macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,232
- 60,327
Jakaya Kikwete, Rostam Aziz na wenzenu.... mnaipeleka Tanzania pabaya. Huu mpango wa kutumia fedha ili kuwadhoofisha watu/vyama vinavyoonekana kukubalika kwa wananchi utakuja kuwatokea puani... kama sio ninyi ni watoto wenu. Nchi haiendishwi hivyo. Huwezi kuuondoa "ugonjwa unakusumbua" kwa kuwafanya wenzio nao wawe wagonjwa... Mmeingia dili na Mtikila mkamhonga fedha na kumfutia kesi iliyokuwa inamkabili ili aichafue chadema.... LAKINI KUMBUKENI WATANZANIA WANAENDELEA KUSUMBUKA NA KUFA KWA UFISADFI WENU...OLE WAKO KIKWETE.. OLE WAKO ROSTAM...