kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
Kuna haja ya kanisa katoliki kuangalia upya sheria za kanisa. Huyu mtu ni muuaji na jambazi halafu kanisa halikuwahi kumkemea hadharani kama maagizo ya biblia yanavyosema, alikaa labda viti vya mbele huku akishangiliwa leo hii anaingia nyumba ya mungu akiwa amekufa huku akiwa na damu za watu kibao je hii ni sawa mbele ya mwenzi mungu???
Mkapa nae kanisa lazima liangalie upya kama anahitajika kanisani yeye na chenge ni aibu tupu.
Chenge kasoma seminari ya katoliki halafu yale ni matunda ya kanisa ni aibu tupu. wanafundisha nini watoto wetu kule , biblia imeweka wazi kemea karipia. je ni lini Pengo alimkaripia mkapa ama chenge ama Balali na wengineo kwa majina baada ya kudhibitika wizi wao, hujuma zao, utawala wao mbovu na maamuzi yao ya kinyama. kweli hawa watu wanaiwakilisha jamii ya kikatoliki kweli ama kanisa linang'ang'ania michango yao ya kifisadi.
wakatoliki aamkeni kanisa limevamiwa, limekuwa kichaka cha kuficha majangili pigeni kelele. Salini novena hawa majangili na wahubiri wanaowakumbatia waondoke ama adhabu ya Mungu itakuwa juu yenu.
Pengo sema wazi mkapa umewakosea watanzania masikini hufai kwenye taifa la Mungu mpaka utubu hadharani na kuwarudishia masikini ulivyowaibia, ndivyo yesu alivyo sema na hayo ndio mafundisho ya yesu. vilele Chenge, balali na wengine wanachanga fedha haramu kila siku.........kila anayekufa kwa kukosa dawa, ajali za barabarani, elimu duni , maradhi ya kuambukiza damu yao juu ya mafisadi na wanaokumbatia mafisadi.
Mkapa nae kanisa lazima liangalie upya kama anahitajika kanisani yeye na chenge ni aibu tupu.
Chenge kasoma seminari ya katoliki halafu yale ni matunda ya kanisa ni aibu tupu. wanafundisha nini watoto wetu kule , biblia imeweka wazi kemea karipia. je ni lini Pengo alimkaripia mkapa ama chenge ama Balali na wengineo kwa majina baada ya kudhibitika wizi wao, hujuma zao, utawala wao mbovu na maamuzi yao ya kinyama. kweli hawa watu wanaiwakilisha jamii ya kikatoliki kweli ama kanisa linang'ang'ania michango yao ya kifisadi.
wakatoliki aamkeni kanisa limevamiwa, limekuwa kichaka cha kuficha majangili pigeni kelele. Salini novena hawa majangili na wahubiri wanaowakumbatia waondoke ama adhabu ya Mungu itakuwa juu yenu.
Pengo sema wazi mkapa umewakosea watanzania masikini hufai kwenye taifa la Mungu mpaka utubu hadharani na kuwarudishia masikini ulivyowaibia, ndivyo yesu alivyo sema na hayo ndio mafundisho ya yesu. vilele Chenge, balali na wengine wanachanga fedha haramu kila siku.........kila anayekufa kwa kukosa dawa, ajali za barabarani, elimu duni , maradhi ya kuambukiza damu yao juu ya mafisadi na wanaokumbatia mafisadi.