Kickass torrents gone for good?

Kickass torrents gone for good?

Joeli

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2011
Posts
4,941
Reaction score
3,414
Tovuti mashuhuri na maarufu inayolist torrent ya kickass torrent au kat.cr imefungwa na serikali ya Marekani pamoja na mmiliki wake kukamatwa huko Poland. Tovuti hiyo iliyojipatia umaarufu na kuwa the largest torrent site on earth baada ya the pirate kuzamishwa na umaarufu wake kupungua, vyanzo vingi vinaeleza mmiliki wake ambae inasemekana ni raia wa ukraine amekamatwa.
 
Tumia eztv
Ndo maana leo nimeitafuta sana na sijaipata
 
Aahh walijaribu kwa piratebay ikarudi nayo itarudi tu
Na hilo liavatar lako nafikiria ndo waandishi wa habari wanalihoji alafu linajibu "Aahh walijaribu kwa piratebay ikarudi nayo itarudi tu"....moja ya mkongwe wa kushusha torrents akitoa maoni yake.LOL
 
I got a feeling this is for good. Nimesoma mtandaoni US Govt did investigations for years! Silk Road nayo kwa deep web ilikufa kimoja
 
Na hilo liavatar lako nafikiria ndo waandishi wa habari wanalihoji alafu linajibu "Aahh walijaribu kwa piratebay ikarudi nayo itarudi tu"....moja ya mkongwe wa kushusha torrents akitoa maoni yake.LOL
Tena server tunahamishia Russia kwa Edward Snowden ambapo hao FBI cjui CIA hawawezi leta fujo
 
Daah, mchana kutwa naangaika na hii site inazingua kumbe ishapigwa chini. Tunahamia wapi sasa?
 
Tena server tunahamishia Russia kwa Edward Snowden ambapo hao FBI cjui CIA hawawezi leta fujo
Dah wiki hii sijaingia huko... Nko bush kuna 2g, zile tv show zangu ntazimalizia pirate bay sasa japo UI ya kat kwangu ndo ilikua murua zaidi
 
Mkuu upo dunia ya ngapi?

ThePirateBay haijawai zama bali wamekua wanahamisha servers na kuendelea na game kawa.

ThePiratebay ilivyokua raided kule Sweden na servers zao kua chini ya ulinzi wa Sweedish Polis na kuwa confiscated waliibuka baada ya muda mfupi tu na watu waliendelea kuipata through mirrows.

Hata hao KAT watarudi tu na servers zao wataanzisha kupitia nchi nyingine, kumbuka hawa watu huwa wanafahamu muda wowote watakua raided so huwa wanakuwa na backup kwenye cloud system.
 
Tena server tunahamishia Russia kwa Edward Snowden ambapo hao FBI cjui CIA hawawezi leta fujo
Nipo namalizia kushusha torrents muhimu!
1469111970435.jpg
 
Mkuu upo dunia ya ngapi?

ThePirateBay haijawai zama bali wamekua wanahamisha servers na kuendelea na game kawa.

ThePiratebay ilivyokua raided kule Sweeden na servers zao kua chini ya ulinzi wa Sweedish Polis na kuwa confiscated waliibuka baada ya muda mfupi tu na watu waliendelea kuipata throw mirrows.

Hata hao KAT watarudi tu na servers zao wataanzisha kupitia nchi nyingine, kumbuka hawa watu huwa wanafahamu muda wowote watakua raided so huwa wanakuwa na backup kwenye cloud system.
"hawa watu huwa wanafahamu muda wowote watakuwa raided"
 
Kickass was kicking their ass frankly speaking. But iit has been helping us,torrent maniacs. When yu re talking about downloding videos,softwares,music and books kickass has been leading. But the best altenative for tv series is to use eztv.
 
Daah kickass najua watafanya mambo tu tuendelee kushusha vitu
 
jamani naomba mnieleweshe kwa kiasi flani nimekua nikitumia torrents kick ass sasa sijajua kwa nini imefungwa? ilikua inafanya makosa gani?
plz nitoeni huku gizan
 
Kickass noma sana kila kitu unapata unachotaka mimi nimeamia Extratorrent.cc
 
1. torrents hazitumii server
2. zile torrent mnazoziona sio za kat

hata sasa hivi kuna proxy nyingi tu za kat ambazo zimeihifadhi site nzima. as long as tracker wapo torrent nazo zitashuka.
 
me kickass naipata kama kawaida kuna proxy wameziweka ukiziclick unaingia moja kwa moja kickass unaanza kushusha movies,games kama kawaida .mimi bila kickass maisha hayaendi
 
Back
Top Bottom