Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Kifo cha Kapt. Komba, funzo kwa wanasiasa

Mnazidi kumzidishia Mnyika Dhambi. Muombeeni aondokane na roho ya mavi hiyo siku moja naye atalala kama Komba kwenye jeneza.

Sio Mnyika tu; sote tutalala mauti na kila mawazo yake alipokuwa hai yatajadiliwa kwa wigo aliokuwa anafahamika. Kama ni public figure, public itamjadili otherwise hatokosa angalau mawazo yake kujadiliwa na familia yake.
 
Kiubinadamu Mnyika hakustahili kuweka alichokiweka kwa wakati huu wa msiba yeye kama alikereka alitakiwa apambane nae kipindi marehemu yupo hai ila hivi ni kuendeleza na kuchochea ugomvi tena kwa marehemu.Komba aliyoyasema kwa Warioba sio mazuri kabisa ila kipindi yupo hai ndio alitakiwa awajibishwe kwa kauli yake ila hiki alichofanya Mnyika ni kitendo ambacho si cha kiungwana
 
Kila nafsi itaonja umauti.vipi Warioba alikuwepo msibani.r.i.p Captain
 
Mnazidi kumzidishia Mnyika Dhambi. Muombeeni aondokane na roho ya mavi hiyo siku moja naye atalala kama Komba kwenye jeneza.
Mmeshindwa kumwombea Komba mpaka amekufa na roho ya mavi. Na ni mavi kweli maana watu wanavyosema ni Kimavimavi tu - no solace. Huruma gani inakupata kwa Mnyika?.
 
Ndio maana watanzania tumekufa sana kwa ukimwi,maana hata kusema marehemu kafa kwa ngoma ilkuwa taabu.
 
Wajinga ni nyie mnaomtetea mtu aliye hai na anayedhihaki kiumbe ambacho kimetwaliwa na Muumba. Nyie na Mnyika mnahitaji kuombewa.

Hamna mtu anayemdhihaki komba zaidi ya wewe mwenye upungufu wa uelewa. Marehemu Komba hasikii kwa sasa ila viongozi wenu wa ccm wanatahadharishwa kuwa yanamwisho haya. Alimtabiria kifo Warioba kwa uzushi sasa yeye ndio amekufa acha utani na Mungu wakati wa kulinda tumbo
 
Kweli Komba amefariki na kutuachia maswali mengi kuliko majibu
Komba hajaacha swali hata moja. Komba keshatuchagulia "Rais"; Komba keshatuandikia "Katiba Mpya"; Komba keshatutungia na nyimbo za kampeni.

Apumzike kwa amani tu huko aliko.
 
"Mzee warioba ni kama mzimu uliokufa na kufufuka, sasa unazuka kijijini, mkikaa kufanya jambo, mzimu huoooo!! Mkienda uku mzimu huuoo!! Mzee kashastaaf akae kimya, muda wake umeisha! Mzee wariba ni shiiiida!! Jaman ni sheeeeeeda !!"

Huh ni wosia wa marehem kapteini kuhusu katiba mpya!!

RIP kapt.Komba
 
Mnazidi kumzidishia Mnyika Dhambi. Muombeeni aondokane na roho ya mavi hiyo siku moja naye atalala kama Komba kwenye jeneza.

Na unavyompenda mpaka kwenye avatar yako unaye, kumbuka huyu hatoki kwa cameron
 
Kiubinadamu Mnyika hakustahili kuweka alichokiweka kwa wakati huu wa msiba yeye kama alikereka alitakiwa apambane nae kipindi marehemu yupo hai ila hivi ni kuendeleza na kuchochea ugomvi tena kwa marehemu.Komba aliyoyasema kwa Warioba sio mazuri kabisa ila kipindi yupo hai ndio alitakiwa awajibishwe kwa kauli yake ila hiki alichofanya Mnyika ni kitendo ambacho si cha kiungwana

Mkuu Honey Faith mbona magazeti mengi huwa yana column ya "Walipata kunena haya" mbona huwa hamlalamiki? au hiyo inaruhusiwa kwenye magazeti tu lakini hairuhusiwa kwa watu binafsi? mimi nadhani hili jambo mnalikuza tu bila sababu na nadhani ujumbe wa wana JF wengi si kwa marehemu bali ni kwa waliobaki ndio maana hata mh Madam Speaker katamka maneno hayohayo tena yeye kaenda mbali kabisa na kuwataka wanasiasa wasiwatukane wenzao
 
