Kibanda: Kinana ni Kimbunga

Kibanda: Kinana ni Kimbunga

Huyo unamjua wewe,mimi simjui,shauri yako wewe na yeye endelea naye hukohuko,na isitoshe hata kama ingelikuwa mimi ni yeye kwani yeye hana haki ya kumpongeza huo ni uamuzi wke na kibanda wake.
 
wenye kumtakia mema mtu huyu wakampime akili huenda akawa ameanza safari ya kuokota makopo.argument zake zinaashiria kuwa jamaa amepotea.
 
Kibanda anasahau kuwa mageuzi ndani ya chama hayawezi kuletwa na mtu mmoja. Chama (ccm) kimeoza na waliomo wameoza. Huyo mtu unayemuhofia dhidi ya cdm, hata angekuwa mzuri namna gani, atakomesha rushwa ndani ya ccm na serikali yake, atawarudishia wtz imani kwa kukamata watuhumiwa wa EPA na Kagoda na kurudisha mamilioni yaliyoibwa na kufichwa Uswiz. Sifahamu utakatifu wa Kinana, hata kama ana sifa anazompa Kibamba basi litakuwa tone ndani ya bahari.

Hana ubavu wa kupambana na maovu yanayowachukiza watanzania yanayofanywa na ccm na serikali yake. By the way, who is Kinana ndani ya CCM, kama yamemshida Kikwete mwenyekiti ataweza Kinana - Katibu tu. Mfupa umemshida fisi atauweza mbwa? Tunakubali ccm ni chama na ni system na wala si mtu mmoja.

Dawa ya kukinusuru chama ccm si kubadili mtu (kumtoa Mkama na kuweka Kinana) bali ni kubadili system nzima na sera zao. Njia pekee iliyopo ni kuiondoa ccm madaraka tu.
 
Last edited by a moderator:
Ni kimbunga tu kitapita. Hata Mukama alianza na kwa vurugu na Makomandoo akaishiwa sera kimyaaaaaa.
 
Mbona mimi sioni cha ajabu kwa kinana ,au mwenzetu yamemkuta ya salva rweimamu?
 
Dada Wingu naomba uniombee ngozi ya tembo kwa Katibu mkuu wa CCM

Kamanda hebu ongea kama mtu mwenye fikra za kisiasa; Same utakuwa na wakati mgumu sana kuuza sera; matatizo ya Same sio tembo wala ngozi za faru

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Wenye habari tuambie.Nini cha ajabu alichonacho Kinana hadi tusikie hizi kelele?AU ni CCM wanataka mgeuza populist kamawalivyofanya kwa Kikwete halafu baadaye CCM imembee ktk mgongo wake?Bado mimi naona kama game ya Mganga na mchawi kutaka uondoa people kwa kutumia people.

Wanabodi wenye mchango karibuni.
 
Wenye habari tuambie.Nini cha ajabu alichonacho Kinana hadi tusikie hizi kelele?AU ni CCM wanataka mgeuza populist kamawalivyofanya kwa Kikwete halafu baadaye CCM imembee ktk mgongo wake?Bado mimi naona kama game ya Mganga na mchawi kutaka uondoa people kwa kutumia people.

Wanabodi wenye mchango karibuni.

Charity begins at home...... wewe hujaonesha kuchangia chochote halafu unataka sisi tuchangie!
 
Wenye habari tuambie.Nini cha ajabu alichonacho Kinana hadi tusikie hizi kelele?AU ni CCM wanataka mgeuza populist kamawalivyofanya kwa Kikwete halafu baadaye CCM imembee ktk mgongo wake?Bado mimi naona kama game ya Mganga na mchawi kutaka uondoa people kwa kutumia people.

Wanabodi wenye mchango karibuni.

Wewe hujachangia la maana halafu unataka sisi tuchangie! charity begins at home......
 
Wewe hujachangia la maana halafu unataka sisi tuchangie! charity begins at home......

Umekuwa na haraka tuu.Bado najiuliza nini cha maana anacho hadi tukie hizi kelele.Nashindwa ona tofauti na wachawi wengine.So nimeachia mwenye kuona ch ajabu hadi akamsupport au akawa carried away with these noises anaweza tuambia alichokiona.
 
