weee umetokea wapi tena jamani? wewe ndio kirusi unaetaka kutumia dini kuharibu fikra za watu. Huyu Kibanda hana tofauti na wewe ila mna strategy tofauti wewe unatumia dini yeye anatumia kalamu wote nyie vibaraka wa CCM. Mungu awaangamizee na dhamira zenu mbaya.Hamna lolote mnasurport CHADEMA Kwa sababu ya UDINI uliowajaa. Na KINA KIBANDA na wenzake wanao surport CHADEMA wanampinga ZITTO kwa sababu ni MUISLAM Tena Muislam mzuri kwa imani yake. Kwa iyo kanisa na baadhi yao akina kibanda wanmuona kama KIRUSI.
nani hajui kama CHadema CHAMA KATOLIKI NA KINAUNGWA MKONO NA KMAKANISA 100 percent.
WAISLAAM AMKENI MSIKUBALI KUWA NGAZI SEKTA ZOTE WANATAKA WAWE WAO(WAKRISTO) AKIWEPO MUISLAAM HAFAI.
BADILIKENI NCHI YETU SOTE TUIFANYE TANZANIA LAND OF OPPORTUNITY KILA MWENYE UWEZO APEWE NAFASI KUTOA MCHANGO WAKE KUENDELEZA NCHI
KWAO WAO WAISLAM HAWAJASOMA TUUUUUUUU!
mie namuunga mkono Zitto coz thats shows the real Democracy, hivi wabongo bwana nyie mnaona yale ya CUF ya tangu mwaka 1995 viongozi wakuu ni hao hao tu Lipumba na mwenzie Seif ni sawa? kama vile ile ni NGO yao vile, do you believe hakuna wa kuongoza kile chama zaidi ya wao tu? na hata hao wanaogombea nao unaona kabisa wamewekwa tu kutimiza sheria lakini hawana nguvu za kuwachallenge mwisho wa siku wanaaanguka vibaya.
Unaona leo Zitto ameamua kugombea kila mtu mishipa ya damu yake imesisimka na tunaona kweli tishio kwa MBowe, so hata kama atashindwa lakini tunaamini ulikuwa uchaguzi wa kweli na wa kidemokrasia.
Go Go Go Zittooooo tuko nyuma yako