Kibongo bongo iPhone ni taashira ya hadhi au?

Kibongo bongo iPhone ni taashira ya hadhi au?

Kwenye huu uzi nilizungumzia mambo ya sim-free unlocked GSM compatible cellphones.

Nilikuwa najua nilichokuwa nakizungumzia, hususan kuhusiana na sisi ‘frequent international travelers’.

Baadhi ya watu wakawa hawanielewi.

Hahahaaa.....just hahahaaa.

1DDCAFAA-846D-4F71-8089-AB328DF7CD1F.jpeg


RRONDO
 
Sio kweli labda kama haujatumia microsoft na nokia na mpaka kesho 41 mp ya 1021 ya nokia ipo mstari wa mbele kwenye camera sipondei napenda sana iphone ni second choice yangu baada ya nokia tena saivi nokia wametoa kitu kipya hatari tafuta microsoft 950xl uone muujiza
Mhhh kwny suala la picha za simu iphone is the ultimate naona
 
Nianze na fasili kwanza maana wengi wenu nyie 'millennials' hamjui lugha. Iwe Kiswahili au Kiingereza, hamko vizuri kivile. Ni wababaishaji tu😀.

Taashira maana yake ni ishara/ au dalili. Naamini mnajua maana ya ishara na dalili.

Sasa kuna jambo nimeliona ambalo ningependa kusikia maoni ya wengine kulihusu.

Hivi hapa bongo iPhone ni ishara ya hadhi [ya juu]? Nauliza hivyo kwa sababu nimeshapigwa sana mizinga ya 'Ngabu naomba niletee iPhone basi...hata kama ni iPhone 5 au iPhone SE'.

Kwa nini iPhone kwa sana na si Samsung, LG, Motorola, au zinginezo?

View attachment 632283
ni kuulize kitu maana kama una element za kiswahili vile
anaye tembelea BMW,RENGLOVER,V8 na wewe unaye tembelea passo,vits au ist nani anaonekana kwa lugha yako Taashira.
chuo gani ulisoma ukujua maana ya brand na brand inavoweza kujenga tabaka fulani na kuweka wazi ya thamani katika soko hata mvuto.
 
Nimekupata....u have a thing for white chicks?!

I have a thing for women, period. I love women. Color, creed, ethnicity, race, religion, or national origin don’t matter to me.

I don’t discriminate. I just regulate.

‘Auntie’ wa Kisura ni African-American.
 
I have a thing for women, period. I love women. Color, creed, ethnicity, race, religion, or national origin don’t matter to me.

I don’t discriminate. I just regulate.

‘Auntie’ wa Kisura ni African-American.
Same.
 
Nianze na fasili kwanza maana wengi wenu nyie 'millennials' hamjui lugha. Iwe Kiswahili au Kiingereza, hamko vizuri kivile. Ni wababaishaji tu😀.

Taashira maana yake ni ishara/ au dalili. Naamini mnajua maana ya ishara na dalili.

Sasa kuna jambo nimeliona ambalo ningependa kusikia maoni ya wengine kulihusu.

Hivi hapa bongo iPhone ni ishara ya hadhi [ya juu]? Nauliza hivyo kwa sababu nimeshapigwa sana mizinga ya 'Ngabu naomba niletee iPhone basi...hata kama ni iPhone 5 au iPhone SE'.

Kwa nini iPhone kwa sana na si Samsung, LG, Motorola, au zinginezo?

View attachment 632283
Hilo ni swali nimekuwa nikijiuliza pia. Mimi nilishaamua kuwa na kitochi changu cha techno, na iPhone yangu huitumia tu pale ninapohitaji huduma kama UBA etc. Yaani na hivi wachina ni mabingwa wa kufoji, basi bongo ni kama hadhi.
 
Back
Top Bottom