jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
.taarifa nilizonazo mjj...ni kuwa hii hoja ya wangwe ilikuwa na madai mazito ya ardhi na fidia kwa wana tarime ..kutokana na ardhi yao kuchukuliwa na wawekezaji..ilhali wao wana shida ya ardhi kwa kilimo na uchimbaji mdogo...habari zinazidi kusema kuwa madai ya chacha kwa hawa watu wa madini na serikali yalikuwa yanafikia dola milioni 800...
katika siku za karobuni baada ya serikali kufanikiwa kupata nakala za hiyo hoja[labda kwa kumtumia mallya]...juhudi kubwa zilikuwa ziikifanyika kumbembeleza asilete hoja au apunguze ukali wa hoja...najuwa hakukubali kuitupa hoja yake...ila sijui kama alikubali kupunguza ukali......
NI KWELI INAWEZEKANA KABISA CHADEMA WAKAWA HAWANA COPY YA HIYO HOJA KWANI .....HATA MKUU WA UPINZANI BUNGENI ALISHAWEKA WAZI KUWA CHACHA ALIKUWA AMEANZA TABIA YA KUTOWASHIRIKISHA WAPINZANI WENZAKE KWENYE HOJA ZAKE BUNGENI.....NAKUBALI KUWA UWEZEKANO MKUBWA UPO KWA CCM KUWA NA HIYO HOJA AU SPIKA ....
KILIO CHA SPIKA BUNGENI....kuna wabunge wengi wamepata kufa ..na spika wetu ni jasiri..sijapata kumuona akidondosha japo chozi...zaidi ya kwa wangwe...sijui haya machozi ya spika tunayachambuaje???.....je kuna jambo la hatari ambalo spika angeweza kumuepusha wangwe na akashindwa,,,au kuna nini hapa>..kumbuka alikuwa amemuahidi ruhusa ya kuwasilisha hoja baada ya kutoka dar es salaam..kuzika...spika ndio pekee alijua anasafiri.
KUIBIWA KWA LAPTOP YA MAREHEMU ...kunaweza kuwa kumepoteza nyaraka zote za kuwasilisha hiiyo hoja..kwa nini haijapatikana hadi leo...kama ingekuwa imeibiwa na mwanakijiji ..angeshindwa kuiuza ,itakuwa imechukuliwa na waelewa......
UKIANGALIA YOTE HAPO JUU na kitendo cha KATIBU MKUU WA CCM kutuma nyaraka za mgogoro wa CHADEMA mikoa yote ..masaa machache kabla ya msiba as if walikuwa wakitegemea BIG NEWS..inazidi kukita mawazo yetu kufikiria zaidi..katibu mkuu alijuaje kuwa hoja ya wangwe dhidi ya wana chadema wenzake..ilikuwa inakaribia kuwa mtaji wa kisiasa???
bado tunahitaji kuchunguza...
Mkuu hizo points hapo juu nilizitowa siku ya kwanza kabisa ya mjadala wa kuhusu kifo cha Wangwe.
Licha ya kwamba ni experience theories nyingi...Lakini hii pia niliitowa kama part of speculation...Kuwa naona tatizo lilikuwa kwenye hoja yake aliyotaka kuiwakilisha.
Na hata mkuu MKJJ nilionelea nimpigie simu na kumweleza wazi kuwa tunatakiwa tujiulize kuwa hiyo hoja ni hoja gani hiyo.
Na aliniambia kuwa hakuna mtu anayo labda ni spika Six mwenyewe...Hapo hata mimi nguvu ziliniishia na ndio maana nikatoa ujumbe kuwa ni muhimu kuja pamoja na kujadili namna ya ku move forward kwani mikataba ilishainiwa na hao wawekezaji wana nguvu sana.
NB:Hapo kwenye spika kulia nadhani ni dalili kuwa alihofia maisha yake na labda pia alimkanya asisafiri!
Inaelekea mpango wa kumwua marehemu ulikuwa leaked miongoni mwa ccm na wakawa hawana njia ya kumuokoa tena...Huyo kijana alindwe ndiye shahidi mkuu...Huyo Mallya ndiye Marley mwenyewe...Ukweli auweke wazi...Tunajuwa alitumwa...Lakini kuna wanausalama ambao hawataki na hawajapenda kitendo hicho cha kumuondoa wangwe na ndio maana walilikisha habari kwa baadhi ya wana ccm...Sasa wana ccm wengine wakaamuwa kuchukuwa uamuzi wa ku ipoliticize issue hiyo....The fact kwamba kijana amebaki mzima ndio ukweli kuwa kesi hii haitaweza kufa na kama familia imechukuwa hatuwa hiyo...Basi usishangae MAPINDUZI YAKIANZIA HUKO KWA KINA WANGWE...Maana nahisi harufu ya damu damu tu.
Sijui JK kwanini amefumba macho na pamba masikioni...Yani kama hayupo kabisa.
Sasa atueleze kama ni mapenzi ya Mungu wanausalama kuchemsha kiasi hiki na kutaka kuleta BALAA!
KWASABABU ISSUE ZA USALAMA ZIKIINGIZIWA SIASA NI HATARI SANA...NA NDIO MAANA NAMUUNGA MKONI PROFESSA WANGWE KWA ASILIMIA ZOTE!