika na mm nimeongea tuu
Super intelligence binadamu kajipa. Just like a lion anaweza akawa zake juu ya jiwe anawaangalia binadamu wanaompiga piga picha na kusema 'I must be the most intelligent creature. Mbona hawa watu hawaishi kunishangaa.'

We have crowned ourselves huu u main character. Itashangaza siku moja tukijua hata sisi sio wa muhimu kama tunavyodhani.
 
Noo maybe hawakuwa na intention hizoo, hizi ni ancient texts ambazo zilikuwa translated kwa zaidi ya malaki ya miaka. So huenda kulikuwa na mistranslation
😂😂 Imagine kama 76% ni mistranslation. Wooii we are doomed.!
 
Pengine wanyama wanajua mengi so they just enjoy life as long as it lasts. No burdens. Just living.
Wanauwezo mkubwa mno my friend. Ni vile tupo kwenye dunia yenye kila aina ya distruction.Tunafeli kuobserve how intelligent and capable walivyo hao viumbe hai.


Ukiangalia kwa ndani sana binadamu ndio anacopy na kupest kila kitu kutoka kwenye nature.

Mfano mambo ya mahandaki ambapo saivi binadamu anajenga kuogopa maroketi na manuclear bombs ni dhahiri anacopy kila kitu kutoka kwa baadhi ya wanyama.Kuna wanyama mfano fuko jamii ya panga wanaweza kuchimba handaki kuanzia Manzese hapo Ubungo mpaka msamvu🙌😀😀.jamaa wanajenga tannell za kufa mtu wairani na israeli wakasome.Na hatumii saruji wala mbao wala chuma ni skills tu.

Hapo hujaongelea mchwa wanakuchimbia kichuguuu kinaurefu wa shimo la choo(septic tank).Binadamu ndio kiumbe tapelitapeli ameshapoteza uwezo wake wa kale amebakiza uzombi tu.
 
Ya kuwa from newton's first law of energy conservation, "energy can neither be created nor destroyed" hence binadamu akifa ni ya kuwa hapotei ila nishati inabadili mfumo tu,

Kwa mantiki hiyo mtu akifariki wengi wasio na ujuzi huu huhisi kuwa amefutika noo, it's time for that energy system to shift its avatar.... Nafsi(nishati) inatoka kwenda ku occupy another body..l
Maelezo yako kuhusu conversation of energy upo sawa, lakini kumbuka, nishati ni tool tu, sio the user, bnadamu ni complex biological machine inayoendeshwa na nishati.

Mfano tuongelee umeme unaopatikana kwenye smartphone yako, kawaida ukizima simu yako huo umeme huwa haupotei lakini data zako zote zilizomo kuanzia picha n.k zikifutwa, hiyo simu haitakuwa na thamani yoyote tena kwako hata kama umeme utaendelea kuwepo kwenye hiyo simu, maana yangu ni kwamba kifo ni kupotea kwa data zako ambazo ni consciousness/personality.

Kawaida science inaeleza kuhusu kinachotokea kwenye mwili tu lakini haijathibitisha na sidhani kama inaweza kuthibitisha kwamba fahamu za mtu huwa zinaendelea kuishi au huwa zinahamia kwenye mwili wa mtu mwingine.

Kwa hiyo, hoja sahihi zaidi nionavyo mimi ni kwamba mwili huwa unakufa nishati huwa inabadilika, lakini hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba utambulisho wa mtu huwa unaendelea kuwepo katika mwili wa mtu mwingine.

Kwahiyo siyo sahihi kutumia conservation of energy kama ushahidi wa reincarnation au kusema kwamba huwa hatufi kwa sababu hiyo ni logical leap ambayo science bado haijaweza kuithibitisha.

Ndiyo maana mpaka leo swali la nini huwa kinatokea kwenye consciousness baada ya kifo bado halina jibu la kisayansi lililokubalika kwa ushahidi.
 
Wanauwezo mkubwa mno my friend. Ni vile tupo kwenye dunia yenye kila aina ya distruction.Tunafeli kuobserve how intelligent and capable walivyo hao viumbe hai.


Ukiangalia kwa ndani sana binadamu ndio anacopy na kupest kila kitu kutoka kwenye nature.

Mfano mambo ya mahandaki ambapo saivi binadamu anajenga kuogopa maroketi na manuclear bombs ni dhahiri anacopy kila kitu kutoka kwa baadhi ya wanyama.Kuna wanyama mfano fuko jamii ya panga wanaweza kuchimba handaki kuanzia Manzese hapo Ubungo mpaka msamvu🙌😀😀.jamaa wanajenga tannell za kufa mtu wairani na israeli wakasome.Na hatumii saruji wala mbao wala chuma ni skills tu.

Hapo hujaongelea mchwa wanakuchimbia kichuguuu kinaurefu wa shimo la choo(septic tank).Binadamu ndio kiumbe tapelitapeli ameshapoteza uwezo wake wa kale amebakiza uzombi tu.
Isinge kuwa utapeli Hou wewe usinge type hii comment kupitia hicho kifaa
 
Maelezo yako kuhusu conversation of energy upo sawa, lakini kumbuka, nishati ni tool tu, sio the user, bnadamu ni complex biological machine inayoendeshwa na nishati.

Mfano tuongelee umeme unaopatikana kwenye smartphone yako, kawaida ukizima simu yako huo umeme huwa haupotei lakini data zako zote zilizomo kuanzia picha n.k zikifutwa, hiyo simu haitakuwa na thamani yoyote tena kwako hata kama umeme utaendelea kuwepo kwenye hiyo simu, maana yangu ni kwamba kifo ni kupotea kwa data zako ambazo ni consciousness/personality.

Kawaida science inaeleza kuhusu kinachotokea kwenye mwili tu lakini haijathibitisha na sidhani kama inaweza kuthibitisha kwamba fahamu za mtu huwa zinaendelea kuishi au huwa zinahamia kwenye mwili wa mtu mwingine.

Kwa hiyo, hoja sahihi zaidi nionavyo mimi ni kwamba mwili huwa unakufa nishati huwa inabadilika, lakini hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba utambulisho wa mtu huwa unaendelea kuwepo katika mwili wa mtu mwingine.

Kwahiyo siyo sahihi kutumia conservation of energy kama ushahidi wa reincarnation au kusema kwamba huwa hatufi kwa sababu hiyo ni logical leap ambayo science bado haijaweza kuithibitisha.

Ndiyo maana mpaka leo swali la nini huwa kinatokea kwenye consciousness baada ya kifo bado halina jibu la kisayansi lililokubalika kwa ushahidi.
Unakosea kusema kinacho potea ni consciousness unless usiwe aware of spirituality

Na science unacho Fanya ni ku catch up na spirituality ambayo ime exist for a hundred thousanda of years..
 
Back
Top Bottom