Sasa nyie watu wa mkoa wa Mara sijui wakurya au wajita mkimaliza kulumbana na kujionyesha mlivyo na misimamo mjibu ama mkubali hoja yangu kuwa watu wa mara wana fujo au la!!!!
Halafu wewe Magabe Kibiti usijifanye kuwa wewe ndo mkurya peke yako hapa mtandaoni na kuwaona wakurya wengine siyo wakurya.Kwani Tarime nzima unakaa wewe???Araaaaaaaa!!wewe mkurya wa wapi?? Ulitahiriwa wapi??Yani unajiona wewe ndo mkurya tuu,mkiambiwa mmezoea mifujo mnakuja juu.Wewe ukoo wa nani wewe magabe wewe???,na usijifanye una uchungu sana na tarime.Umesikia???
Muraa amang'ana kasarakire. Chacha amefariki na hatuna uwezo wa kumrudisha. Tumshukuru mungu kwa zuri na baya. Nina imani kubwa amefariki kwa ajali ya gari na wala si risasi.