Nyumbu
Senior Member
- May 22, 2008
- 141
- 2
Hamna lolote mnasurport CHADEMA Kwa sababu ya UDINI uliowajaa. Na KINA KIBANDA na wenzake wanao surport CHADEMA wanampinga ZITTO kwa sababu ni MUISLAM Tena Muislam mzuri kwa imani yake. Kwa iyo kanisa na baadhi yao akina kibanda wanmuona kama KIRUSI.
nani hajui kama CHadema CHAMA KATOLIKI NA KINAUNGWA MKONO NA KMAKANISA 100 percent.
WAISLAAM AMKENI MSIKUBALI KUWA NGAZI SEKTA ZOTE WANATAKA WAWE WAO(WAKRISTO) AKIWEPO MUISLAAM HAFAI.
BADILIKENI NCHI YETU SOTE TUIFANYE TANZANIA LAND OF OPPORTUNITY KILA MWENYE UWEZO APEWE NAFASI KUTOA MCHANGO WAKE KUENDELEZA NCHI
KWAO WAO WAISLAM HAWAJASOMA TUUUUUUUU!
Umetumwa na CUF au CCM? Your too obvious....
Kama kilivyo CUF kuandamwa na udini wa kichinichini kuwa ni chama cha Kiislamu, ndivyo Waislamu wenye msimamo mkali wanakiona Chadema kama chama cha Kikristo, tangu kimeanzishwa, wenyeviti wake wote na makatibu wakuu ni Wakristo tuu, kuingia kwa Zitto kutaliondoa hili na kukifanya Chadema chama cha kitaifa zaidi tayari kuchukua nchi, 2015.
Hongera Zitto for just daring.
Sahihisho - Bob Nyange Mohamed Makani ni mwislamu ama uislamu ndio dini anayojitambulisha nayo. Halafu Walid Kabourou alishakuwa katibu mkuu na makamu mwenyekiti. Hili la udini ni propaganda za CCM halina pa kushikia, ushauri wa bure - achana nalo.