Tanzania na magrill milangoni na madirishani

singojr

JF-Expert Member
Oct 28, 2014
5,308
6,884
Hii akili ya kuweka magrill kwenye milango na madirisha tumeipatia wapi? Nyumba nyingi zimejengwa vizuri lakini ukikaa humo ni kama jela.
Ajali ya moto ikitokea ni ngumu sana kupona?

Mbona nchi nyingi hawaweki magrill je hawahofii usalama wa mali zao?
Miaka ya 2000 watu walikuwa wanachonga grills kwenye taa za nje na taa za magari lakini mwisho wameona ni kitu cha kijinga, kwanini kwenye nyumba hawabadiliki?

Nyumba ni ya ghorofa floor ya tatu kuna grill la nini?

Nyumba ina fence ya ukuta na umeme grills za nini?
 
Hii akili ya kuweka magrill kwenye milango na madirisha tumeipatia wapi?
Nyumba nyingi zimejengwa vizuri lakini ukikaa humo ni kama jela.
Ajali ya moto ikitokea ni ngumu sana kupona?
Mbona nchi nyingi hawaweki magrill je hawahofii usalama wa mali zao?
Miaka ya 2000 watu walikuwa wanachonga grills kwenye taa za nje na taa za magari lakini mwisho wameona ni kitu cha kijinga, kwanini kwenye nyumba hawabadiliki?
Nyumba ni ya ghorofa floor ya tatu kuna grill la nini?
Nyimba ina fence ya ukuta na umeme grills za nini?
Na wezi wanapita kiulaini na kutokomea na mazagazaga
 
Hii akili ya kuweka magrill kwenye milango na madirisha tumeipatia wapi?
Nyumba nyingi zimejengwa vizuri lakini ukikaa humo ni kama jela.
Ajali ya moto ikitokea ni ngumu sana kupona?
Mbona nchi nyingi hawaweki magrill je hawahofii usalama wa mali zao?
Miaka ya 2000 watu walikuwa wanachonga grills kwenye taa za nje na taa za magari lakini mwisho wameona ni kitu cha kijinga, kwanini kwenye nyumba hawabadiliki?
Nyumba ni ya ghorofa floor ya tatu kuna grill la nini?
Nyimba ina fence ya ukuta na umeme grills za nini?
Hili swali niliwahi kuulizwa na mwenza wangu. Majibu niliyompa mwanzoni hayakumridhisha hadi siku tuliposhuhudia kundi la vibaka wakiwa na visu, mapanga na jiwe kubwa linaloitwa Fatuma wakitutembelea usiku mwingi.

Grills mageti na makufuli makubwa ni matokeo ya kujihami na watu waliolelewa kula bila kunawa ambao mchana wanakuchora usiku wanageuka kuwa wageni..... Huwezi kuamini kuwa hata Ulaya siku hizi wamejifunza kuweka grills kwenye nyumba zao, sio kwa urembo bali kujihamia....Kalagabaho!
 
Hii akili ya kuweka magrill kwenye milango na madirisha tumeipatia wapi?
Nyumba nyingi zimejengwa vizuri lakini ukikaa humo ni kama jela.
Ajali ya moto ikitokea ni ngumu sana kupona?
Mbona nchi nyingi hawaweki magrill je hawahofii usalama wa mali zao?
Miaka ya 2000 watu walikuwa wanachonga grills kwenye taa za nje na taa za magari lakini mwisho wameona ni kitu cha kijinga, kwanini kwenye nyumba hawabadiliki?
Nyumba ni ya ghorofa floor ya tatu kuna grill la nini?
Nyimba ina fence ya ukuta na umeme grills za nini?
Magrill na mageti yanaashiria uwepo wa amani na upendo nchini🤣🤣
 
Back
Top Bottom