stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,750
Propaganda hizo za Chukua Chako Mapema mbona mwenye mke alishindwa mahakaman,,,km kawaida mara Kinana sio raia,,Ulimwengu sio raia,,Mkapa sio raia..Dr.Salim sio raia cha ajabu wote hawa mliwapa uongoz,,,Kwa propaganda mnaweza lkn sio Kumkomboa Mtanzania wa hali ya chini,,,Kiama chenu 2015!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums