Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Wapo wengi wenye tabia ya kujinasabisha na pepo na kuiona dunia si size Yao nawakumbuka walivuokuwa wanamtukana Mzee Warioba bila
Soni na hata hawampati kwa lolote eti vile wao ni viti maalumu na shemeji za mkulu lol!Komba na awasalimie
 
Marehemu kaacha watoto 11,haya ndiyo matumizi sahihi ya viungo vya uzazi.
 
Simple,plain and clear!Hata wageuze maneno vipi,hii ni moja ya kumbukumbu mbaya kwake,na hivi kiburi kilikuwa kimemjaa,sidhani hata kama aliwahi hata kufikiria kumwomba msamaha Mzee Warioba,Mungu hadhihakiwi kiasi hicho,unajawa na kiburi hadi unawapangia wenzio muda wa kufa.Kabaki yule aliewaambia Wazee wanaotaka Serikali 3 wanasubiri kufa,nae Mungu wetu atatujibia kwa niaba yetu kwa wakati wake.
...watu wenye kibri na fedhuli kwa wenzao mithili ya huyu komba huwa nadra kupewa mda wa kutafakari na kutubu mabaya yao pale Israeli anapokuja kuchukua roho zao.....Nimesikiliza leo jinsi mauti ilivyomkuta komba....kwa kweli hakuwa na muda hata wa kuagana na mkewe aliyekuwa nae kwenye gari akimuwaisha hospital.....Yaani kafia barabarani....mbele ya family yake....tena suddenly....Inasikitisha sana...na hakika ni angalizo kuu kwa wale wanasiasa wenye dhihaka na fedhuli mbele ya wenzao ktk taifa hili lililogeuzwa shamba la bibi ......
 
Semeni ukweli watanzania,hakika alikuwa ni mtu wa matusi sana,hata juzi pale songea kwny wimbo katukana.
Mwenye kauli yake kwa Mzee wetu Warioba aiweke hapa plz.
NB: Nimelala nja siku 4 kwa kukosa hata shilingi,maji ndo yaliyonisaidia.Hapa ndipo tulipofika huku mtaani.
 
AAAH KWELI USILOLIJUA NI KAMA USIKU WA KIZA, KWA ELIMU YAKE TU ALIYO NAYO mnyika FUATIL

IA PERFORMANCE YAKE ILIKUWAJE??, REAL NATHUBUTU KUKUITA WEWE UNA AKILI ZA PANZi[/QUOTE
Nimefatilia mbona maelezo yake yote yapo humu ndani?? Elimu yake ni ya kuunga unga na hana uwezo wa kufikiri...perfomance ndio usomi??? Yawezekana wewe ni mzigo zaidi ya neno mzigo, huwezi jua behind the scène ya hiyo perfomance kuna nini...maybe alipiga chabo so usitishike na performance.
 
Nilikua namweshimu sana marehemu comba,ila nilisikitika sana alivyo kua akimkashifu mzee wetu warioba.sikutegemea kama na yeye angeweza kufanya vile.ila bwana alitoa na bwana ametwaa libatikiwe jina lake..
 
Heko Spika Anna Makinda kwa karipio lako; Hakuna mtu mwenye hakimiliki na Uhai, Leo Komba chali, Jaji Warioba anadunda! Binadamu tujifunze kuwa na akiba ya kauli zetu, kuhusu mauti au uhai tumuachie Allah.
Kwa mara ya kwanza Spika kawa muwazi kasema binadamu tungalipo hai tuwe tunachunga ndimi zetu huwezi kujua ya kesho,

Nafikiri alikuwa anarejea kauli ya marehemu kuwa, Warioba ni mzee anayesubiri kufa na ile ya kama katiba ya Warioba ikipitishwa ataingia msituni,

Nimeamini Mungu ni mwema na anatupenda, endapo Komba angetimiza ndoto yake ya kuingia mstuni hakika wengi wangeangamia.
 
Sitaki kuamini kwamba kushabikia kauli za Mnyika ndiyo kujitambua. Kama ndivyo ilivyo basi bado tuna safari ndefu kwenye masuala ya siasa.
Mbona watu mnasema tu kauli ya Mnyika bila kutaja kasema nini au quote ya marehemu mnataka kuifanya iwe ya Mnyika, mnachotakiwa ni kuwaasa walio hai wasienende mapito ya marehemu Komba.

Rest in piece.
 
Sijakuelewa bado, Ulikuwa unataka kusema nini?

Ni rahisi. Tulio na akili timamu tunasema Siyo kila mtu anastahili kulala pema peponi. Wengine kama huyu komba, apelekwe panapomfaa kwa ufedhuri wake bungeni. Wako wengi wanaoamini wakishafika bungeni basi hata unyama wao na upuuzi wa kuchagua maneno, upewe baraka. NO!
 
hapo ndipo tujue kuwa Mungu pekee ndiye muamuzi wetu wala si cheo wala utajiri alinao mtu.
 
Yule Mungu aliyemuumba nguruwe ndio yule aliyeniumba mimi na wewe
ila kumtabiria mwenzako kufa wakati wewe huwezi kujitabiria ni ujinga tu

Huyu mzee ni sheeeeeeedddaaahh-komba
 
Tunachotaka ni kila mmoja wetu atambue ana wajibu wa kuyaandaa maisha yake ya hapa duniani hata ya ahera tusidanganyane et kwa sababu ni marehemu mabaya yake
yageuzwe kuwa mazuri
Inanikumbusha siku Margareth Thatcher(Waziri mkuu wa zamani wa UK) amefariki.Mitaa kibao ya miji mikubwa kama LONDON walioneshwa watu wakishangilia na kufanya sherehe kifo cha huyu mama,bbc ilionesha live bila chenga.

Na sisi muda umefika wa kutokuoneana haya eti kisa huyo mtu kafa/kafariki.Mtu mbaya ajadiliwe tu na yeye,tena ikibidi hata maiti yake ichapwe viboko kabla ya kuzikwa.
Tutaheshiana tu!!!!!
 
Back
Top Bottom