GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
duniani kuna mambo kwelikweli,sasa 52yrs of age unaruka ukuta wa kwako?may be pia mwanamke akitaka kukufrustrate hata ukuta kuruka si ajabu, japo aibu ktk nyumba yako mwenyewe! hapo marehemu ndo anao ukweli kuhusu hili wengine tutabaki kusema klabda labda basi!!
huyu jamaa inaelekea enzi zake alikua geti kali sana kwao, sasa utu uzima huu lazima alipie tuu, unadhani hata Fataki anapenda mademu na utu uzima wake??, bali ni kwamba enzi zake alikua mchemfu sana sasa ndo inabidi alipie!.