'Kibinti' cha Kapuya kina kiherehere

'Kibinti' cha Kapuya kina kiherehere

Tumia akili ww ... uliza maana ya kubakwa kisheria sio kutumia maana za mtaani. Issue ya Kapuya sio swala La kukubaliana au kupewa hela. Kapuya knows better kwamba kufanya mapenzi na under 18 Ni kosa la jinai...haijalishi kama alidanganywa au walikubalina....kifupi Ni kwamba hakuna hiari once swala la underage linapohusika.

Endeleeni tu kumtetea JAK kwa sababu inakubakika pia kisheria. Binafsi napata shida kuwa JAK Ni mtunga sheria irrational as he is!

Naona mmeanza upotoshaji wa sheria. Sheria gani inasema ukifanya mapenzi na under 18 ni kosa la jinai? Na sheria hiyo imetungwa mwaka gani?
 
Kuhusu Kapuya yamesemwa mengi lakini ukweli ni kwamba mabinti wamezidi tamaa na baadhi ya mama zao wanawatumia kama vitegauchumi? Hicho kibinti kililala na Kapuya kwa makubaliano kama wanawake wengine. HAKUBAKWA.

Sheria hairuhusu mtu mzima kufanya ngono na mtoto yaani aliye na umri chini ya miaka18 tena mwanafunzi, hivyo iwe kwa ridhaa au la ni kosa, kwani mtoto hajakomaa akili lakini lijibaba zima linamparamia mtoto ambaye ni sawa na mjukuu wake, dhambi hii hata kama mjaribu kupotosha umma au kujaribu kukwepesha uzito itabaki tu Kapuya alibaka mtoto chini ya umri usioruhusiwa kwa mtoto.

Kwanza Kapuya alikataa kutofanya ufuska na msichana huyo, baada ya ushahidi kuonekana kumwelemewa sasa anawatumia watu kudhoofisha ukweli kwamba kulikuwa na makubaliano, makubaliano gani yalifikiwa kwa manafunzi aliyekusudia kumsaidia ada kama si shinikizo la kulipiwa ada kwa kukirimiwa ngono kwa lazima. Ujuavyo wakubwa wa serikali walivyo na vitisho kwa watoto angefanyeje?

Kama ilikuwa ridhaa ya mtoto huyo iweje alipotoka kwa Kapuya aonyeshe dalili ya simanzi hadi watu wamshangae na kumpa ushauri wa kufuata taratibu za kisheria?
 
unajua maana ya kubakwa? hata kama walikubaliana, kama bint anamiaka chini ya 18 ni amebakwa kisheria na ukizingatia ni mwanafunz, upoo hapooo
 
Kapuya knows better kwamba kufanya mapenzi na under 18 Ni kosa la jinai...haijalishi kama alidanganywa au walikubalina....kifupi Ni kwamba hakuna hiari once swala la underage linapohusika.

Kwani Kapuya alifanya mapenzi na huyo binti? Kama alifanya, ushahidi uko wapi? Na kama alifanya, ushahidi kuwa huyo aliyefanya naye alikuwa chini ya umri wa miaka 18 wakati huo uko wapi?
 
Kuhusu Kapuya yamesemwa mengi lakini ukweli ni kwamba mabinti wamezidi tamaa na baadhi ya mama zao wanawatumia kama vitegauchumi? Hicho kibinti kililala na Kapuya kwa makubaliano kama wanawake wengine. HAKUBAKWA.

wewe ndiye kapuya?.............

umeona mkataba wa maridhiano?..........

si bure , utakuwa umevurugwa wewe..........
 
Tumia akili ww ... uliza maana ya kubakwa kisheria sio kutumia maana za mtaani. Issue ya Kapuya sio swala La kukubaliana au kupewa hela. Kapuya knows better kwamba kufanya mapenzi na under 18 Ni kosa la jinai...haijalishi kama alidanganywa au walikubalina....kifupi Ni kwamba hakuna hiari once swala la underage linapohusika.

Endeleeni tu kumtetea JAK kwa sababu inakubakika pia kisheria. Binafsi napata shida kuwa JAK Ni mtunga sheria irrational as he is!

siku hizi miaka 23 ni under age! hata tukirudisha 2011 itakuwa 21 years! bado ni under age? na bado tuweke kuwa ameshazaa na ana mtoto mkubwa ( alishaolewa) bado tu ni under age?
Political battles......cum maadili ya umma!
Alichokifanya Kapuya amekosea! ila kuleta utetezi wa binti kwa facts zisizo husika pia tunakosea..... let truth prevail
 
Alichokifanya Kapuya amekosea! ila kuleta utetezi wa binti kwa facts zisizo husika pia tunakosea..... let truth prevail

Kwani imethibitika kuwa kweli alifanya?

Hapo umekosea, Ulitakiwa kuandika "Anachotuhumiwa kukifanya Kapuya, kama kweli, amekosea".
 
Wazee wengi tu wanajipoza na vibinti kwa hiari na njaa zao! Wengi wanakimbia gubu la wake. Vipi kumuandama AJK? Unafiki tu. Kale kabinti na dada yake hawana shukrani kwa Kapuya kwani alikuwa atm yao! Siku hizi wazee ovyo na vibinti ni ovyo zaidi kwani vinajianika sana na havina adabu. Hiyo sheria ya under age inawabagua wanaume kwani binti anaweza kuwa na miaka 15 lakini ana maungo kama Martha Mlata! Sasa akina Kapuya wafanyeje?
 
Kuhusu Kapuya yamesemwa mengi lakini ukweli ni kwamba mabinti wamezidi tamaa na baadhi ya mama zao wanawatumia kama vitegauchumi? Hicho kibinti kililala na Kapuya kwa makubaliano kama wanawake wengine. HAKUBAKWA.
ukitumwa ....ulizia details za kutosha...
 
Wazee wengi tu wanajipoza na vibinti kwa hiari na njaa zao! Wengi wanakimbia gubu la wake. Vipi kumuandama AJK? Unafiki tu. Kale kabinti na dada yake hawana shukrani kwa Kapuya kwani alikuwa atm yao! Siku hizi wazee ovyo na vibinti ni ovyo zaidi kwani vinajianika sana na havina adabu. Hiyo sheria ya under age inawabagua wanaume kwani binti anaweza kuwa na miaka 15 lakini ana maungo kama Martha Mlata! Sasa akina Kapuya wafanyeje?

Khaa sikutegemea uta urge kizembe hivi! Ukizaa binti akiwa na umbo kubwa kama mama yake utajiservia!!!!
 
Kuhusu Kapuya yamesemwa mengi lakini ukweli ni kwamba mabinti wamezidi tamaa na baadhi ya mama zao wanawatumia kama vitegauchumi? Hicho kibinti kililala na Kapuya kwa makubaliano kama wanawake wengine. HAKUBAKWA.
Hayo yanawezekana kabisa ila mzee kapuya kimaadili kaputi kabisa. Kwa madai ya hicho kibinti ilibidi kapuya atoweke kwenye safu ya uongozi nchini ila kwa kua nchi imekamatwa na mafiosi kama kina belosconi wa italia mambo ni kanyaga twende.
 
Kwa nini asikatae? Kwani alishikiwa bunduki? Tamaa imezidi. Kapuya, Kapuya! Kibinti kimebugi step kwa umalaya wake...
 
Heri mimi sijasema! Kula ale mwingine kutetea atetee mwingine. MAJANGA hayo.
 
jamani kumbe hii kesi bado ipo mi nilijua mheshimiwa yupo segerea tayari
 
Back
Top Bottom