Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Vitu vingine inabidi na serikali nayo ijifunze .

Mfano siku moja hapa tulikua na gari na gari letu lilikua kasi sana ,mara tukaona vimurimuri mbele na nyuma ya magari ya polisi yanatufuata,ile bado hatujajiandaa kubisha wakachomea ka screen fulani wakatuonyesha gari yetu na speed inavyotoka baruti.

Hapo ilibidi tuwe pole tu na kutunga uongo kwa polisi chapu chapu ,tukawaambia da kwa kweli barabara zenu ni nzuri sana yani tumenogewa kwanza hata tulitaka kuongoza speed na tukasema kule kwetu hakuna barabara kama hii ndio maana,polisi walicheka tu wakatuacha.
Hivi kwetu bongo nini kinashindikana ku weka vifaa kama hivi,si ni matumizi tu ya satelite yani anjari ikitokea vyote vinaonekena nasio kuanza kuhisi nini na propaganda.
 
Mwanakijiji, this is one the most thorough and even-handed news report I have ever seen from a Tanzanian journalist.

(Samahani kutoka nje ya subject ya Msiba, lakini juzi walifariki watoto wa Mbunge mwingine, lakini Bunge likatoa kitaarifa cha kiholela holela na crummy media ya Bongo haiku pick up the slack. Mpaka leo sijui yule aliyefiwa alikuwa ni Mbunge wa wapi)

Hujaona ile makala ambayo Mwanakijiji huyo huyo alimkandia ile mbaya Chacha Wangwe


ipo humu wewe itafute utaipata
 
Mwenyezi Mungu, Mungu wa Rehema aliyemuumba Chacha Wangwe hatimaye amemchukua.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe. Amen (Ayubu 1:21)
Poleni sana wanafamilia, ndugu jamaa na marafiki.
Mwenyezi Mungu awape faraja na moyo wa uvumilivu wakati huu wa majonzi.
 
By the way, in africa we just let the dead rest in peace. we must try to avoid mocking or God's anger will emerge to us
 
By the way, in africa we just let the dead rest in peace. we must try to avoid mocking or God's anger will emerge to us

By the way, in Africa will like people who maintain consistent standards across the board, alright?

Kwa hiyo Balali kaamua kufa na wadudu wanakuja hadharani huku wakipangusa midomo wakisema hawajawahi kula....
 
Well nadhani ndio maana wakati fulani tunaitwa hypocrates. Kuna watu hapa naona walimkandia sana Wangwe na sasa wanamsifu. The question is kwanini tusimsifu wakati yuko hai ali mwenyewe ajue thamani yake, na tunaamua kumsifu sasa hivi.?
 
Salaam za rambirambi ziwafikie familia na marafiki wa marehemu Chacha Wangwe. Hakika hapa tumempoteza mpiganaji shupavu, asiye na woga na anayejali maslahi ya Tanzania na wananchi wake. Ni mapenzi ya Mungu na laiti tungekuwa na uwezo wa kukata rufaa bila shaka wengi hatungesita kufanya hivyo. Mwenyezi tunakuomba uulaze roho ya marehemu pahala pema peponi, Amina.
 
Haya ndiyo baadhi ya mambo yanayo-put off watu wengi serious katika mijadala ya maana. Sasa mimi nimeingiaje katika kugombea na kivuli? Haya yananihusu vipi mimi? Mimi ni nani na wa wapi hadi niingizwe huko unakosema wewe? Na kabla ya hapa, hapo juu kwenye mcango wako mmoja, umemuita mtu "kijana wangu".

Sasa naanza kupata mwanga wa mwelekeo wako wa mawazo, lakini katika uptofu huu, haya mambo ya kigagaggigikoko ndo yanathibitisha kwamba baadhi ya watu hapa wanavamia na kuchanganya hoja na watu. Kama kuna kupotea, ndiko huku, na hii inapunguza credibility ya forum maana inatumiwa na baadhi ya wahuni kwa ajili ya kutimiza malengo yao machafu. Mfano wa haraka haraka hapa ni huyu Mgagagigikoko na kauli zake hizi....!Aibu!

Wahuni ni wale waliomfukuza Marehemu Chacha wangwe huku wakijua amechaguliwa kwa ridhaa ya wanachama wake.

wahuni ni wale ambayo Marehemu kafa bado wanamsingzia uongo kuwa aligombana na watu wa Guest ya Dodoma, yaani walikuwa wakimsimanga alipokuwa hai na hadi anakufa wanaisimanga maiti,

wahuni wanaotumia JF kutekeleza malengo yao ni wale walivyomtimua tu wakaja mbio JF kumsimanga na kumsingizia mambo mengi marehemu Wangwe,

wahuni ni wale wanaotumia ujinga wa wana Chadema kuweka kabila moja kwenye Viti maalum, wahuni ni wale waliomuogopa marehemu Chacha Wangwe kwenye vikao na wakawalipa au wakakimbia JF na kutumia majina bandia ili kumsema wakati mlikuwa nae kwenye kikao.

hao ndio wahuni na wengine wanakuja kuleta rambirambi bila kusema kuwa hawakumtendea haki marehemu,basi mpeni Kitila nafasi ya umakamu au Tundu Lissu kwani aliyekuwa Mzigo kwenye chama ameondoka.
 
