Nahitaji kujua gharama ya madirisha ya grill

dayyan

Member
Jun 16, 2019
41
36
Nahitaji kujua gharama ya madirisha ya grill. Nyumba ina madirisha 9 6×6 yapo (2) the rest ni 4x4 (7)

Msaaada jamaniii
 
Nahitaji kujua gharama ya madirisha ya grill. Nyumba ina madirisha 9 6×6 yapo (2) the rest ni 4x4 (7)

Msaaada jamaniii
Okoa gharama: Mtafute fundi akufanyie estimations za chuka (kama ni nondo, flat bars au bomba).Mnunulie fundi sticks za kuchomea then fundi mlipe utaalamu wake tu. Utanishukuru. Mimi niliokoa zaidi ya shilingi laki 8 kwa njia hiyo
 
Okoa gharama: Mtafute fundi akufanyie estimations za chuka (kama ni nondo, flat bars au bomba).Mnunulie fundi sticks za kuchomea then fundi mlipe utaalamu wake tu. Utanishukuru. Mimi niliokoa zaidi ya shilingi laki 8 kwa njia hiyo
Na mashine atamnunulia?
 
Nahitaji kujua gharama ya madirisha ya grill. Nyumba ina madirisha 9 6×6 yapo (2) the rest ni 4x4 (7)

Msaaada jamaniii
6 by 6 ni 120,000 x 2 = 240,000
4 by 4 ni 100,000 x 7 = 700,000
Jumla 940,000

+255 716 099 462
Bakari
FB_IMG_16808448882543637.jpg

Screenshot_20230505-063730.png
 
Okoa gharama: Mtafute fundi akufanyie estimations za chuka (kama ni nondo, flat bars au bomba).Mnunulie fundi sticks za kuchomea then fundi mlipe utaalamu wake tu. Utanishukuru. Mimi niliokoa zaidi ya shilingi laki 8 kwa njia hiyo
Na ulitumia kiasi gani?
 
Aseee walinipiga 190k
Pole sana Mkuu,
Kwenye ujenzi tunapigwa sana Kwa kutokujua machimbo mbalimbali yenye bidhaa nafuu za Ujenzi. Niliwaza nianzishe uzi tusaidiane labda.

 
Dalali na kutengeneza wapi na wapi. Unamuongezea mtu gharama kisa tu tamaa zako. Wewe sio fundi wala huna ofisi ya kuuza anachotaka
We jamaa utakua umenifananisha nadhan, mie dalali wa Nini? Nilishawahi kukudalalia Nini? Au wapi nimesema Nina ofisi? Mimi ni mteja nilieko kwenye ujenzi muda huu.

Nilichopitia mimi naweka hapa ili kama kuna mwenye ataona nafuu kwake nae apitie hapo. Naweka number za fundi au muuzaji directly, sio za kwangu na hata sirudi tena kumuuliza kama amepata mteja kwani ni ninamsaidia tu mnunuzi au muuzaji.

Usipende kufananisha watu mitandaoni, itakuja kukugharimu one day.
 
We jamaa utakua umenifananisha nadhan, mie dalali wa Nini? Nilishawahi kukudalalia Nini? Au wapi nimesema Nina ofisi? Mimi ni mteja nilieko kwenye ujenzi muda huu.

Nilichopitia mimi naweka hapa ili kama kuna mwenye ataona nafuu kwake nae apitie hapo. Naweka number za fundi au muuzaji directly, sio za kwangu na hata sirudi tena kumuuliza kama amepata mteja kwani ni ninamsaidia tu mnunuzi au muuzaji.

Usipende kufananisha watu mitandaoni, itakuja kukugharimu one day.
Bandiko lako ile picha yenye account ya fb ipo kwenye group la madalali mkuu
 
Back
Top Bottom