Hamna lolote mnasurport CHADEMA Kwa sababu ya UDINI uliowajaa. Na KINA KIBANDA na wenzake wanao surport CHADEMA wanampinga ZITTO kwa sababu ni MUISLAM Tena Muislam mzuri kwa imani yake. Kwa iyo kanisa na baadhi yao akina kibanda wanmuona kama KIRUSI.
nani hajui kama CHadema CHAMA KATOLIKI NA KINAUNGWA MKONO NA KMAKANISA 100 percent.
WAISLAAM AMKENI MSIKUBALI KUWA NGAZI SEKTA ZOTE WANATAKA WAWE WAO(WAKRISTO) AKIWEPO MUISLAAM HAFAI.
BADILIKENI NCHI YETU SOTE TUIFANYE TANZANIA LAND OF OPPORTUNITY KILA MWENYE UWEZO APEWE NAFASI KUTOA MCHANGO WAKE KUENDELEZA NCHI
KWAO WAO WAISLAM HAWAJASOMA TUUUUUUUU!
Kama kilivyo CUF kuandamwa na udini wa kichinichini kuwa ni chama cha Kiislamu, ndivyo Waislamu wenye msimamo mkali wanakiona Chadema kama chama cha Kikristo, tangu kimeanzishwa, wenyeviti wake wote na makatibu wakuu ni Wakristo tuu, kuingia kwa Zitto kutaliondoa hili na kukifanya Chadema chama cha kitaifa zaidi tayari kuchukua nchi, 2015.
Hongera Zitto for just daring.
Mawazo haya mgando ni ya Kibanda mwenyewe,si ya CHADEMA, tafadhali tusiyafanye kuwa ndo msimamo wa chama. Katiba inamruhusu Zitto kugombea uenyekiti wa CHADEMA, kama anafaa au hafai wanachama wataamua, wala sio wewe Kibanda, mvivu wa kufikiria.
Kitu kimoja unachotakiwa tilia maanani ni kwamba kama ambavyo gazeti la Uhuru linawakilisha Chama cha Mapinduzi na ndivyo Tanzania Daima linakiwakilisha Chadema. Wanapoongelea gazeti la Tanzania Daima wananchi huwa hawasemi linalotolewa na Freemedia bali wanasema lile gazeti la Chadema. Hapo sasa nadhani unaweza ukakaa na kupembua ufahamu mawazo mgando ya Kibanda yana athari gani ndani na nje ya Chadema.
Nawatakieni Kila la Kheri katika uchaguzi huo na pia Tunaomba Mungu kwa ajili ya yoteNafirikiri wanachama wa chadema wanatikiwa kuwa makini sana kwenye uchaguzi huu, kwa sababu ni uchaguzi muhimu sana kuelekea 2010 General Election.......!
Viongozi watakaochaguliwa hapo watatupa dira sahihi ya nini tutegemee from Chadema come 2010, ikizingatiwa (na to be honest), Chadema kwa sasa ndio tegemeo pekee ya ukombozi wa kweli kwa wanyonge Tanzania!
Kila la kheri Chadema, na msituangushe huko!
Hamna lolote mnasurport CHADEMA Kwa sababu ya UDINI uliowajaa. Na KINA KIBANDA na wenzake wanao surport CHADEMA wanampinga ZITTO kwa sababu ni MUISLAM Tena Muislam mzuri kwa imani yake. Kwa iyo kanisa na baadhi yao akina kibanda wanmuona kama KIRUSI.
nani hajui kama CHadema CHAMA KATOLIKI NA KINAUNGWA MKONO NA KMAKANISA 100 percent.
WAISLAAM AMKENI MSIKUBALI KUWA NGAZI SEKTA ZOTE WANATAKA WAWE WAO(WAKRISTO) AKIWEPO MUISLAAM HAFAI.
BADILIKENI NCHI YETU SOTE TUIFANYE TANZANIA LAND OF OPPORTUNITY KILA MWENYE UWEZO APEWE NAFASI KUTOA MCHANGO WAKE KUENDELEZA NCHI
KWAO WAO WAISLAM HAWAJASOMA TUUUUUUUU!
Ado, Karibu sana... Hata mie nilikuja na vijungu vyangu na vitetesi kibao!!! Badae nikagundua hapa ni great thinkers, kama una uhakika toa ushahidi, la sivyo... Kakojoe ulale
Kwanza nikiri kukosa maneno ya kusema wazi wazi kwa kuwa sijawasiliana na Zitto. Nitakuwa na nafasi ya kuzungumza kwa uzito unaostahili maana ni mambo mazito sana kwangu binafsi na kwa mustakabali wa Taifa.
Jambo ambalo naona ni vyema kwa sasa nikalitolea ufafanuzi ni kauli za baadhi ya watu kumbeza/kumshambulia Kibanda kwa makala yake ya uchambuzi.
-Kwanza kabisa hayo ni maoni yake na mwingine ana nafasi ya kuandika maoni yake hata kama hana gazeti JF ni bureee, aandike.
