Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

nadhani kati ya watanzania wote, kauli chafu kwa marehemu imetoka kwa mnyika mnatetea ujinga ili iweje? Mnyika anajua yeye atalazwa wapi? anakumbuka alivyomtukana rais?

Ujinga kuambiwa ukweli? Yes hakuna anaejua atalazwa wapi? Lakini vile vile hakuna anaejua atakufa lini? Marehemu Komba alimwambia Mzee Warioba "anakaribia kufa" hiyo kwako ilikuwa ni kauli ya busara? Au kwakuwa sasa ni Marehemu yeye kwa hiyo na kauli zake automatic zimegeuka kuwa za busara? Ukweli acha usemwe hata kama ni mchungu.Kabaki na mwenezi wenu wa Chama aliewatabiria Wazee Kifo.
 
VUTA-NKUVUTE
Naomba uwe makini na sio kuwa mwepesi kiasi hicho cha kuanza kutunga stori na kujichekesha wenyewe.
Naomba uangalie hizi picha 2 hapa na ujionee uongo wako kuwa hiyo taarifa ni ya MNYIKA au mmescreenshot na kuzusha.
Poor you
 

Attachments

  • snapshot ya kumchafua Mnyika.jpg
    snapshot ya kumchafua Mnyika.jpg
    67.4 KB · Views: 200
  • Snapshot ya uongo.jpg
    Snapshot ya uongo.jpg
    19.2 KB · Views: 173
VUTA-NKUVUTE
Naomba uwe makini na sio kuwa mwepesi kiasi hicho cha kuanza kutunga stori na kujichekesha wenyewe.
Naomba uangalie hizi picha 2 hapa na ujionee uongo wako kuwa hiyo taarifa ni ya MNYIKA au mmescreenshot na kuzusha.
Poor you

Sijakuelewa. Fafanua Mkuu msani

Mzee Tupatupa
 
Last edited by a moderator:
Mungu alitoa na Mungu ametwaaa Jina la Bwana Libarikiwe. Achen kubishania wakfu na walio hai tengenezeni Njia zenu. Amina
 
Ivi mnaofuatilia haya mambo, Warioba amekwenda msibani? Jana nilimuona EL.
 
nadhani kati ya watanzania wote, kauli chafu kwa marehemu imetoka kwa mnyika mnatetea ujinga ili iweje? Mnyika anajua yeye atalazwa wapi? anakumbuka alivyomtukana rais?
Mnyika kutamka kwamba rais wetu ni dhaifu halikuwa tusi. Sema ni tusi gani Mnyika alimtukana rais? au wewe unaona rais wetu ni tough? Umemsikia akisema kitu chochote kukemea mauaji ya Albino tangu kila mtanzania anavyohuzunika na kulia? Wakati wa matatizo mie nakumbuka baba wa nyumba ndio anapanda pipa kwenda kusalimia rafiki zake ulaya,marekani na uarabuni. Huo ndio udhaifu. Anawatuma wasaidizi wake kazi kuifanya akijua kuwa ni bomu, likilipuka baadaye anawaacha njia panda kama kina Mramba na wenzie. Tegeta ESCROW si umeona anavyoongea wakati anasemwa kunufaika Bilioni 10 katika familia yake lakini anakuwa kama hasikii vile, anatetea kwamba ni hela yao sio ya serikali. Anafanya hivyo kwa sababu anajua watanzania wanajua lakini anataka wazibe midomo. Kama baba anafaidi pesa chafu, watoto wafanyeje? NSKANSKA limekuwa bomu tangu yeye akiwa waziri wa madini na umeme ndani yake, moja kwa moja anahusika nalo lakini watu hawamsemi kwa heshima ya kiti chake tu. Subiri akitoka utasikia mengi. Bora Mnyika alisema wakati mhusika anayo nafasi ya kujiosha. Unataka angesema kama anavyosemwa Komba hivi sasa na hana nafasi ya kujifunza uhalisia wa mambo na kunawa uso? Tusiwe wanafiki watanzania. Ukimpenda mtu mwambie ukweli ili anawieishe historia yake, ni unafiki wa kutisha kumwambia mfalme wako kavaa vizuri sana wakati unaona kabisa yuko uchi, basi tu kusudi akupatie ukuu wa wilaya au mkoa Fulani. Akitoka kwenye kiti nawe unang,olewa kwa uzandiki wako.
 
Mnyika kutamka kwamba rais wetu ni dhaifu halikuwa tusi. Sema ni tusi gani Mnyika alimtukana rais? au wewe unaona rais wetu ni tough? Umemsikia akisema kitu chochote kukemea mauaji ya Albino tangu kila mtanzania anavyohuzunika na kulia? Wakati wa matatizo mie nakumbuka baba wa nyumba ndio anapanda pipa kwenda kusalimia rafiki zake ulaya,marekani na uarabuni. Huo ndio udhaifu. Anawatuma wasaidizi wake kazi kuifanya akijua kuwa ni bomu, likilipuka baadaye anawaacha njia panda kama kina Mramba na wenzie. Tegeta ESCROW si umeona anavyoongea wakati anasemwa kunufaika Bilioni 10 katika familia yake lakini anakuwa kama hasikii vile, anatetea kwamba ni hela yao sio ya serikali. Anafanya hivyo kwa sababu anajua watanzania wanajua lakini anataka wazibe midomo. Kama baba anafaidi pesa chafu, watoto wafanyeje? NSKANSKA limekuwa bomu tangu yeye akiwa waziri wa madini na umeme ndani yake, moja kwa moja anahusika nalo lakini watu hawamsemi kwa heshima ya kiti chake tu. Subiri akitoka utasikia mengi. Bora Mnyika alisema wakati mhusika anayo nafasi ya kujiosha. Unataka angesema kama anavyosemwa Komba hivi sasa na hana nafasi ya kujifunza uhalisia wa mambo na kunawa uso? Tusiwe wanafiki watanzania. Ukimpenda mtu mwambie ukweli ili anawieishe historia yake, ni unafiki wa kutisha kumwambia mfalme wako kavaa vizuri sana wakati unaona kabisa yuko uchi, basi tu kusudi akupatie ukuu wa wilaya au mkoa Fulani. Akitoka kwenye kiti nawe unang,olewa kwa uzandiki wako.

View attachment 231143
 
Mnyika kutamka kwamba rais wetu ni dhaifu halikuwa tusi. Sema ni tusi gani Mnyika alimtukana rais? au wewe unaona rais wetu ni tough? Umemsikia akisema kitu chochote kukemea mauaji ya Albino tangu kila mtanzania anavyohuzunika na kulia? Wakati wa matatizo mie nakumbuka baba wa nyumba ndio anapanda pipa kwenda kusalimia rafiki zake ulaya,marekani na uarabuni. Huo ndio udhaifu. Anawatuma wasaidizi wake kazi kuifanya akijua kuwa ni bomu, likilipuka baadaye anawaacha njia panda kama kina Mramba na wenzie. Tegeta ESCROW si umeona anavyoongea wakati anasemwa kunufaika Bilioni 10 katika familia yake lakini anakuwa kama hasikii vile, anatetea kwamba ni hela yao sio ya serikali. Anafanya hivyo kwa sababu anajua watanzania wanajua lakini anataka wazibe midomo. Kama baba anafaidi pesa chafu, watoto wafanyeje? NSKANSKA limekuwa bomu tangu yeye akiwa waziri wa madini na umeme ndani yake, moja kwa moja anahusika nalo lakini watu hawamsemi kwa heshima ya kiti chake tu. Subiri akitoka utasikia mengi. Bora Mnyika alisema wakati mhusika anayo nafasi ya kujiosha. Unataka angesema kama anavyosemwa Komba hivi sasa na hana nafasi ya kujifunza uhalisia wa mambo na kunawa uso? Tusiwe wanafiki watanzania. Ukimpenda mtu mwambie ukweli ili anawieishe historia yake, ni unafiki wa kutisha kumwambia mfalme wako kavaa vizuri sana wakati unaona kabisa yuko uchi, basi tu kusudi akupatie ukuu wa wilaya au mkoa Fulani. Akitoka kwenye kiti nawe unang,olewa kwa uzandiki wako.
Hebu tuambie tusi ambalo marehemu Komba alimtukana Wqryoba.
 