Last edited by a moderator:
Tatizo nabishana na watu ambao hawajui mlango wa Kanisa au msikiti uko wapi. Hii akili yakou astahili huruma ya Muumba ndugu yangu.

mzoga wa komba watupiwe fisi wa serengeti wautafune live, mzee dhulumati sana yule, alitaka mzee warioba afe, sasa kafa kibudu yeye, Suffer In Hell Komba
 
mzoga wa komba watupiwe fisi wa serengeti wautafune live, mzee dhulumati sana yule, alitaka mzee warioba afe, sasa kafa kibudu yeye, Suffer In Hell Komba

Hahaaaaaaaaaa kazi ipo mwaka huuu
 
Kiubinadamu Mnyika hakustahili kuweka alichokiweka kwa wakati huu wa msiba yeye kama alikereka alitakiwa apambane nae kipindi marehemu yupo hai ila hivi ni kuendeleza na kuchochea ugomvi tena kwa marehemu.Komba aliyoyasema kwa Warioba sio mazuri kabisa ila kipindi yupo hai ndio alitakiwa awajibishwe kwa kauli yake ila hiki alichofanya Mnyika ni kitendo ambacho si cha kiungwana
mifumo ya kifisadi iliyoasisiwa na kulindwa na mafisadi hauruhusu wazelendo kupambana na madhulumati wakti wakiwa hai, kama lijoka la makengeza unaona linavotumia mifumo dhaifu kukwepa mkono wa sheria. sasa tunalingojea likifa tu nyinyi mtakapokuwa mnasema alikuwa mtu mwema, mzalendo nk nk sisi tutawaambia nooooo, lilikuwa jizi hilo
 
Hebu tuambie tusi ambalo marehemu Komba alimtukana Wqryoba.
inaonekana maccm angekufa warioba mngesheherekea sana. mtu unasimamaje kumtetea huyu dhulumati aliyemtukana na kumdhihaki mzee warioba hadharani?

sasa Mungu kawaumbua, mipango ya Mungu si hiyo ya kwenu, ya kwenu ni ya kibinadam tu kama binadam wengine, mnafikiri ku retain political power kimagumashi na kujikusanyia pesa za kifisadi ndo hamtakufa? mtakufa tu kama sisi na panapowastahili ni jehanam tu...no way.

nitamshangaa sana Mungu kama ataacha kumtupa jehanam fisadi anayeiba hela ndogo za kuwasaidia gloves na nyembe kina mama fukara wanaojifungua huko vijijin (na mijin) na badala yake anakwenda kuzificha kwenye mabenki ya wazungu matajiri huko ulaya na amerika...that would be very unfair of God should it so happen.
 
Mkuu, humu jf kuna watu wa ajabu sana, eti wanashangilia mtu kufa? Mambo ya ajabu sana, sijawahi kuona kwa kweli. Malipo ni hapahapa duniani, hivi kesho tukiamka na kuambiwa MNYIKA kafa tutasema amelogwa au Mungu kasikia fedheha zake kwa kiumbe ambacho hakina uhai tena.

Issue siyo kushangilia!! Hapa watu wana andika wasifu wa marehemu hiyo ndiyo ilikuwa Tabia yake. Unataka wamsifu kwa vile sasa ni marehemu?? By the way huu in ujumbe kwa walio baki wenye tabia kama ya Komba. Mnatakiwa mjifunze kwa kupitia kifo cha Komba. Ccm wenye Tania na uropokaji kama was Komba mko wengi. Jirekebisheni.
Alivyo sema Mh anakaribia kufa mbona hamkumuambia afute kauli yake?? Sasa katangulia kamuacha Mzee wa watu.
 
... mkumbuke kila mtu hapa duniani atakumbukwa tu Mara baada ya kututoka but style za kukumbukwa huwa zinatofautiana, either utakumbukwa kwa mabaya yako ulipokuwa hai au kwa mazuri yako.

