Tekno phantom hauazimwi charger pia.Mimi natumia IPhone
Moja ya Faida ya IPhone siazimwi Charger.
Nilihama Samsung kwa kero ya kuazimana charger na team techno
Ni noma hizo simu kaka ni very attractive ni kali nlikua kwenye kikao na mchina mmoja ndio alikua anaitumia aisee ni noma sana ilibidi niingie youtube kusafisha macho.iPhone iko juu ndio ni simu ya gharama pia lakini kuna hii brand inaitwa xiaomi ni moto wakuotea mbali nafikiri wanaozitumia watakua wanajua nazungumzia nini brand hii kwa miaka ijayo sjui itakuaje maana sio kwa dhambi wanazofanya
kaka nakwambia ni matatzo tafuta moja kama bdo hujapata hutojutia nakwambia mm ndo device zng hz nshaacha kutumia simu za mfanano hz mnakuanazo wachache sana na ni simu nzuri sanaNi noma hizo simu kaka ni very attractive ni kali nlikua kwenye kikao na mchina mmoja ndio alikua anaitumia aisee ni noma sana ilibidi niingie youtube kusafisha macho.
Haa ha ha...!! Huwa wanaunga sanaa mpaka kuinunua yani...madeni kibao mtu unakuta anayo...Mi nna jamaa yetu mmoja mtu wa mizinga tunaishi nae ghetto kanunua iPhone ni lakn mizinga ni balaa na hana kitu
Ni ulimbukeni kama ulivyo ulimbukeni mwingine.
Limbukeni yeyote hutumia mbinu hiyo kujiona yuko juu ktk jamii
Tecno inanitosha wala sitamani iPhone wala nn
Halafu tunamlaum trump kwa kuongea ukweli"Miafrika Ndivyo Tulivyo" Mkuu
Itabidi nikiamua kubadilisha niingie huko tu kaka..kaka nakwambia ni matatzo tafuta moja kama bdo hujapata hutojutia nakwambia mm ndo device zng hz nshaacha kutumia simu za mfanano hz mnakuanazo wachache sana na ni simu nzuri sana
Ha ha ha ... kila mtu anamiliki anachoweza....wa mbili havai moja, na wamoja havai mbili...majungu meeengi wengine hata kuigusa tu huyo iphone hawajawahi...
Pambana upate unachotaka, usipambane na aniepata!
watu wapambane ili wanunue iphone duh.
fanya hzo kaka hakuna usumbufu uku upo brand gan kwa sasa?Itabidi nikiamua kubadilisha niingie huko tu kaka..