Gigo'sFather
Member
- Nov 11, 2006
- 50
- 0
Hii ni sanaa na maigizo au ni ukweli!? CIA zaidi ya wabongo? au FBI...
Bado nina mashaka..... japo inaweza ikawa kweli..
Lazima afe..kwasababu Marehemu anafahamu mengi!
Huyu nabii ni kiboko
kiongozi wa mafisadi!! kiboko huko jehanamu!!
Hiyo ni nati ndogo!! tutaifungua tu...Usije ukafikiria kufa kwa Balali ndio mwisho wa hukumu yako...
Mkandamizo bado inaendelea....
KAULI MBALIMBALI BAADA YA KIFO CHA BALLALI:
Bado nina mashaka..... japo inaweza ikawa kweli..
Lazima afe..kwasababu Marehemu anafahamu mengi!
Huyu nabii ni kiboko
kiongozi wa mafisadi!! kiboko huko jehanamu!!
Hiyo ni nati ndogo!! tutaifungua tu...Usije ukafikiria kufa kwa Balali ndio mwisho wa hukumu yako...
Mkandamizo bado inaendelea....
KAULI MBALIMBALI BAADA YA KIFO CHA BALLALI:
Mchungaji aliyemzika Ballali anena
*Athibitisha aliumwa kwa muda mrefu
*Aeleza alivyoongoza ibada, maziko
Source: Tanzania Daima May 2008
Freeman Mbowe: Kifo cha Daudi Ballali kina mkono wa baadhi ya vigogo wa serikali, kwa sababu alikuwa shahidi muhimu katika vita ya ufisadi.
Source: Tanzania Daima May 2008 - Angalia zaidi hapa
Source: Majira - Angalia zaidi hapa
- Wazee wa Kihehe waja juu!
- Watoa siku 30 vinginevyo....