Khaa!! Hivi nyie mna akili kweli? Kumsema vibaya marehemu kuna wasaidia nini?? Yule hayupo nasi tena wala hasikii tena. Hapa mnachokifanya hakuna zaidi ya kuwatia majonzi ndugu na wapendwa wake tu ambao ndiyo haohao wanaoipigia kura ccm, cuf, cdm etc Mnachoonesha ni utoto katika siasa. Eti wanasiasa wengine wajifunze, wajifunze nin? Nani asiyejua kifo? Ndiyo maana mtu akifa husemwa kwa mazuri hata kama ni ya uongo ili kuifariji familia na hata ukisema mabaya yake atajitetea vipi naye kisha kufa?
Jamani hata akili kidogo ya kuliona hili hamna? Ndiyo shida ya kuwa na wanasiasa njaa kali wengi kuliko wazalishaji
GJHariohay, I am in the same view. Kilinichonishtua ni Jamiiforums kuamua kufunga threads zote zilizokuwa zinamjadili John Komba kwa "mabaya" aliyoyafanya wakati wa uhai wake.

Kuna msemo maarufu hapa JF unaosema "Ficha Upumbavu wako; Usifiche Hekima yako!" Lakini walichofanya JF ni kuficha "upumbavu" wake, bila kutuonyesha "hekima" zake. Invisible na wenzako mmetunyima uhuru wa kuongelea mazuri na mabaya ya John Komba.

Kuna wanasiasa wengine ambao ni worse than Komba kwa kuharibu hii nchi kwa faida zao binafsi nao muda wao wa kukaa hapa duniani ukifika, mtafunga zile threads zao zote zilizokuwa zinajadili mabaya yao wakati wa uhai wake?

Ni kama vile mnaweka bad precedent na kama hamtazifunga thread za wengine pia, itabidi mtoe justification kutofanya hivyo. I thought here is "where we dare to talk openly".

Kuongelea mabaya ya Komba siyo kumnaga marehemu, bali ni kuwapa watu uhuru wa kujadili pande zote mbili za kuhusu yeye. Mfano, alipofariki Margaret Thatcher niliweka thread siku ya mazishi yake: Margaret Thatcher funeral: a "fitting tribute?" | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

Watu walijadili openly including mabaya yake kama kumwita Mandela gaidi. Lakini thread haikufungwa. Sasa hii "rule" ya kutojadili mabaya ya marehemu ina-apply kwa marehemu wa Kitanzania tuu?

Labda mmeamua kufunga hizo threads kwa muda, I hope mtazifungua baadae ili watu wawe na uhuru wa kuendelea kuchangia siyo tuu kwa mazuri ya Komba, bali pia kwa mabaya yake if after all we all agree that we are not perfect.

Pia itawapa nafasi watawala wengine wajue ni jinsi gani they have lost touch na wananchi wanaodai kuwawakilisha kiasi kwamba hata ikifika ile siku yao itakuwa business as usual kwa wawakilishwa.

Vinginevyo tutakuwa tunatengeneza mazoea kwa baadhi ya wanasiasa kudhani kuwa mabaya waliyoifanyia hii nchi na watu wake yatasahaulika na kamwe hayatajadiliwa tena pale tuu watakapoiaga dunia.

Na mie siyo perfect, though siyo mwanasiasa, still I may have done what in the views of others is good and wrong na siku nitakapoiaga dunia ruksa kujadili mabaya niliyofanya na siyo mazuri tuu.
 
Khaa!! Hivi nyie mna akili kweli? Kumsema vibaya marehemu kuna wasaidia nini?? Yule hayupo nasi tena wala hasikii tena. Hapa mnachokifanya hakuna zaidi ya kuwatia majonzi ndugu na wapendwa wake tu ambao ndiyo haohao wanaoipigia kura ccm, cuf, cdm etc Mnachoonesha ni utoto katika siasa. Eti wanasiasa wengine wajifunze, wajifunze nin? Nani asiyejua kifo? Ndiyo maana mtu akifa husemwa kwa mazuri hata kama ni ya uongo ili kuifariji familia na hata ukisema mabaya yake atajitetea vipi naye kisha kufa?
Jamani hata akili kidogo ya kuliona hili hamna? Ndiyo shida ya kuwa na wanasiasa njaa kali wengi kuliko wazalishaji

Wapigwe tu. CCM uoga sasa basi. tuwachanechane tuwatupe kule
 
Back
Top Bottom