Charity begins at home...... wewe hujaonesha kuchangia chochote halafu unataka sisi tuchangie!

Sidhani kama umenielewa hapa.Claim kuwa sioni, halafu kutaka mwenye chochote kinachomtetea kinana kile ni kama kuomba kuomba wafuasi wake waweke kinachompa uzito Kinana.Otherwise mimi sioni cha kumkubali.

Ni kama kuuliza anayejua kuendesha baiskeli aje.Sijui nitahitajia vipi "charity start at home"?
 
Kamanda hebu ongea kama mtu mwenye fikra za kisiasa; Same utakuwa na wakati mgumu sana kuuza sera; matatizo ya Same sio tembo wala ngozi za faru

Chama
Gongo la mboto DSM
Matatizo ya same na Taifa kwa ujumla tembo wetu wanaisha
 
Hiyo hiyo Tume ya Uchaguzi ya Rais ndio iliyowatangaza washindi John Mnyika, Joseph Mbilinyi, Halima Mdee, Godbless Lema, Freeman Mbowe na wengine.
ulinzi wa kura sehemu hizo ulikuwa 100 na ndio maana ushindi ni vijijini lakini ulinzi ulivyoimarishwa Igunga na Arumeru cha moto mlikiona
 
Wiki iliyotangulia nilipoona kitu alichoandika Huyu bwana, nilitingisha kichwa kwa masikitiko makubwa. Judi ni kwamba haya anayoandika hata kijana mwenye we hakunaliani nayo. Ni kichwa cha mwendawazimu Kweli. Nasikia anakwenda habari corporation, anauna Damian kwa Kuwa Mimi nimeacha kulinunua hizo siku za jtano. Wa kumshangaa ni huyo mbowe anayeheza na Mbwa mpaka msikitini, anamlea takataka Hiyo, alijikomba kwa nchimbi akiwa waziri home affairs sasa atafuta sana Mack ya viongozi, amejaimaliza makala andefu zinatosha halafu hazina kitu, hii ndio shida. Unajidai gwiji Kwenye profession fulani, unaishia kufanya vitu ambavyo watu aw nje ya profession yako wanakuona kituko, Badala ya wewe kuwarekebisha wao wanakurekebisha wewe, pole kibandda weee, na huko ulikoenda hutapatwa kitu, mtasikia hizo xtrail amazon hata kwa nguvu zako mneweza kuzipata
 
Napenda kuheshimu mawazo yake,lakini ina maana ccm ni kinana tu? Naona kama mwandishi ameshindwa kuielezea ccm kama taasisi ikoje kwa sasa kwa maana ya rushwa, kutegemea vyombo vya dola nk.
 
Kaka Ben umemaliza kila kitu,uar so intelligent,wewe ni aina ya madini yenye thamani kubwa katika mgodi wa CDM,yanasubiri kuchimbwa.nakutabiria makubwa kwenye siasa za Tanzania,kuwa mvumilivu tu.nimekufatilia kwa muda mrefu..

Dogojanja,

Shukran sana.Tuendelee kushirikiana kamanda
 
Moja ya kanuni muhimu sana ya Uandishi wa Habari/ journalism kama profession ni OBJECTIVITY; Katika muktadha huu, OBJECTIVITY ni pamoja na mhusika kuwa FAIR, DISINTERESTED, FACTUAL & NON-PARTISANSHIP/Neutrality (asiye egemea chama au itikadi fulani); Katika haya, Kibanda anafeli kwenye mengi kama sio yote;

Kwa mfano, katika maelezo yake, anatumia dhana ya UKWELI kuhalalisha anachokifanya, lakini anasahau kwamba kuna tofauti kubwa baina ya Jambo la Hakika (FACT) na Ukweli (TRUTH);

Jambo la hakika au Fact, kimantiki, haiwezi kukataliwa au kupingwa; Kwa mfano, nikisema kwamba MOTO UNAUNGUZA, haijalishi wewe ni bingwa au hodari au nguli kiasi gani katika reasoning skills, ukigusa moto UTAUNGUA; Hivyo, FACTS ni concrete realities na haziwezi badilishwa/badilika hata kaam una kipaji cha 'Reasoning' cha namna gani. Muhimu kwenye hili ni kwamba: Facts are not discovered, and they are not created, instead, Facts are simply acknowledged, na habari huishia hapo.

