carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Jamani hii ni habari iliyotawala vyombo vya habari jana , Mwenzetu huyu katutoka usiku wa kuamkia jumatatu. inasemekana alikuwa anaruka ukuta wa kuingia nyumbani kwake usiku wa saa saba, akaanguka na pengine kuangukiwa na ukuta. Jitihada za kumwahisha hospitali zilifanyika lakini ndo hivyo tena Mwenyezi Mungu kamuita.
Napenda kutoa pole zangu kwa wafiwa na may God rest his soul.
Ila maswali hapa niliyonayo ni mengi kuliko majibu.
Napenda kutoa pole zangu kwa wafiwa na may God rest his soul.
Ila maswali hapa niliyonayo ni mengi kuliko majibu.