Ulaya ni nchi zilizo upande wa mashariki, huko ni eneo lenye nchi nyingi zenye uchumi mdogo. Hayo maeneo yana viwango vikubwa sana vya uhalifu ambavyo kitakwimu vinakaribiana sana na nchi zetu za ulimwengu wa tatu. Pia mataifa mengine ni yale yaliyo kusini mwa ulaya kama Hispania, Ureno, Italia na Uturuki pia haya yana viwango vikubwa vya uhalifu huwa wanaweka sana manondo nondo dirishani.Hata ulaya wanaweka grill , ukiacha commercial buildings
😂😂😂Ndio maana huku vijijini tunaweka dirisha la mbao, ukilifunga hata mchana chumba kinakua giza totoro
Sababu vibaka ni wengi sana na ulinzi mitaani haupo na kama upo ni hafifu
Hio double glazing kwa nchi ya joto ni upunguani, ila kwenye baridi inabidi kuweza kutunza joto..., Bongo Afrika basi tu watu tungeweza kuishi nje, mchanga / majani ndio godoro na mbingu ndio shuka..., the weather is favorable
Level yetu kimaisha kwa sehemu kubwa bado iko chini sana
Kuna siri nyingi kwenye maishaIla kuna nyumba ipo ununio pale haina gril hata moja na hawajaweka fence na nyumba ya ghorofa
Hehe hehe shehe hio hatari sasa haujui MTU anajiamini vp na wala Hamna hata kamulinziKuna siri nyingi kwenye maisha
Jaribu kuokota kitu kwenye ule uwanja wake usio na fence wenye maua, Utaleta mrejesho hapa
Maisha ni siri sana
Usione vyaelea
Huwa sioni umuhimu wa cctv camera ikiwa haiwi monitored 24/7 utaishia kuja kuangalia filamu ya maumbo ya wajomba waliokuja kukutia hasara na hautowajua kamwe. Kibongo bongo mtu akishafunika uso huwezi kumtambua tena.
Badala ya cctv camera ni bora kuimarisha physical security, kwa maana ya ukuta na uweke fence ya umeme kwa juu. funga intruder alarm system madirishani funga motion detector sensor ambazo ni pet friendly ndani funga sensor aina yoyote
Ni kweli hakuna hata DNA database ya wahalifu. Picha za cctv camera kwa aliyefunika uso haziwezi kuwa ushahidi wa kutosha.Huwa sioni umuhimu wa cctv camera ikiwa haiwi monitored 24/7 utaishia kuja kuangalia filamu ya maumbo ya wajomba waliokuja kukutia hasara na hautowajua kamwe. Kibongo bongo mtu akishafunika uso huwezi kumtambua tena.
Badala ya cctv camera ni bora kuimarisha physical security, kwa maana ya ukuta na uweke fence ya umeme kwa juu. funga intruder alarm system madirishani funga motion detector sensor ambazo ni pet friendly ndani funga sensor aina yoyote
Hii kuibebea fatuma ni kujipa mzigo tu usio na sababu...Hapo wanakuja na nyundo tu na mabegi/mifuko ya kubebea mazagazaga.Hapa wanatupa Fatuma vioo kwisha habari yake.
Sio moto tu, hata pale Wazee wa kazi wakianza kuvunja mlango hakuna hata pakutokea kwa dharura maana dirisha ni fulu grili.Nyumba karibu zote bongo ni mastoo ya kutunzia watu. Shida moto ukitokea
Wamuulize Mo alivyotekwa kama CCTV zilifanya kazi yakueleweka🤣Camera utaishia kuwaangalia wajuba in action tu hazina msaada wowote.
Ndugu yangu TV zinaibiwa kila siku Bongo tena kila sehemu sio Masaki sio Tandale.Ila sasa hivi maisha yame change sana
Hakuna mtu anavunja grill kuja kuiba TV au vyombo au makochi
Nowadays hakuna aneiba makochi au vitanda au mafriji kama miaka ya 1980's-90's.Ni mazito na bulk too much mpaka mwizi abebe na malori,dont make any sense leo maana atashikwa tu!
Gharama za kuvunja gril kuiba TV tu ni hasara
Unless kuna watu hired kuja kufanya killings
Grill haina haja kabisa....ukiniambia electric fence,electric smart alarm labda na camera can do better job to deter wezi
Otherwise grill na madirisha madogo unajiweka jela,infact nyumba inatakiwa 40% ukuta 60% ni wazi na glass
Otherwise tunarudi kule kule maisha ya 80's na 90's!
Nyumba karibu zote bongo ni mastoo ya kutunzia watu. Shida moto ukitokea