Kibongo bongo iPhone ni taashira ya hadhi au?

Kibongo bongo iPhone ni taashira ya hadhi au?

Mimi naona huu ugonjwa uliletwa na bei yake simu maana ingekua bei chee kuliko labda Samsung mtu angenunua Samsung aonekane matawi....
 
5046c60f-9267-4c29-a190-37d7473d3ff6_16x9_600x338.jpg
 
hilo suala ni la dunia nzima sio bongo peke yake kwa duniani simu ambayo inaonekana ni ya gharama sana ni iPhone
 
mimi ninayo samsung ambayo kwapesa nilio nunuwa ningeweza kununuwa apple nzuri ila siwezi kununuwa sim inayo ninachaguria nji y kupita
 
I phone its a best brand ever..dunia nzima kwa simu na kwa laptop pia..kampuni au brand inayoweza kushindanishwa kwa product ambao imesatisfy watumiaji kwa ubora ni moja tu tofauti na apple ni Xiaomi ya china..washenzi wana simu la laptops kali haswaaa....apple yenyewe matoleo yajayo wajipange..
 
Hiv tHL App hawajaweka Application yao App store tu nkainunue maana watu wa iphone wametutenga kbsa
 
I phone its a best brand ever..dunia nzima kwa simu na kwa laptop pia..kampuni au brand inayoweza kushindanishwa kwa product ambao imesatisfy watumiaji kwa ubora ni moja tu tofauti na apple ni Xiaomi ya china..washenzi wana simu la laptops kali haswaaa....apple yenyewe matoleo yajayo wajipange..

ni swala la muda tu,hao wachina wamefanya kitu watu wanakitamani miaka mingi sana.

ui kama ios ila Os ni android.
 
Matumiz ya iPhone yanatoa taswira kwa mtumiaji kua ni;
-Mbinafsi
- Msiri
- Kibuli
-Dharau kwa wengne
- Mwenye majvuno
- Mwenye kujtenga na watu
- Mchoyo n.k
Nasema hvyo kwa sababu hyo iPhone yenyew ilivyotengenezwa ni kwa muonekano wa taswira ya mtumiaj, iPhone hazina file share au transf na simu za makabila mengne, chaja ni yao tu haziinglian na makabila mengne, kuna iCloud, bei juu.
Nilishatumia iPhone 5 na sitak tena, hTc inatosha kabsa kwangu
 
Ni ukweli kwamba iphone ndo simu zina bei mbaya sana, kama nikiona mtu ana iphone najua ametumia hela ndefu kununua hiyo iphone.

So, ninachofanya napiga hesabu za haraka haraka kwamba kama anaweza kutumia 1M+ lazima atakuwa na kipato kizuri sana, kwa sababu ninaamini hawezi kukopa kwenda kununua simu.

Mimi nina tecno w3 ya sh 180,000, siwezi kujilinganisha na mtu wa iphone.
Safi sana we siyo mnafiki.
 
Matumiz ya iPhone yanatoa taswira kwa mtumiaji kua ni;
-Mbinafsi
- Msiri
- Kibuli
-Dharau kwa wengne
- Mwenye majvuno
- Mwenye kujtenga na watu
- Mchoyo n.k
Nasema hvyo kwa sababu hyo iPhone yenyew ilivyotengenezwa ni kwa muonekano wa taswira ya mtumiaj, iPhone hazina file share au transf na simu za makabila mengne, chaja ni yao tu haziinglian na makabila mengne, kuna iCloud, bei juu.
Nilishatumia iPhone 5 na sitak tena, hTc inatosha kabsa kwangu
5 plain sio tamu..ukitaka enjoy i phone chukua 6s plus..hutojuta..
 
Yeah ni kwema sema naona brands zao zipo common kwao tu..ata watumiaji wa izo simu naona ni wao tu..niliishika moja they are very attractive aisee.
Hawa wachina wanajua yaani hapa nauza xiaomi yangu redmi note 4sababu ya njaa tu baasi ila duuh nitamake nitanunua.tu ingine
 
Sio bongo tu rfk
IPhone ukiwa nayo unaheshimika duniani.
Tanzania tupo duniani
 
Back
Top Bottom