Hujielewi kaa kimya au kale viroba.
Sitaki kuamini kwamba kushabikia kauli za Mnyika ndiyo kujitambua. Kama ndivyo ilivyo basi bado tuna safari ndefu kwenye masuala ya siasa.
 
Nadhani wana ccm hatutaki nukuu za marehem zisemwe wakati huu.hata hivyo kumnukuu ama kunukuu kauli mbaya ama tusi la mtu mwingine la weza kuleta tafsiri mbaya kwa yule anaye nukuu mfano mlevi katukana tusi kubwa na wewe umemsikia una ulizwa na watu jinsi mlevi alivyo tukana nawe unatamka kama ilivyo hatima yake wewe ndio unaonekana umetukana.mnyika kumnukuu komba kwawakati huu hakuwa sahihi je anajuaje? kama komba hakuomba msamaha kwa mzee warioba.nakama aliomba tu mweleweje mnyika.UKIWA MSHABIKI AU KADA WA CHAMA FLANI .angalia usizidishe kiasi cha kujitoa ufaham
 
nadhani kati ya watanzania wote, kauli chafu kwa marehemu imetoka kwa mnyika mnatetea ujinga ili iweje? Mnyika anajua yeye atalazwa wapi? anakumbuka alivyomtukana rais?

Mnyika hakumtukana Rais alimwambia ukweli kuwa ni DHAIFU na wote tunaona
 

sasa hapo ni neon gani baya aliloongeza mnyika katika hotuba ya Komba? Juzi tu hotuba hiyo imerudiwa kupitia Mlimani TV wakikumbusha alivyosema. Kumwambia Wariona anakaribia kufa ni sifa hiyo kwa warioba? kwamba wazee wakistaafu wasifuatefuate wenzao wakae kimya kama wanayolewa, wewe unaona utamu huo? Kwamba Wamekula peas nyingi wakiwa tume wakae pembeni nasi tufanye ya kwetu bila kufuatwafuatwa ni heshima hiyo kwa wazee? nk, nk, nk mengine naogopa kuyasema lakini najua unayajua usikatae ukweli. Komba ni fundi wa dharau na matusi lakini bado tunamtakia apumzike mahali anapostahili.
 
Nadhani wana ccm hatutaki nukuu za marehem zisemwe wakati huu.hata hivyo kumnukuu ama kunukuu kauli mbaya ama tusi la mtu mwingine la weza kuleta tafsiri mbaya kwa yule anaye nukuu mfano mlevi katukana tusi kubwa na wewe umemsikia una ulizwa na watu jinsi mlevi alivyo tukana nawe unatamka kama ilivyo hatima yake wewe ndio unaonekana umetukana.mnyika kumnukuu kaomba kwawakati huu hakuwa sahihi je anajuaje? kama kambo hakuomba msamaha kwa mzee warioba.nakama aliomba tu mweleweje mnyika.UKIWA MSHABIKI AU KADA WACHAMA FLANI .angalia usizidishe kiasi cha kujitoa ufaham
Kati ya Watanzania zaidi ya mil. 45 Mnyika tu ndiye ameona muda huu ambao Komba haongei tena ndiyo wa kumkosoa? Alikuwa wapi wakati angali hai? Huyu Mnyika atakuwa na matatizo ya akili, kwanini kila kauli chafu itoke kwake tu?
 
Back
Top Bottom