Umekuwa na haraka tuu.Bado najiuliza nini cha maana anacho hadi tukie hizi kelele.Nashindwa ona tofauti na wachawi wengine.So nimeachia mwenye kuona ch ajabu hadi akamsupport au akawa carried away with these noises anaweza tuambia alichokiona.
Yeye anajua umuhimu wa ccm kuendelea kubaki madarakani zaidi ya Mukama, na kwamba anauwezo wa kufanya hadaa zaidi ya Makamba, mimi sioni kingine.
lakini CHADEMA HAWAONGEI TUU JUST WAMEONGEA, wanaonge sense wakiongeza vyema kwa kuongezea ujasiri na authority.Wanaongea kweli na si majungu kama JK na wengine.Wasio na fikra mbadala, pamoja na kuumbuak mara zote ktk majungu yao kuwa sijui CDM ni ya Kikanda,Sijui ya Kidini, sijui ya Kikabila bado hawan akili mbadala.Kinachofanyika sasa ni kwamba, CCM wanaamini wanaweza kujirejeshea kukubarika kwa wananchi kwa kuwa na watu wenye ujasiri wa kuongea kwa sababu without power and authority CHADEMA wamejipatia kukubarika kwa wananchi kwa sababu wanaongea.
Sidhani kama kuna cha kunitisha ktk CCM, zaidi ya hofu iliyopo kwangu kwa kukiangalia hicho chama kuona daktari akijjianda tumia panga lenye kutu kufanya operation kubwa kwa mgonjwa.CCM ni kama panga lenye kutu linalozagaa ktk meza ya vifaa ndani ya theatre.Hiki kinachoonekana kukutisha ni kawaida kabisa katika Maisha ya binaadamu, muda si mrefu tutarudi katika hali halisi, kwamba CCM wanatakiwa na wametakiwa kwa muda mrefu sana toka nchi yetu ipate uruhu kutumia mamlaka na nguvu za kuongoza serikali yetu kusababisha maendeleo katika maisha ya watanzania na si kuyatumia kuongea ongea, sababu mpaka sasa inajurikana wazi maneno yoyote kutoka CCM NI UONGO.
Ukitaka kujua kama Kinana ni kimbunga yeye ndio alifanikisha ushindi wa kishindo kwa CCM kuanzia mwaka 1995, 2000, 2005, 2010.
Kama aliweza kuratibu na kupanga ushindi wa CCM hakiwa amekabidhiwa dhamana ya muda mfupi ya kuongoza kamati ya taifa ya kampeni za chama hicho.
Tutalajie nini akipanga mikakati na kusimamia mwenyewe utekelezaji wa mipango ya chama kama Katibu Mkuu.
Hapo ndipo unatakiwa umsome vizuri Kibanda.
kwani bashe muonekano wake ndio unaowakilisha wasomali kwa wingi wao?Wasomali wapo weusi kabisa, wenye ngozi zilizochakaa na nywele kama watu weus wenye kwashakoo au watu wenye Ukwimwi.Nywele kugeuka kuwa vinyweleo kama vya panya.Nimesikia makelele mengi sana yakipigwa humu jamvini yakimsema kada maarufu wa CCM,kinana kwamba ni msomali
sasa mimi naomba kuuliza ina maana jamaa hadi mke wake pia naye ni msomali?? na je watoto wake wakoje je ni wasomali pia?? nauliza hivi sababu ukimwangalia kinana na rage wak tofauti na bashe(bashir),isije ikawa tunamsema vibaya kumbe mwenzetu kinana ni wale wasomali wabantu(wazigua),ambao ni watz wenzetu waliochukuliwa utumwa!!!
na kama ndio wale wazigua basi hizi kelele zote inabidi zife mana wale siyo wasomali na wala huko somalia hawakubaliki kuwa ni wasomali,ndio maana nauliza familia yake ikoje mana kinana anaweza asionekane kama msmali lakini familia yake ndio itatupa majibu je ni wasomali kabisa?? yaani kama vile bashe??
Nawasilisha wana jamvi karibuni.
kwani bashe muonekano wake ndio unaowakilisha wasomali kwa wingi wao?Wasomali wapo weusi kabisa, wenye ngozi zilizochakaa na nywele kama watu weus wenye kwashakoo au watu wenye Ukwimwi.Nywele kugeuka kuwa vinyweleo kama vya panya.
Wasomali kwa asili ni weusi, hao wenye muonekano tunauona na kuuita wa kisomali, nao ni mchanganyiko wa wageni toka ukanda wa ethiopia, yemeni na jamii za makabila yasiyo ya kibantu na wabantu.
Mtu kama huyu eti ndio tegemeo la Chadema...ukitaka kujua upumbavu wa mtu upo kiwango gani msome mabandiko yake...wewe jamii ambayo unaiheshimu ni Wachaga tu. Mtu makini hawezi kuandika maneno haya.
Sasa jamaa asiseme!!!!!Mtu kama huyu eti ndio tegemeo la Chadema...ukitaka kujua upumbavu wa mtu upo kiwango gani msome mabandiko yake...wewe jamii ambayo unaiheshimu ni Wachaga tu. Mtu makini hawezi kuandika maneno haya.
Sasa jamaa asiseme!!!!!
Je Nyie mliofikia hatua ya Kumpa ukatibu Mkuu Msomali Jangli wa Kuua Tembo si ndo hatar zaid, na Mpaka mkiondoka 2015 Tembo wetu watakuwa wote wameshauawa na kuhamishiwa Mogadishu, safar hii sio Oman tena