SingleIvi I phone zipo za dual simcard au single simcard tu?
Kama mie nokia kesha niteka kabisa na ile camera ya carl zesis yaani sio ile yenye window au android kama ina camera ya carl basi mie roho yangu inapoa kabisa
Haha siipati hiyo, japo mimi naoendaga sana vitu complex kama zilivyo lumia japo sijawahi miliki
Maana aliexpress nimeona iPhone 6 yenye dual simcard nikashangaa mkuu.Single
Mpaka kesho hakuna atakae simama battle na nokia na microsoft kwenye cameraHaha siipati hiyo, japo mimi naoendaga sana vitu complex kama zilivyo lumia japo sijawahi miliki
Maana aliexpress nimeona iPhone 6 yenye dual simcard nikashangaa mkuu.

hiyo picha nilipiga mwenye ila watu nikiwaambia wanakataa katu nokia 830 10mp picha ina 8mp![]()
Mpaka kesho hakuna atakae simama battle na nokia na microsoft kwenye camera
Hiyo brand gani ulichukulia hiyo picha iko vizuri sema watu hawajui kama ukitoa apple au samsung kuna vingineDaah iko poa balaa,
Cheki hii nilijaribu pia
![]()
![]()
Hata pixel zake ziko poa ukizoom nenda brand nyingine lazima ukutane na chenga nyingi sanaDaah iko poa balaa,
Cheki hii nilijaribu pia
![]()
![]()
Hiyo brand gani ulichukulia hiyo picha iko vizuri sema watu hawajui kama ukitoa apple au samsung kuna vingine
Hata pixel zake ziko poa ukizoom nenda brand nyingine lazima ukutane na chenga nyingi sana
TecnoNi iphone 5s na ni 8mp tuu
Tecno wamewarahisishia, mtu akiona simu ina 20mp na 4gb RAM afu likioo likubwa kama mkebe anachachawa kisa bei ni chee lkn majority ya hizo simu uoshia kustack na kuharibika mapema sana nimeshuhudia nyingi zikiwaharibikia watu
hiyo simu ina mauza uza hadi raha mie huwa huwa naangalia quality over quantityHuijui iphone wewe naona...Mpaka kesho hakuna atakae simama battle na nokia na microsoft kwenye camera
Sio kweli labda kama haujatumia microsoft na nokia na mpaka kesho 41 mp ya 1021 ya nokia ipo mstari wa mbele kwenye camera sipondei napenda sana iphone ni second choice yangu baada ya nokia tena saivi nokia wametoa kitu kipya hatari tafuta microsoft 950xl uone muujizaHuijui iphone wewe naona...
So, ninachofanya napiga hesabu za haraka haraka kwamba kama anaweza kutumia 1M+ lazima atakuwa na kipato kizuri sana..
Tecno![]()
![]()
hiyo simu ina mauza uza hadi raha mie huwa huwa naangalia quality over quantity
Yeah that's trueNa kipato kizuri kibongobongo does not mean the person is wealthy. Mtu ana kipato kizuri (high-income generating opportunity), anaweza ''kuafford'' simu ya USD1500 ila hana hata laki tano bank wala investment yoyote ya maana.