sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Mwenyewe kila kukicha na mabegi mara mwanza, mbeya, shinyanga, utaacha kunikosa jamani?.. Sahivi umeweka kituo wapi?SL
nimekukosa sana!.
Mwenyewe kila kukicha na mabegi mara mwanza, mbeya, shinyanga, utaacha kunikosa jamani?.. Sahivi umeweka kituo wapi?SL
nimekukosa sana!.
Mgonjwa unaendeleaje?
Hahaha! Afu wamejifunga msuli na juu wametupia vesti...lol. Chini wana makobasi yamechakaaaa!Rejao akija atasema neno tu hapo, halafu ila yule Mwenzake ni kama BAbu aspirin!?
Bado nipo kwenye maombi so tegemea kurecover soon,Naendelea vizuri kiasi though hamu ya kula ni yakutafuta sana..... hapa nimemeliza lita moja na nusu ya maji tayari
Nidokeze hao wapya sijawajua! Nawajua wale wenye hasira za kujitundika tu shem.hahahahhhaaaa...acha basi kunichana live sio fresh Shem!..
niko kwa wala mbwa wapyaaa!..unawajua,?
nimesikia kwa mbali eti unaumwa pole SS...ni nini mbaya??
Bado nipo kwenye maombi so tegemea kurecover soon,
ndio kawaida ya malaria huwa inaondoa apetite yote ila vile unakunywa maji kwa wingi hakuna tatizo!
Jitahidi ukule na matunda pia, vipi yale nilokuletea jana yameisha?
Hahaha! Afu wamejifunga msuli na juu wametupia vesti...lol. Chini wana makobasi yamechakaaaa!
Amina!Ahsante sana kwa kujali kwako..... Kwa imani ninapokea hayo MAtunda
Hahaha! Afu wamejifunga msuli na juu wametupia vesti...lol. Chini wana makobasi yamechakaaaa!
Mie na Rejao ni dam, dam! Tukigombana jf twaenda patanishwa nyumbani na mjomba lol.AH hah hah hah ah we unamchokoza Rejao, utam-can? (utamuweza)
Hahahahahaaaa! Vesti zenyewe zimefubaaa afu ya Asprin imetoboka kwenye mbavu lol. Preta mie simo!kichwani wamevaa kikofia kimechakaa....
Usijesema ni wachanga jamani...ni nomaaa!..naogopa hata ww inakuhusu!..hukuona ile nyuzi yangu nilioleta juzi ikiwa napicha ya mbwa aliekamwatwa kwa wale watu wanaojua kusaka hela!..
Ngoja nipite tu hapa...but hili tangazo kweli ni zuri! aliyelidesign nampa big up!!Ngoja namsubiri Rejao kwanza......
Hivi hawa watujui kumbe??Mie na Rejao ni dam, dam! Tukigombana jf twaenda patanishwa nyumbani na mjomba lol.