Well nadhani ndio maana wakati fulani tunaitwa hypocrates. Kuna watu hapa naona walimkandia sana Wangwe na sasa wanamsifu. The question is kwanini tusimsifu wakati yuko hai ali mwenyewe ajue thamani yake, na tunaamua kumsifu sasa hivi.?

UMesema vizuri kabisa,wapo walimwita kuwa ni mzigo ndani ya Chadema, wapo waliomwita ni pandikizi la CCM na Rostam Aziz, wapo waliosema kuwa hana INTERPERSONAL SKILLS, kama hana hizo SKILLS aliweza vipi kuchaguliwa ubunge na huyo anayesema hivyo alishindwa hadi uchaguzi wa Chipukizi ndani ya CCM, mtu aliyeshindwa uchaguzi ndani ya CCM tena wa Chipukizi anajitia ana INTERPERSONAL SKIILS.

Hawa ndio wanafiki wakubwa tulionao hapa JF.
wapo wazuri kama MKANDARA, MTANZANIA na wengine waliojaribu kuona haki ya Wangwe inalindwa.
 
Hujaona ile makala ambayo Mwanakijiji huyo huyo alimkandia ile mbaya Chacha Wangwe


ipo humu wewe itafute utaipata

GT, siku hizi umekuwa shujaa wa kuzulia watu maneno. Hewala. Hata kutoa pole umeshindwa zaidi ya kuchomekea mambo yako ambayo yanaonesha wewe ni mtu wa aina gani. Uungwana huo haufunzwi; mtu ni muungwana au siyo.
 
kwa anayesema barabara ya Dar Dom ni mbovu aache uwongo ile bara bara ni nzuri sana tuu tatizo ni single carriage na haina taa bara barani kama M1 lakini ni lami tupu mpaka Dom

kinachotisha ile bara bara ni MAJAMBAZI wa silaha
 
Roho ya Marehu Ipate Rehema Kwa Mungu Impumzike kwa Amani, Amina. Pole kwa wanafamilia, wanachi wa Tarime, Wanachadema na Tanzania kwa Ujumla

Mimi na wewe tumebaki, je tunadhani tutaishi milele? miaka 100, au 50 au siku chache au next min? Tujitayarishe kwani haijalishi unachofikiria na/au kuamini muda wetu hapa duniani ni mfupi sana. Tuombeane tuutumie vizuri
 
Tunashukuru pole yako inatoka moyoni, ulimuenzi akiwa hai wale wanafiki wamekuja mbio kuleta pole za kinafiki.
Mkandara ulitetea na kuamini ya Marehemu Wangwe tunakushukuru kwa hilo. pole yako tunaipokea ni ya dhati si ya kinafiki.

sijamjua Wangwe leo kwenye msiba niko nae toka mlipoanza kumuwekea zengwe,soma mada zangu kwenye Chacha Wangwe na Chadema.kiasi cha kijana wako Mushi akanibatiza jina la Wangwe na kusema bora apigwe Risasi.

UMesema vizuri kabisa,wapo walimwita kuwa ni mzigo ndani ya Chadema, wapo waliomwita ni pandikizi la CCM na Rostam Aziz, wapo waliosema kuwa hana INTERPERSONAL SKILLS, kama hana hizo SKILLS aliweza vipi kuchaguliwa ubunge na huyo anayesema hivyo alishindwa hadi uchaguzi wa Chipukizi ndani ya CCM, mtu aliyeshindwa uchaguzi ndani ya CCM tena wa Chipukizi anajitia ana INTERPERSONAL SKIILS.

Hawa ndio wanafiki wakubwa tulionao hapa JF.
wapo wazuri kama MKANDARA, MTANZANIA na wengine waliojaribu kuona haki ya Wangwe inalindwa.

Samahani sikuji lakini what is your problem? Unataka nini? Kufariki kwa mtu hakufanyi msimamo wako wa awali kuwa sahihi. Kama wengine walikuwa wanapingana na mawazo ya marehemu na hata yako, kwa vile Amefariki hakufanyi wewe uwe sahihi. kwa hiyo sioni unaloshabikia hapa. Inasikitisha sana mtu anapojaribu kuonyesha alikuwa sahihi, sababu tu alikuwa anakubaliana na fikra za Marehemu na wengine walikuwa upande mwingine. Inasikitisha sana tena sana.

kWANINI KIKAO KIWE KWA MBOWE KWANI MAREHEMU HANA NYUMBA DODOMA?
BORA KIKAO KIWE KWA WABUNGE WA MUSOMA.

Na hili wataka lijibiwe na nani? Inasikitisha sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom