Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Kept;John komba katungulia mbele ya haki.je tuliobaki ndio tunakiwa kujifunza kutokana na kifo hiki.maana hakuna ajuae saa ya kufa kwake.ila ccm ni pigo kubwa kutokana na mchango mkubwa alioutoa ndani ya chama cha mapinduzi.hii pia ni dalili ya kufa kwa ccm.
 
GJHariohay, I am in the same view. Kilinichonishtua ni Jamiiforums kuamua kufunga threads zote zilizokuwa zinamjadili John Komba kwa "mabaya" aliyoyafanya wakati wa uhai wake.

Kuna msemo maarufu hapa JF unaosema "Ficha Upumbavu wako; Usifiche Hekima yako!" Lakini walichofanya JF ni kuficha "upumbavu" wake, bila kutuonyesha "hekima" zake. Invisible na wenzako mmetunyima uhuru wa kuongelea mazuri na mabaya ya John Komba.

Kuna wanasiasa wengine ambao ni worse than Komba kwa kuharibu hii nchi kwa faida zao binafsi nao muda wao wa kukaa hapa duniani ukifika, mtafunga zile threads zao zote zilizokuwa zinajadili mabaya yao wakati wa uhai wake?

Ni kama vile mnaweka bad precedent na kama hamtazifunga thread za wengine pia, itabidi mtoe justification kutofanya hivyo. I thought here is "where we dare to talk openly".

Kuongelea mabaya ya Komba siyo kumnaga marehemu, bali ni kuwapa watu uhuru wa kujadili pande zote mbili za kuhusu yeye. Mfano, alipofariki Margaret Thatcher niliweka thread siku ya mazishi yake: Margaret Thatcher funeral: a "fitting tribute?" | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

Watu walijadili openly including mabaya yake kama kumwita Mandela gaidi. Lakini thread haikufungwa. Sasa hii "rule" ya kutojadili mabaya ya marehemu ina-apply kwa marehemu wa Kitanzania tuu?

Labda mmeamua kufunga hizo threads kwa muda, I hope mzifungua ili watu wawe na uhuru wa kuchangia siyo tuu kwa mazuri ya Komba, bali pia kwa mabaya yake if after all we all agree that we are not perfect.

Pia itawapa nafasi watawala wengine wajue ni jinsi gani they have lost touch na wananchi wanaodai kuwawakilisha kiasi kwamba hata ikifika ile siku yao itakuwa business as usual kwa wawakilishwa.

Vinginevyo tutakuwa tunatengeneza mazoea kwa baadhi ya wanasiasa kudhani kuwa mabaya waliyoifanyia hii nchi na watu wake yatasahaulika na kamwe hayatajadiliwa tena pale tuu watakapoiaga dunia.

Na mie siyo perfect, though siyo mwanasiasa, still I may have done what in the views of others is good and wrong na siku nitakapoiaga dunia ruksa kujadili mabaya niliyofanya na siyo mazuri tuu.
Well said Mkuu , nashangaa mbona mabaya ya Nyerere na mazuri yake yanajadiliwa kila siku na wala hatuoni thread zikifungwa

Mimi nilidhani hili ni funzo zuri sana kwa wanasiasa waliolewa madaraka na kujisahau kuwa ni sehemu ya jamii na watahukumiwa kwa mazuri na mabaya yao.

Komba hakuwahi kujibu tuhuma dhidi ya kauli zake, na wala hakuomba radhi pale alipomsema mzee Warioba. Leo kwanini watu walazimishwe kuongelea mazuri yake tu.

Hili lingesaidia sana wanasiasa kuelewa ni jinsi gani jamii ilivyowachoka na pengine kuwapa muda wa kutafakari watapoondoka watakumbukwa kwa nini.

Nadhani wananchi wanaoonyesha hisia zao ni wa kweli, si wanafiki.

Ni wakweli wa nafsi zao ambao hawapendi kusoma mkaratasi ya habari nzuri huku nyoyo zao zikiungua kwa ndani kutokana na mabaya waliyoyaona kwa mhusika

Sijambo zuri kwa mazoea, waliowafikisha wananchi hapa ni wanasiasa wenyewe na wajilaumu kwanza

Kwamba, wamepewa 'benefit of doubt' lakini wanai abuse na kudhani ni viumbe wenye hadhi tofauti duniani na si wanadamu

Nadhani hili ni kuvunja barrier na linaeleza zaidi ya tunavyoona. Sijui kama wanasiasa wanaliona hilo, liachwe ili wajitathmini
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mwenyezi Mungu amlaze pema peponi Amen..
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1425308573.382899.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1425308573.382899.jpg
    61.2 KB · Views: 178
  • ImageUploadedByJamiiForums1425308640.591765.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1425308640.591765.jpg
    76.6 KB · Views: 176
Habari zilizoenea mtaani kuhusu Komba zinasikitisha, hii inakidhalilisha CCM.

Mh. Komba deni la CRDB lilimsumbua, nashangaa CCM walishindwa kumlipia? CCM ina mabillionea kama Membe, Lowasa, Ngeleja n.k. Sasa kwa nini wasimuokoe jembe lao la kampeni? wanajifanya wanafiki kwenda kwenye msiba, khaa eti wanasikitika....
 
Madeni mabaya sanaaaaaa...huyu kafeli maisha wakati jua limezama ..shule ina wahitimu wa 3 na wote wamefeli anakuwa hafi mtu wa hivi?

ImageUploadedByJamiiForums1425308950.148643.jpg
 
GJHariohay, I am in the same view. Kilinichonishtua ni Jamiiforums kuamua kufunga threads zote zilizokuwa zinamjadili John Komba kwa "mabaya" aliyoyafanya wakati wa uhai wake.

Kuna msemo maarufu hapa JF unaosema "Ficha Upumbavu wako; Usifiche Hekima yako!" Lakini walichofanya JF ni kuficha "upumbavu" wake, bila kutuonyesha "hekima" zake. Invisible na wenzako mmetunyima uhuru wa kuongelea mazuri na mabaya ya John Komba.

Kuna wanasiasa wengine ambao ni worse than Komba kwa kuharibu hii nchi kwa faida zao binafsi nao muda wao wa kukaa hapa duniani ukifika, mtafunga zile threads zao zote zilizokuwa zinajadili mabaya yao wakati wa uhai wake?

Ni kama vile mnaweka bad precedent na kama hamtazifunga thread za wengine pia, itabidi mtoe justification kutofanya hivyo. I thought here is "where we dare to talk openly".

Kuongelea mabaya ya Komba siyo kumnaga marehemu, bali ni kuwapa watu uhuru wa kujadili pande zote mbili za kuhusu yeye. Mfano, alipofariki Margaret Thatcher niliweka thread siku ya mazishi yake: Margaret Thatcher funeral: a "fitting tribute?" | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

Watu walijadili openly including mabaya yake kama kumwita Mandela gaidi. Lakini thread haikufungwa. Sasa hii "rule" ya kutojadili mabaya ya marehemu ina-apply kwa marehemu wa Kitanzania tuu?

Labda mmeamua kufunga hizo threads kwa muda, I hope mtazifungua baadae ili watu wawe na uhuru wa kuendelea kuchangia siyo tuu kwa mazuri ya Komba, bali pia kwa mabaya yake if after all we all agree that we are not perfect.

Pia itawapa nafasi watawala wengine wajue ni jinsi gani they have lost touch na wananchi wanaodai kuwawakilisha kiasi kwamba hata ikifika ile siku yao itakuwa business as usual kwa wawakilishwa.

Vinginevyo tutakuwa tunatengeneza mazoea kwa baadhi ya wanasiasa kudhani kuwa mabaya waliyoifanyia hii nchi na watu wake yatasahaulika na kamwe hayatajadiliwa tena pale tuu watakapoiaga dunia.

Na mie siyo perfect, though siyo mwanasiasa, still I may have done what in the views of others is good and wrong na siku nitakapoiaga dunia ruksa kujadili mabaya niliyofanya na siyo mazuri tuu.

Umenena hekima kuu Mkuu.

Ubarikiwe sana
 

Attachments

  • 1425310191105.jpg
    1425310191105.jpg
    37.6 KB · Views: 392
Walio mchuria Warioba wote wataangamia kabla Warioba hajafa.Marehemu Komba atajadiliwa kwa kile alichikipanda.
 
Komba hakuwahi kujibu tuhuma dhidi ya kauli zake, na wala hakuomba radhi pale alipomsema mzee Warioba. Leo kwanini watu walazimishwe kuongelea mazuri yake tu.

Hili lingesaidia sana wanasiasa kuelewa ni jinsi gani jamii ilivyowachoka na pengine kuwapa muda wa kutafakari watapoondoka watakumbukwa kwa nini.

Ndiyo hapo watu kama akina Rohombaya wanadai eti "Hapa mnachokifanya hakuna zaidi ya kuwatia majonzi ndugu na wapendwa wake".

Lakini hawajiulizi "ndugu na wapendwa" wa Warioba walijisikiaje pale marehemu aliposema tena wazi kuwa "Mzee Warioba ameona anakaribia kufa kaona atuchafulie nchi kwa kutuletea katiba ya namna hii..."

Je,
"Ndugu na wapendwa" wa marehemu walicheka, walishangilia, walihuzinika au walikasirika kwa kuyasikia aliyoyasema ndugu yao? Reaction yao ilikuwaje?

Kama Komba alikuwa baba yangu lazima ningemwambia aliyoyasema siyo mazuri na akamwombe msamaha Warioba mara moja kwa sababu what goes around comes around. Zilikuwepo njia boara zaidi za kumkosoa Warioba na katiba yake lakini siyo kwa kumkosoa kwa umri wake au kumsemea mbovu kivile.

Akina Rohombaya wanaendela kuhoji "Eti wanasiasa wengine wajifunze, wajifunze nin? Nani asiyejua kifo?" Kama marehemu alikuwa anajua kifo ni nini kamwe asingesima na kusema kuwa "Warioba ameona anakaribia kufa", only kifo kumkuta yeye kabla ya Warioba.

Lazima wanasiasa wajifunze kuwa kadri muda unavyoenda, they are losing touch na wananchi lakini wanataka watawaliwa wawatambue kama role models wakati wakiwa uhai wao. Lakini ikifika siku yao wataishia kutozikwa kama heroes; hawatakumbukwa kwa mazuri bali kwa mabaya waliyoyafanya wakati wa uhai wao.

Halafu unakuta baadhi ya watu wama-make conclusion juu ya kifo cha marehemu kuwa "Bwana ametoa, Bwana ametwaa" kama vile wanajua sababu za kitaalamu za kifo chake.

Mtu mwingine atapoteza maisha kwa sababu hizo hizo lakini wataishia kusema tuu
Bwana ametoa, Bwana ametwaa kwa sababu they never bother to look at the reasons behind a particular death and try to find a solution for that.

No wonder unawezakuta watu hao hao wanasema pia kuwa B
wana ametoa, Bwana ametwaa katika kifo cha mtoto Yohana Bahati.

 
Last edited by a moderator:
EMT Mzee Warioba hakujibu, wala hatukuwahi kusikia wanae au wajukuu wakijibu.

Hatukusikia nduguze Komba wakizungumzia kauli za mzee Wao. Walichokiona ni ubunge na hadhi yake

Leo tunashauriwa tusahau maumivu waliyopata familia ya Warioba kwa utabiri wa kifo cha mzee tena kwa kuharibu nchi.

Tunatakiwa tueleze mazuri sana ya Komba, tukijua fika uzuri ulikuwa na upande wa pili uliojaa giza na ukakasi

Hili la Komba lingeachwa tu ajadiliwe kwa kadri ya kile alichokifanya

Ni jambo linaloeleza uhalisia wa mazingira tuliyo nayo na viongozi walipaswa wasome nyuzi zinazomweleza Komba kwa uangalifu. Tunajua hawawezi kubadilika kwasababu ya kiburi, lakini jamii lazima ibadilike kwa kuwaambia ukweli.

Tuache unafiki wa kudhulumu nafsi tukijua wazi nafsi hazipo katika risala, bendera au maua.

Nafsi zinamwangalia Komba kwa ujumla wake. Tusiziweke nafasi za watu utumwani!
 
EMT Mzee Warioba hakujibu, wala hatukuwahi kusikia wanae au wajukuu wakijibu.

Hatukusikia nduguze Komba wakizungumzia kauli za mzee Wao. Walichokiona ni ubunge na hadhi yake

Leo tunashauriwa tusahau maumivu waliyopata familia ya Warioba kwa utabiri wa kifo cha mzee tena kwa kuharibu nchi.

Tunatakiwa tueleze mazuri sana ya Komba, tukijua fika uzuri ulikuwa na upande wa pili uliojaa giza na ukakasi

Hili la Komba lingeachwa tu ajadiliwe kwa kadri ya kile alichokifanya

Ni jambo linaloeleza uhalaisia wa mazingira tuliyo nayo na viongozi walipaswa wasome nyuzi zinazomweleza Komba kwa uangalifu. Tunajua hawawezi kubadilika kwasababu ya kiburi, lakini jamii lazima ibadilike kwa kuwaambia ukweli.

Tuache unafiki wa kudhulumu nafsi tukijua wazi nafsi hazipo katika risala, bendera au maua.

Nafsi zinamwangalia Komba kwa ujumla wake. Tusiziweke nafasi za watu utumwani!

Tatizo ni kuwa watawala hawataki kusikia ukweli. Ingekuwa ni viongozi wako radhi kukosolewa lakini sio watawala.
 
Last edited by a moderator:
....hakika kifo cha huyu jamaa komba ni funzo haswa kwa mafedhuli wote ndani ya utawala wa sasa TZ....haswa wale wanaojiona miungu watu...kwamba eti wasemayo wao ndio mwisho wa kila kitu...sasa yanapowasibu kwa mwenzao kama wao kufariki ghafla wasilaumu wale wasemao ukweli humu JF.....

...Ukweli lazima usemwe hata kama unawauma ndugu wa marehemu......maana alipokuwa hai mtu huyu komba aliwasema wenzake vibaya...mfano matusi na kejeli kwa mzee Warioba....hamna ndugu wa marehemu aliyewahi kusimama na kuomba radhi kwa mzee Warioba kwa kejeli za komba.....Mimi nasema mtu huyu komba alikuwa na mapungufu makubwa....na aliakisi hali halisi ya watawala tulionao leo TZ.....kwa kejeli zao na fedhuli kwa jamii...kama vile wao hawataonja mauti.....

...Nasema wakati mwingine inabidi afe mwenzao ili wajifunze...na wajue kuna Mungu hata wakijiona wao ni miungu watu hapa duniani.....Msiba wa komba haujaniuma hata chembe....He deserved to die the way he died.....for others to learn....Hao wanaokejeli watanzania baada ya kuwaibia nao wajue kuna kufa....period...
 
Nimebahatika kupata taarifa za misiba za watu wengi tu nikiwa harusini...

Wakati Wa kifo cha Nyerere watu hawakuona raha ya harusi lakini nikushuhudie Jana watu pamoja na kusikia Komba kafa Harusi iliendelea na masham sham Kama kawaida.....

Halafu wachawi na majahili tu ndo huheshimu Sana vifo kwa unafiki wao lkn kwa wengine ni jambo la kawaida kwani huwapata binadamu wote....


Komba angemjua Mungu unaemsema asingemnenea Warioba ufedhuli ule....

Nanyi mnemjua Mungu msingeacha wajawazito wateseke kulala chini na wagonjwa kufa kwa kukosa dawa huku mapesa mkipeleka kwenye katiba isiyo na Tija...

Simple,plain and clear!Hata wageuze maneno vipi,hii ni moja ya kumbukumbu mbaya kwake,na hivi kiburi kilikuwa kimemjaa,sidhani hata kama aliwahi hata kufikiria kumwomba msamaha Mzee Warioba,Mungu hadhihakiwi kiasi hicho,unajawa na kiburi hadi unawapangia wenzio muda wa kufa.Kabaki yule aliewaambia Wazee wanaotaka Serikali 3 wanasubiri kufa,nae Mungu wetu atatujibia kwa niaba yetu kwa wakati wake.
 
Ndiyo maana mtu akifa husemwa kwa mazuri hata kama ni ya uongo ili kuifariji familia na hata ukisema mabaya yake atajitetea vipi naye kisha kufa?
Mawazo mabovu kabisa utawasaidia nini wafiwa kwa kuwaambia uongo wajane kuhusu matendo ya marehemu. Kama marehemu kafa kwa ujambazi na wewe unawaambia watoto wake kafia kanisani akikusanya sadaka utakuwa unawasaidia au kuwapotosha.

Marehemu lazima asemwe kwa mazuri na mabaya aliyotenda.

Hatuwezi kujifunza kwa kusema mazuri tu ya marehemu lazima mabaya yake yajulikane na yatajwe wazi ili waliobaki wasiyafuate.
 
Mnazidi kumzidishia Mnyika Dhambi. Muombeeni aondokane na roho ya mavi hiyo siku moja naye atalala kama Komba kwenye jeneza.
Roho ya mavi unayo mwenyewe.Ukweli utasemwa tu,hata kama mtavimba hadi mpasuke.
 
Back
Top Bottom