Okoa gharama: Mtafute fundi akufanyie estimations za chuka (kama ni nondo, flat bars au bomba).Mnunulie fundi sticks za kuchomea then fundi mlipe utaalamu wake tu. Utanishukuru. Mimi niliokoa zaidi ya shilingi laki 8 kwa njia hiyoNahitaji kujua gharama ya madirisha ya grill. Nyumba ina madirisha 9 6×6 yapo (2) the rest ni 4x4 (7)
Msaaada jamaniii
Na mashine atamnunulia?Okoa gharama: Mtafute fundi akufanyie estimations za chuka (kama ni nondo, flat bars au bomba).Mnunulie fundi sticks za kuchomea then fundi mlipe utaalamu wake tu. Utanishukuru. Mimi niliokoa zaidi ya shilingi laki 8 kwa njia hiyo
Jitahidi ueleweke...Nahitaji kujua gharama ya madirisha ya grill. Nyumba ina madirisha 9 6×6 yapo (2) the rest ni 4x4 (7)
Msaaada jamaniii
Siku hizi kuna machine za kukodi, wanakodisha Tsh 7,000 mpaka Tsh10,000 per dayNa mashine atamnunulia?
Mashine inaingia katika ufundi wa fundiNa mashine atamnunulia?
6 by 6 ni 120,000 x 2 = 240,000Nahitaji kujua gharama ya madirisha ya grill. Nyumba ina madirisha 9 6×6 yapo (2) the rest ni 4x4 (7)
Msaaada jamaniii
Asante sana6 by 6 ni 120,000 x 2 = 240,000
4 by 4 ni 100,000 x 7 = 700,000
Jumla 940,000
+255 716 099 462
BakariView attachment 2610482
View attachment 2610483
Aseee walinipiga 190k4 by 4 ni 100,000
Na ulitumia kiasi gani?Okoa gharama: Mtafute fundi akufanyie estimations za chuka (kama ni nondo, flat bars au bomba).Mnunulie fundi sticks za kuchomea then fundi mlipe utaalamu wake tu. Utanishukuru. Mimi niliokoa zaidi ya shilingi laki 8 kwa njia hiyo
Pole sana Mkuu,Aseee walinipiga 190k
Cjui uliko ila mara nyingi ni 10000_15000 kwa kila dirisha. Kama Yako mengi mnapatana tuMimi naomba kujua gharama ya kufix grill kwenye dirisha la ukubwa wa kawaida
Fundi alienitengenezea hizo grill ali fix Kwa 6,000/- dirisha na 10,000/- mlangoMimi naomba kujua gharama ya kufix grill kwenye dirisha la ukubwa wa kawaida
Dalali na kutengeneza wapi na wapi. Unamuongezea mtu gharama kisa tu tamaa zako. Wewe sio fundi wala huna ofisi ya kuuza anachotaka6 by 6 ni 120,000 x 2 = 240,000
4 by 4 ni 100,000 x 7 = 700,000
Jumla 940,000
+255 716 099 462
BakariView attachment 2610482
View attachment 2610483
We jamaa utakua umenifananisha nadhan, mie dalali wa Nini? Nilishawahi kukudalalia Nini? Au wapi nimesema Nina ofisi? Mimi ni mteja nilieko kwenye ujenzi muda huu.Dalali na kutengeneza wapi na wapi. Unamuongezea mtu gharama kisa tu tamaa zako. Wewe sio fundi wala huna ofisi ya kuuza anachotaka
Bandiko lako ile picha yenye account ya fb ipo kwenye group la madalali mkuuWe jamaa utakua umenifananisha nadhan, mie dalali wa Nini? Nilishawahi kukudalalia Nini? Au wapi nimesema Nina ofisi? Mimi ni mteja nilieko kwenye ujenzi muda huu.
Nilichopitia mimi naweka hapa ili kama kuna mwenye ataona nafuu kwake nae apitie hapo. Naweka number za fundi au muuzaji directly, sio za kwangu na hata sirudi tena kumuuliza kama amepata mteja kwani ni ninamsaidia tu mnunuzi au muuzaji.
Usipende kufananisha watu mitandaoni, itakuja kukugharimu one day.
Yule ni fundi alienitengenezea madirisha. Labda hilo group ni lake ama sijui vip lakin nilienda kwa Facebook yake nikachukua ile picha kumsaidia kumtangaza.Bandiko lako ile picha yenye account ya fb ipo kwenye group la madalali mkuu