Marikani wizi wao sio wa TV, radio simu, na vyombo vyandani ni wa pesa na uhai grill haizuii risasi uko Marekani.Je ni kwanini watanzania wengi lazima tuweke magrill kwenye nyumba zetu mbona marekani ujambazi ni mwingi kuliko kwetu lakini hawawekagi magrill kwenye madirisha?
Je unaweza kuishi kwenye nyumba isiyo na magrill?
Mkuu,Mimi mwenyewe huwa siyapendi. Hapa nchini kwetu inategemea na eneo ulipojenga nyumba yako. Isingekuwa sbb za kiusalama ningeweka nyumba yangu hapa uone ina vyumba viwili vya kulala ila nimeweka full windows floor to ceiling zenye ukubwa wa 2.4 m urefu kwa 2 m upana na sijaweka grill. Huwa watu wengi sana wakija kwangu hupata mshangao wa jinsi madirisha yalivyo makubwa na hayana grill.
Kimuonekano pana fanana sana na nyumba hii. Tofauti yake mimi nimeweka full windows floor to ceiling nyumba nzima except for bathroom, laundry room and kitchen.Mkuu,
Kwako hatupajui.
Piga kwa kuibia tudese.
Nakubaliana na wewe tuimarishe fence na mengineyo
We kilaza wa wapii...unafananisha USA na tz uku wanaiba had madekio...na ndalaa shiiit....Je ni kwanini watanzania wengi lazima tuweke magrill kwenye nyumba zetu mbona marekani ujambazi ni mwingi kuliko kwetu lakini hawawekagi magrill kwenye madirisha?
Je unaweza kuishi kwenye nyumba isiyo na magrill?
wewe ni mbongo kweli? kama kama vile hii nchi huijui
Usiweke usije baadae ukaja kumtafuta mganga baada ya kuibiwa.
Utaibiwa demu wakoMe yangu sitaweka
hahahaha daahNani kakwambia marekani ujambazi mwingi kuliko sisi, au marekani ya hapo kwenu ileje
Naijua vzr sema kuan sehemu wizi sio mwingi na pia ukiweka system ya ulinzi vzr bila magrill mbona unatoboa tu
Mkuu huogopi majambazi? Grill zinawapa ugumu majambazi kidogo kuingia ndani.Mimi mwenyewe huwa siyapendi. Hapa nchini kwetu inategemea na eneo ulipojenga nyumba yako. Isingekuwa sbb za kiusalama ningeweka nyumba yangu hapa uone ina vyumba viwili vya kulala ila nimeweka full windows floor to ceiling zenye ukubwa wa 2.4 m urefu kwa 2 m upana na sijaweka grill. Huwa watu wengi sana wakija kwangu hupata mshangao wa jinsi madirisha yalivyo makubwa na hayana grill.
Sina dem nna mke😂Utaibiwa demu wako