-Lakini pili, siamini kabisa na sikubaliani kwamba mawazo ya Kibanda yamesukumwa ama anajipendekeza kwa Mbowe. Nina sababu nyingi lakini moja kubwa ni kwamba Kibanda amekuwa karibu na Zitto kuliko wengi wetu ambao tumekuwa karibu naye. Pia Kibanda amekuwa akiandika mambo mengi ambayo mara kadhaa yamepingana na msimamo wa Mbowe moja kwa moja, tena mengine mambo muhimu yenye athari kwa Mbowe.
-Jambo la tatu ambalo ni vyema tujiridhishe nalo ni staili ambayo Zitto ameitumia. Kuna maswali mengi ambayo pengine yakijibiwa, tunaweza ama kumpinga Kibanda ama kumuunga mkono kwa kuandika maandiko yetu yenye msimamo tofauti na pengine kabla hatujaandika, yeye mwenyewe Kibanda ataandika kujisahihisha na kuomba radhi.
Maswali ambayo yanahitaji majibu ni pamoja na kwanini Zitto amechukua uamuzi huo kwa staili ya aina yake, yaani KIMYA KIMYA bila kujitokeza mwenyewe katika ofisi za chama chake?. Je, ni kweli kwamba Zitto anafanya hivyo kutoa changamoto la kisiasa kwa chama chake kuwa mfano wa kidemokrasia? Je, ni kweli kwamba anafanya hivyo kutokana na kutoridhishwa na uongozi wa Mbowe? Je, anataka kukivuruga chama ambacho yeye binafsi na watu walio karibu naye wanakiamini kuwa ni chama mbadala? Je, anatumiwa na watu wenye nia mbaya na Chadema? Je, amekasirishwa na jambo/mambo ambayo hana njia ya kuyasahihisha isipokuwa kumkabili Mbowe kwa kuwania uenyekiti? Je, ni kweli kwamba kwa muda wa miezi mitatu sasa hajakutana na Mbowe? Je, amemua kugombea baada ya Mbowe kusema hatogombea? Je, amelazimishwa na viongozi/wanachama wenzake wa Chadema? Je, kuna mkono wa CCM/dola?
Baada ya kujibiwa maswali hayo na zaidi yanaweza kujibiwa na Zitto mwenyewe, ndipo tunaweza kuwa na JUKUMU ZITO la kukabiliana na jambo lililo mbele yetu, lakini kwa sasa naamini ni mapema mno kutoa hukumu, maana inaweza kutokea Chadema ikawa imara kuliko ilivyo leo na jana.
Mwisho napenda kutoa angalizo kwa CCM na Dola kwamba, kukosekana kwa sauti mbadala ya UMMA kunaweza kuwa HATARI KWA USALAMA WA TAIFA kuliko jambo lolote lile na kwamba wananchi wakikata tamaa, nchi HAITATAWALIKA.
Kuna wakati inabidi zianzishwe thread za kuwapsha watu!, ikiwezekana hata kutumia lugha za Mgando
wewe! mimi mama yangu mwislamu na na baba yangu mkristo unaniweka wapi?
hakuna nafasi ya dini Tanzania, wakikusikia wenyewe wanashangaa!
Personally ni MLOKOLE NA ZITTO has been my friend since then!
acha ujinga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Democracy at work in CHADEMA............. chama hakitavunjika, kitamaliza uchaguzi kikiwa imara kabisa. tukumbatie demokrasia na tusiihofu.
...................................
Naomba kuuuliza , kuogombea uraisi uwe juu ya miaka 40 ni katiba ya taifa ama ni katiba ya ccm.?
39.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwamujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa nachama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbewa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe yaUchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katikaMahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipakodi yoyote ya Serikali.
Kibanda huwa nakuheshimu sana na mimi ni msomaji mzuri sana wa Makala zako lakini kwa hili ndugu yangu umechemsha sana, sijui motive ya hii makala yako ila kama lengo lilikuwa ni kumfurahisha Mbowe, ninavyomjua Mbowe utakuwa umemuudhi sana.
1: Kwanza unamfanya Mbowe aonekane kama anamuogopa Zitto, kitu ambacho naamisi si kweli.
2: May be unataka kuwagombanisha Mbowe na Zitto kwa sababu as Mwajiriwa wa Freemedia ukaandika habari za Zitto na Mbowe in such a biased manner hii inaweza kumfanya Zitto afikiri kwamba umeagizwa au umetumwa na Mbowe.
3: Kama namba mbili ni ya kweli basi utakuwa umetumwa na mtu ambaye si Mbowe wala yeyote mwenye kuitakia mema CHADEMA, acha Democracy ichukue mkondo wake coz nahofia kesho Magazeti mengine yanaweza kutoka na habari kwamba Mbowe atumia vyombo vyake kupambana na Zitto huoni kama utakuwa unakiongezea Chama Mzigo mzito wa maswali ya kuyajibu?