sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Swahiba umekuja kishari lol.Hivi nyie huwa hamna stori nyingine zaidi ya kuzungumzia mapenzi yenu tu???
Swahiba umekuja kishari lol.Hivi nyie huwa hamna stori nyingine zaidi ya kuzungumzia mapenzi yenu tu???
Amechanganya na kudeka bana, kuna mda nilimpelekea juice akanambia keshapata dawa hivyo tutegemee habari njema mda wowote!.. Mpigie.Aaah SL Tz ni kubwa san aiseee lol
Hivi Kaby yuko wapi leo sijamuona kabisa.....Au ndo ugonjwa umezidi?
Ana wivu huyo LolSwahiba umekuja kishari lol.
Hapatikani aisee na nina namba moja...Nitumie nyingine basi nimcheckl fasterAmechanganya na kudeka bana, kuna mda nilimpelekea juice akanambia keshapata dawa hivyo tutegemee habari njema mda wowote!.. Mpigie.
Heri mie sijasema lol...Ana wivu huyo Lol
Teh ngoja Bagah aje atusaidie kuongea nae kidogo maana watawezanaHeri mie sijasema lol...
Nyingine aitoe wapi? Huwa ana hiyo hiyo moja... Atakuwa kalala, hana ujanja Erick, chezeiya ugonjwa weye!Hapatikani aisee na nina namba moja...Nitumie nyingine basi nimcheckl faster
Bagah alivyochoka sahizi keshalala, asubuhi mwenge unaelekea njiro kwa msola nae ndie mkimbizaji..Teh ngoja Bagah aje atusaidie kuongea nae kidogo maana watawezana
Dah pouwa SL.....ngoja natoka kidogo nataka nimalizie hii match then i will be back madame km ntakukuta....Nyingine aitoe wapi? Huwa ana hiyo hiyo moja... Atakuwa kalala, hana ujanja Erick, chezeiya ugonjwa weye!
HahahaaaaBagah alivyochoka sahizi keshalala, asubuhi mwenge unaelekea njiro kwa msola nae ndie mkimbizaji..
Hahahahahahaaa!Hahahaaaa
Mwenge huo mwengeee.....mbio mbio....mwenge tunaukimbiza....mbiombio....hadi makao makuu....mbiombio.....Lol
Hahahaaaa pouwa.....Hahahahahahaaa!
Good night manake hutanikuta...
kumbe kibela ni SL?
Tobaaaa swahiba!
Hivi nyie huwa hamna stori nyingine zaidi ya kuzungumzia mapenzi yenu tu???
Kilawalawa! That's a real lav bhanaa!
Ungependa wazungumzie nini mida miswit kama hii ?
Wadiscus Katiba mpya ?
Election Alumelu ?
Acha wajinafass banaa!
Au ungependa wawe wahanga kama mie ?[
/QUOTE]
uyo ndo braza Jay sasa!...habari ngaji rafiki!.
Hahahaha! Kibelaaaa ni klorokwini bana.aaah swahiba kibelaaaaaa.
Hahahaaa labda kadungwa kibuti....ndio!...vip mbona una hasira umepigwa KIBUTI ama,?
Dah huyu Kipipi sijui ana matatizo gani maana sijamuelewa kabisa....Kilawalawa! That's a real lav bhanaa!
Ungependa wazungumzie nini mida miswit kama hii ?
Wadiscus Katiba mpya ?
Election Alumelu ?
Acha wajinafass banaa!
Au ungependa wawe wahanga kama mie ?