Wataalamu wa ujenzi, ni ukubwa gani wa dirisha unatosha kiafya achilia mbali suala la mwonekano wa nyumba.
Nimejaribu kuzitazama nyumba za Sudan Khartoum kutokana na hii vita, nimeona nyumba zao nyingi hadi maghorofa yana madirisha madogo madogo. Je, hii imesababishwa na nini kitaalamu wadau wa ujenzi?
Binafsi naunga mkono kwenye mikoa ambayo haina joto, kuweka dirisha dogo tu mfano upana futi nne, au inakuwaje wadau wa ujenzi?
Kwa maoni yangu, kuna faida za kuweka dirisha dogo kwani utasevu gharama za aluminium na grili! Huu ni mwaka wa tatu nimeshindwa kuweka aluminium kwa sababu madirisha ya nyumba yangu ni futi tano kwa tano, sebuleni ni futi sita.
Nilipotembelea kwa jamaa, nikakuta nyumba yake ina madirisha ya futi sita kaweka na aluminium ila hata hayafunguliwi yote, yaani yamefungwa tu anasema upepo na vumbi. Sasa kama hayafunguliwi, nini umuhimu wa madirisha makubwa?
Inabidi Watanzania tuache kufanya mambo kama utaratibu, bali tuwe tuna hoji sababu za kufanya hivyo.
Picha hapo chini ni nyumba za Khartoum Sudan na madirisha madogo na machache!
Nimejaribu kuzitazama nyumba za Sudan Khartoum kutokana na hii vita, nimeona nyumba zao nyingi hadi maghorofa yana madirisha madogo madogo. Je, hii imesababishwa na nini kitaalamu wadau wa ujenzi?
Binafsi naunga mkono kwenye mikoa ambayo haina joto, kuweka dirisha dogo tu mfano upana futi nne, au inakuwaje wadau wa ujenzi?
Kwa maoni yangu, kuna faida za kuweka dirisha dogo kwani utasevu gharama za aluminium na grili! Huu ni mwaka wa tatu nimeshindwa kuweka aluminium kwa sababu madirisha ya nyumba yangu ni futi tano kwa tano, sebuleni ni futi sita.
Nilipotembelea kwa jamaa, nikakuta nyumba yake ina madirisha ya futi sita kaweka na aluminium ila hata hayafunguliwi yote, yaani yamefungwa tu anasema upepo na vumbi. Sasa kama hayafunguliwi, nini umuhimu wa madirisha makubwa?
Inabidi Watanzania tuache kufanya mambo kama utaratibu, bali tuwe tuna hoji sababu za kufanya hivyo.
Picha hapo chini ni nyumba za Khartoum Sudan na madirisha madogo na machache!