Wee wacha hizo,...Zito kabwe alisema kuwa hata gombea ubunge kwa sababu hana experience ya uongozi. Iweje leo aweze kuongozi chama wakati alipojithathmini yeye mwenyewe aligundua kuwa hana expirience ya kutosha?
Naliona anguko la kihistoria la Zitto.
huyu kibanda nae "kashanunuliwa" na mbowe.
Kwani hajui maana ya demokrasia?, tena chama kinajiita cha demokrasia!,
charity begins at home bana!, chaadema vipi nyie?, mpeni nafasi zitto afanye mambo.
NDUGU ZANGU, MIMI KAMA MWANACHADEMA SINA IMANI NA ZITO AKIPITA KUWA M/KITI ATATUMIWA NA CCM KUKIUA CHAMA CHETU. NAFIKIRIA HIVYO MAANA KWENYE KAMATI YA MADINI AMEHARIBU. Msimamo wa zitto umepungua tangu aingizwe kwenye kamati ya madini.
Hii TZ ni noma sana sidhani kama akili zetu ni njema ingawa tayari tunalipwa mishahara mizuri watu wanatusalilti kwa kupewa pesa. TUCHUKUE TAHADHARI
Watanzania tu wepesi kusahau mambo. Zitto alianza kunesha kubadirika pale alipopingana na chama chake akipigana kwa nguvu zote ili taifa linunue mitambo ya matapeli wa dowans, (RA), Hii mimi ilinistua na kwakujua nguvu ya kipesa waliyonayo mafia wa kitanzania wanongoza nchi hii kwa remote control, nikajua zitto hatunaye tena! Zito ametumwa kufanya anayotaka kufanya, ni Yuda Iskariote wa upinzani