sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Lol, ole wako...kumbe zilikua na sumu??loh mnisamehe nilikochukulia hawajui malaria na hawatumii kwa ajil ya wanadam...poleni...but this one mtaipenda!...
Lol, ole wako...kumbe zilikua na sumu??loh mnisamehe nilikochukulia hawajui malaria na hawatumii kwa ajil ya wanadam...poleni...but this one mtaipenda!...
Sasa kilichokufanya ukanyage kimyakimya nini?for your i....moshi na arusha nimekanyaga kwa siku ya jana na leo...kesho narudi TZ!..
Ushangae na wewe jamani.Sasa kilichokufanya ukanyage kimyakimya nini?
Kwani unadhani sisi si maafande tutawakamata wana JF?
Hahahaaa ina maana unataka kusema umefall in Love na sehemeji yako?kumbe kibela ni SL?
nime-fall inlove na hili tangazo all of the sudden!..
NB: SAUTI YAKE NI KAMA YA MWANA JF MMOJA HAPA...GUESS!
Dah kumbe huyu dogo ni mzigo eehUshangae na wewe jamani.
Hahahaaa ina maana unataka kusema umefall in Love na sehemeji yako?
Mke wa mtu....tena mke wa kaka yako Nitty....Lol Huna hata aibu mla kitu ya Moshi....[The Dog]
Hahahaaaa huwezi dogo...Haya mambo yana wenyewe...high level ngoja tukutafutie sidanganyitiki mwenzio....Ivi kumbe huyu ni shem eeeh?nitty nae kakaa mbali sana acha wadogo zake tumsaidie...bo!
Hahahaaaa huwezi dogo...Haya mambo yana wenyewe...high level ngoja tukutafutie sidanganyitiki mwenzio....
Au hujauona ule wimbo wa Temba na kale kadogo kalikoimba naenda kusema kwa mama...kusemaa kwa mamaaaaa?
Ndo wewe unataka vya wakubwa.....utaumia
Mie bado kumsamehe mpaka anambie kwanini alivyoenda nchi zote aliweka matangazo humu afu kwenye nchi yetu kaingia kimya kimya...ana agenda gani huyu?Ndoa yangu huiwezi kijana.....kwanza usilete jeuri uko nchini kwetu......tutakudeal hadi ushangae....
Amy nampenda sana na ananienda sana na hivyo tunapendana kuliko unavyoipenda JF
Hahahaaaaaa SL hujui huku ni half London?Mie bado kumsamehe mpaka anambie kwanini alivyoenda nchi zote aliweka matangazo humu afu kwenye nchi yetu kaingia kimya kimya...ana agenda gani huyu?
Hahahahahaaa! Sipati picha alivyokuwa anashanga shangaa wazungu pale goliondoi road na jambo makuti....lolHahahaaaaaa SL hujui huku ni half London?
Dogo alipofika akadata hata JF hakuikumbuka tena
Lol
Unacheza na Ar na MS?
Hahaaaaa kwanza unaweza kuta kesho akaahirisha kuondoka....Hahahahahaaa! Sipati picha alivyokuwa anashanga shangaa wazungu pale goliondoi road na jambo makuti....lol
Hahahahahaha! Hapa sasa sikubali manake una mpango wa kuntengua mbavu zangu lol. Eti mbio za mwenge khaaa...Hahaaaaa kwanza unaweza kuta kesho akaahirisha kuondoka....
Sijui yuko kwenye mbio za Mwenge....
Teh Teh nakumbuka mwaka jana namimi nilikuwa na mbio kama zake na nahisi nilimzidi sana coz ilinichukua kama miezi 7 kumaliza mbio zango....Lol Nilikoma na sitaki tena kukimbiza mwenge hata kidogo.....Hahahahahaha! Hapa sasa sikubali manake una mpango wa kuntengua mbavu zangu lol. Eti mbio za mwenge khaaa...
Hahahahahahaaaa! Kama namuona vile lol. Akimaliza mbio lazima akome kama wewe ulivyokoma... Erick sikuwezi...Teh Teh nakumbuka mwaka jana namimi nilikuwa na mbio kama zake na nahisi nilimzidi sana coz ilinichukua kama miezi 7 kumaliza mbio zango....Lol Nilikoma na sitaki tena kukimbiza mwenge hata kidogo.....
Hapo najua atakuwa kachoka sana.....
Aaah SL Tz ni kubwa san aiseee lolHahahahahahaaaa! Kama namuona vile lol. Akimaliza mbio lazima akome kama wewe ulivyokoma... Erick sikuwezi...
Ndoa yangu huiwezi kijana.....kwanza usilete jeuri uko nchini kwetu......tutakudeal hadi ushangae....
Amy nampenda sana na ananienda sana na hivyo tunapendana kuliko unavyoipenda JF