Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,240
Taarifa mpya kutoka Mkoani Mara zinadokeza kwamba , baada ya sarakasi za kuuawa kwa walioitwa majambazi huko Serengeti , ambapo wadau mbali mbali wamejitokeza kuhoji uhalali wa mauaji hayo ya kishamba , eti leo wameonekana madereva wa bodaboda wakimpongeza RPC Kwa kuua Majambazi , inakadiliwa kuwa Bodaboda zaidi ya 100 walishiriki maandamano hayo ya pongezi ! (Nani atathibitisha kama waandamanaji hao ni madereva wa bodaboda ?) , acha iwe siri.
Bali Mashaka juu ya Jambo hili ni BAADA YA WAONA MBALI KUTAMBUA KWAMBA KUMBE MUANDAAJI WA MAANDAMANO HAYO NI RPC MWENYEWE ! yaani kaandaa kupongezwa ili asitumbuliwe ! haya ndio maajabu ya Tanzania , kama waliouawa ni majambazi hofu ya kutengeneza maandamano ya mchongo inatoka wapi ?
Swali : Hivi ni wapi mlikowahi kukuta bodaboda wanaandamana ili kupongeza mauaji ya majambazi ? Kwanini leo iwe Mkoa wa Mara ? Na je kama hilo jambo limegusa Mkoa wote kwanini yasingeitishwa maandamano ya wananchi wote wa Mara badala ya kikundi kinachoitwa Madereva wa bodaboda ?
KILA UBAYA UTALIPWA
Bali Mashaka juu ya Jambo hili ni BAADA YA WAONA MBALI KUTAMBUA KWAMBA KUMBE MUANDAAJI WA MAANDAMANO HAYO NI RPC MWENYEWE ! yaani kaandaa kupongezwa ili asitumbuliwe ! haya ndio maajabu ya Tanzania , kama waliouawa ni majambazi hofu ya kutengeneza maandamano ya mchongo inatoka wapi ?
Swali : Hivi ni wapi mlikowahi kukuta bodaboda wanaandamana ili kupongeza mauaji ya majambazi ? Kwanini leo iwe Mkoa wa Mara ? Na je kama hilo jambo limegusa Mkoa wote kwanini yasingeitishwa maandamano ya wananchi wote wa Mara badala ya kikundi kinachoitwa Madereva wa bodaboda ?
KILA UBAYA UTALIPWA