Tukija kwenye dhana ya UKWELI ambayo Kibanda ndio anaitumia kuhalalisha hoja yake ya msingi, ni muhimu atambue kwamba UKWELI ni kitu tofauti sana pengine ni kinyume kabisa na FACT; Kwa mfano, tofauti na FACT ambayo ina sifa ya kuwa acknowledged moja kwa moja na bila ya mjadala, Sifa kubwa ya Ukweli ni Mjadala, lakini muhimu zaidi ni kwamba UKWELI ni lazima Utengenezwe, au Ugundulike; Ukweli hauwi acknowledged kama ilivyo kwa FACT; Kwa mfano, nikisema kwamba MUNGU YUPO, na nikaja na reasoning to support msimamo wangu, wapo wataokubali kwamba ni KWELI MUNGU YUPO, na hii inageuka kuwa Reality lakini kwa wale wanaokubaliana na reasoning yangu; Lakini akija mtu mwingine na kusema kwamba MUNGU HAYUPO na akaja na reasoning to support hiyo position, wapo pia watakaokubaliana nae na hivyo kuwa reality kwa kundi hili; Kikubwa hapa ni kwamba kila upande utakuwa na arguments zake kuhusu reality kwa jinsi wanavyoona wao, lakini mwisho wa siku, iwapo reasoning ya upande mmoja (kwa mfano kwamba MUNGU YUPO), itaishinda ya upande wa pili, ni rahisi kwa upande husika kuhamia kwenye Reality mpya;

Tukirudi kwa Kibanda, yupo sahihi kwamba ana haki ya kusimamia anacho amini, lakini anajisahau kwamba kwa vile hapa he is dealing with truth na sio facts, hawezi kulazimisha wengine waamini anachoamini yeye, na mbaya zaidi ni kwamba anatumia muda mwingi na nguvu nyingi sana kufanya kitu SIO, yani kutetea haki yake kuamini anachokiamini na kwanini huo ndio ukweli, badala ya kutumia muda zaidi kuwa aminisha wanaoamini upande wa pili kwanini upande wake upo sahihi kwa kumtumia huyo huyo KINANA; Vinginevyo, ni muhimu atambue kwamba, kama yeye alivyokuwa na haki ya kuamini anachosimamia, hata wale wanaompinga wana haki ya kuamini wanachosimamia, kwani pande zote mbili zina TRUTHS wanazoamini kutokana na creation and development of certain concepts and constructs, experiences etc;

Mwisho, ni muhimu Kibanda atambue kwamba mjadala wake hauna moja ya sifa kubwa za uandishi wa habari kama taaluma - yani kuwa ‘FACTUAL' – na ndio maana anachojadili lazima kwanza kiwe discovered, created then kikubalike as Truth, na kitaishia hapo, kwani kamwe hakitafikia kiwango cha kuwa acknowledged as a ‘FACT'; vinginevyo ingekuwa ni FACT, toleo lake la wiki jana lingeishia pale pale kwa kuwa ACKNOWLEDGED bila ya majadiliano yoyote;

Vinginevyo, ategemee kukumbana na mgongano wa mawazo mpaka liamba na kwa vile amesha washa mjadala, kama hatobadilisha hoja yake iwe TRUTH na kukubali sio FACT, he is the one to loose;
 
Wenye habari tuambie.Nini cha ajabu alichonacho Kinana hadi tusikie hizi kelele?AU ni CCM wanataka mgeuza populist kamawalivyofanya kwa Kikwete halafu baadaye CCM imembee ktk mgongo wake?Bado mimi naona kama game ya Mganga na mchawi kutaka uondoa people kwa kutumia people.

Wanabodi wenye mchango karibuni.

Hakuna jipya kwa hawa jamaa
 
Back
Top Bottom